Mahakama yaamuru jangwani wasibomolewe

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
[h=6][/h]Mahakama yaamuru Jangwani wasibomolewe
Nora Damian Dsm.
MAHAKAMA Kuu,Kitengo cha Ardhi, imetoa amri kwa mamlaka zinazohusika kutovunja nyumba katika eneo la Jangwani mpaka itakapotoa uamuzi mwingine. Hatua hiyo imekuja baada ya wakazi 548 kuwasilisha kusudio mahakamani la kutaka kumshtaki Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Jiji na Mwanasheria Mkuu wa serikali kutaka kuwahamisha wakazi hao.Amri hiyo ilitolewa jana na Jaji Beatreice Mutungi wa mahakama hiyo baada ya Wakili anayewateteta wakazi hao Barnaba Luguwa... Source: Mwananchi Habari
 
Back
Top Bottom