Mahakama ya kadhi

Msipende kubebwa sana. Kwanini mahakama ya kidini igharamiwe na pesa za walipa kodi wakiwemo wenye dini na wasio wa dini hiyo?
 
Nijibuni nataka kuelewa, sio kunitukana au kunipa majibu ya kuponda. Kama hujui bora ukae kimya.
 
mahakama kadhi iko poa itasaidia kupunguza mrundikano wa kesi hasa za mirathi kwani sheria ya kiislam inaelezea vizuri na ina uwezo mkubwa kutatua matatizo ya mambo ya mirathi
 
hakuna anatepinga mahakama ya kadhi ila swala hapo hao wajaidina wanataka igharamiwe na serikali. Hapo ndo wanashinda wanapiga kelele mchana ucku kucha. Kama wana uwezo wa kuindesha ruksa kuianzisha lkn kwa fedha za watanzania ni kwa ajili ya Maendeleo sio huo upupwe.
 
huwa nashangaa sana nyumba ya wageni kulala wenyeji. jambo la waislamu wewe mchungaji lakuhusu nini ?
 
nenda bakatwa au jukwaa la sheria watakujibu au kama vp msubir shekhe ponda
 
Nijibuni nataka kuelewa, sio kunitukana au kunipa majibu ya kuponda. Kama hujui bora ukae kimya.

Mkuu mbona kadhi alikwisha teuliwa muda mrefu, kuhusu gharama za uendeshaji muendeshe wenyewe maana ndiyo wenye faida nayo, hilo ni zigo lenu.
 
iwepo tu ila muiendeshe wenyewe,isiingiliane na mfumo wa Serikali

Hi ni mahakama ya kidini zaidi,ni wasomi wa Quran ndio wenye uwezo wa kukupa ufafanuzi wa hiyo mahakama,kwa kifupi ni mahakama ya kutasfiri 'do' na 'do not' za kwenye Quran dhini ya ummat muhammad,si mahaka simple kama wanasiasa na waislam uchwara wanavyoizungumza,ni mahakama ya ukweli as far as jamii ya waislam is concerned.
swala la ndoa na mirathi ni baadhi tu ya yale yatendwayo na hiyo mahakama. KWA UKWELI MAHAKAMA YA KADHI IN ITS REAL SENSE AND CONTEXT, haiwezekani kuwa fully utilized kwenye circular state kama yetu au hata nyingine,zilzopo kwenye circular states ni pasted edited vesion ya mahakama ya kadhi. madai ya waislam dhidi ya hiyo japo wanajua ukweli wanajificha wamekuwa kama ngamia na ombi la kuingiza kichwa kwenye hema,ukimruhusu..............!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????
 
Back
Top Bottom