oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Kwani umesikia hizo taasis za maaskofu (mf. hospital )zinatoa huduma kwa wakristo pekee yake na kuwabagua waislamu?mbona waislam hutibiwa bugando, ifakara kcmc kama wakristo?linganisha na huduma za kiislamu kama muslim university of Morogoro na uchek jinsi inavyowabagua wakristo! waislamu ni walalamishi mno na kwa uhakika ni wagumu kubebeka kama mtoto aliyeungua kwapani!kama haina dini kwa nini -Katoliki wanapewa fungu na serikali? Kwa nini kama wanatoa huduma za jamii wasitoe tu kama kanisa? Kwa nini wameingia gentlemen mkataba na serikali ambayo haina dini? Serikali na maaskofu hapa wameteleza kuwanyima waislamu mahakama ya kadhi kama walivyotaka na huu udini wakristo ndio wanauanzisha wenyewe