Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
Yeah!
Lakini wakati wa kusaini MOU ambayo ni kwa "faida ya Watanzania wote" waislamu hawakuwa na mwakilishi! kitu gani kilichopo katika mkataba hatujui......tunachoambiwa ni kwa faida ya wote!.
Bila shaka MoU ya kupewa chuo muhimu sana cha Tanesco bure wakristo walihusishwa!