Mahakama ya Kadhi ipo mbioni kuanzishwa

Tutasoma na kusomesha watoto wetu kwenye shule za serikali ama za kiislam na usitake tuje kusoma huko mnakolawitiana, nyambafu

wewe pimbi kumbuka wakirstu wana mashule mangapi,hospital ngapi hadi serikali imezihodhi sababu ya serikali yenu kutokuwa na uwezo wa kujenga,mfano KCMC,BUGANDO,SERIAN,nk.waisilam wamekalia uswahili tu,angalia mlipewa chuo kikuu siku moja na watu wa kanisa,waislamu walipewa chuo cha tanesco pale msamvu morogoro,ajabu mpaka leo hamjafungua hata campas hata moja kwenye mkoa wala wilaya yoyote,hata rangi imewashinda kuyapaka toka mlivyo pewa yako vilevile yamechakaa hayo majengo,wezenu wakirstu walipewa chuo pale malimbe mwanza wakakiita SAUT,wamefanya upanuzi mkubwa na wamefungua Campas au matawi saba nchini kote,waigeni ansarsun wao ni wasomi wana mashule,RADIO Na TVIMAAN.acha kubwata.
 
wewe pimbi kumbuka wakirstu wana mashule mangapi,hospital ngapi hadi serikali imezihodhi sababu ya serikali yenu kutokuwa na uwezo wa kujenga,mfano KCMC,BUGANDO,SERIAN,nk.waisilam wamekalia uswahili tu,angalia mlipewa chuo kikuu siku moja na watu wa kanisa,waislamu walipewa chuo cha tanesco pale msamvu morogoro,ajabu mpaka leo hamjafungua hata campas hata moja kwenye mkoa wala wilaya yoyote,hata rangi imewashinda kuyapaka toka mlivyo pewa yako vilevile yamechakaa hayo majengo,wezenu wakirstu walipewa chuo pale malimbe mwanza wakakiita SAUT,wamefanya upanuzi mkubwa na wamefungua Campas au matawi saba nchini kote,waigeni ansarsun wao ni wasomi wana mashule,RADIO Na TVIMAAN.acha kubwata.

kweli wewe ni mdudu! mara ya mwisho kufika MUM ni mwaka gani? hakuna majengo yaliyoongezwa? alafu hao wakristo unaita wenye mashule ambayo serikali ilichukua unajua wakati yanajengwa ni mali ngapi za watanzania zilichukuliwa na hao wanajiita wamisionari? mmekuwa na mashule mengi na vyuo mbona mnazalisha mafisadi badala ya kuzalisha watu wenye hofu ya mungu? serikalini ndo kunalalamikiwa kwa ufisadi na nyie ndo mmejaa kwa kisingizio cha usomi wenu
 
Uyo kweli , ndugu yangu ni mpumbavu wa kufikiri ,maana anashindwa kujua kwamba memorandum inawanufaisha kila mwaka na pia mum hakufahamu anakuckiatu ,na nawasiwasi maana ya memorundam hujui maana yke
 
Tutasoma na kusomesha watoto wetu kwenye shule za serikali ama za kiislam na usitake tuje kusoma huko mnakolawitiana, nyambafu
kama kulawitiana hata madrassa watoto wenu wanafumuliwa marinda sana, hata wewe kama umeshampeleka mtoto wako madrassa kamchunguze vizuri pengine tiyari.

tukija kwenye shule, bahati mbaya unakumbuka shuke kumekucha, asilimia kubwa ya waislam wameshasoma shule za kanisa na wamefanikiwa kimaisha, wengi wa wasomi wa kiislam wamesoma shule za kanisa kuliko shule nyingine. wengi wa wagonjwa wa kiislam wametibiwa hospitali za kikristo kuliko hata za serikali. kanisa lina shule nyingi na hospitali nyingi kuliko hata serikali. kuna sehemu nyingine serikali haijafanya kitu kuna huduma za kikanisa tu, unataka waislam wenzio waende wapi? waziache huduma za kikristo karibu kwasababu tu ni za kikristo? kama wewe umefanikiwa kimaisha hauhitaji huduma kuna waislam wenzio wengi wamechoka mbaya wanahitaji hospitali za kikristo na shule za kanisa ziendelee kuwepo ili wao na watoto wao wafaidike. wewe mwenyewe unayeandika pengine ni product ya shule za kanisa. ungepata wapi akili hiyo? shule zenyewe za serikali ziko ngapi? hizo za kata za juzi? zihesabu uone kama zinatosha kuhudumia watz wote (including waislam), hesabu na hospitali zote tz uone kama zinatosha.

kwaajili ya kujifunza, angalia wakristo wanapoanzisha kanisa/mission wanajenga shule na hospitali, tuambie wapi ulishawahi kuona ninyi mmejenga misikiti na shule na hospitali? zaidi sana mnawekeza kwenye kufundisha watoto kareti, na quran.
 
Moja kati ya mkakati wa jk ni kuhakikisha kuwa mahakama ya Kadhi inapitishwa kabla hajamaliza ngwe yake. tunaweza tukapiga sana kelele za udini kuwa haupo...huko ni kujidanganya wenyewe:target:

Propaganda zingine bwana...Kwahyo J.k ndo amekwambia ama??, huna source wa uhakika au ndo udini!!??
 
kama kulawitiana hata madrassa watoto wenu wanafumuliwa marinda sana, hata wewe kama umeshampeleka mtoto wako madrassa kamchunguze vizuri pengine tiyari.

tukija kwenye shule, bahati mbaya unakumbuka shuke kumekucha, asilimia kubwa ya waislam wameshasoma shule za kanisa na wamefanikiwa kimaisha, wengi wa wasomi wa kiislam wamesoma shule za kanisa kuliko shule nyingine. wengi wa wagonjwa wa kiislam wametibiwa hospitali za kikristo kuliko hata za serikali. kanisa lina shule nyingi na hospitali nyingi kuliko hata serikali. kuna sehemu nyingine serikali haijafanya kitu kuna huduma za kikanisa tu, unataka waislam wenzio waende wapi? waziache huduma za kikristo karibu kwasababu tu ni za kikristo? kama wewe umefanikiwa kimaisha hauhitaji huduma kuna waislam wenzio wengi wamechoka mbaya wanahitaji hospitali za kikristo na shule za kanisa ziendelee kuwepo ili wao na watoto wao wafaidike. wewe mwenyewe unayeandika pengine ni product ya shule za kanisa. ungepata wapi akili hiyo? shule zenyewe za serikali ziko ngapi? hizo za kata za juzi? zihesabu uone kama zinatosha kuhudumia watz wote (including waislam), hesabu na hospitali zote tz uone kama zinatosha.

kwaajili ya kujifunza, angalia wakristo wanapoanzisha kanisa/mission wanajenga shule na hospitali, tuambie wapi ulishawahi kuona ninyi mmejenga misikiti na shule na hospitali? zaidi sana mnawekeza kwenye kufundisha watoto kareti, na quran.

Mkuu, naona inaandika mengi sana japo unafanya tu marudio ya zile hoja dhaifu mnazozitoa kila siku...

What we need is "serikali itoe huduma za kimsingi kama afya, elimu, n.k na sio kukasimu kazi yake kwa makanisa wakati huo huo wakiwapa pesa za kuendeshea hizo shughuli zao za hospitali na shule..."

Serikali haina dini hivyo iyaache makanisa yaendeshe taasisi zake bila kuyapatia fedha kama inavyofanya sasa...

Hoja nyepesi eti mbona waislam nao wanasomaga shule za kanisa, haaaa...! Eti mbona na waislam wanatibiwaga na hospitali za kanisa, ...nasema hizi ni hoja za kijinga tena za kibinafsi sana...

Badala ya serikali kuyapa fedha makanisa izitumie pesa hizo kujenga na kuboresha miundombinu yake ya afya na elimu na sio kufanya UJANJA ujanja huu tunaouona kwa sasa...

Ajabu zaidi linapokuja suala la waislam, the same Christians ndio wanakuwa wa kwanza kupinga na kusisitiza mambo ya dini yafanywe na dini zenyewe kwani serikali haina dini , akili za WAGALATIA hawa ni ndogo sana kiasi cha kusahau kutawadha/kuchamba baada ya kumaliza kujisaidia...

Tanzania ni nchi maskini sana na bado mnajiita MMESOMA ,sijui kwann hamjisikii hata aibu...!
 
Moja kati ya mkakati wa jk ni kuhakikisha kuwa mahakama ya Kadhi inapitishwa kabla hajamaliza ngwe yake. tunaweza tukapiga sana kelele za udini kuwa haupo...huko ni kujidanganya wenyewe:target:

Waume hawatafutwi kwa nguvu dada.
We jitangaze tu kuwa umpweke! Weka picha huenda akatokea aliyekuzimia.

Masuala ya sias huyajui bibie!
 
Mkuu, naona inaandika mengi sana japo unafanya tu marudio ya zile hoja dhaifu mnazozitoa kila siku...

What we need is "serikali itoe huduma za kimsingi kama afya, elimu, n.k na sio kukasimu kazi yake kwa makanisa wakati huo huo wakiwapa pesa za kuendeshea hizo shughuli zao za hospitali na shule..."

Serikali haina dini hivyo iyaache makanisa yaendeshe taasisi zake bila kuyapatia fedha kama inavyofanya sasa...

Hoja nyepesi eti mbona waislam nao wanasomaga shule za kanisa, haaaa...! Eti mbona na waislam wanatibiwaga na hospitali za kanisa, ...nasema hizi ni hoja za kijinga tena za kibinafsi sana...

Badala ya serikali kuyapa fedha makanisa izitumie pesa hizo kujenga na kuboresha miundombinu yake ya afya na elimu na sio kufanya UJANJA ujanja huu tunaouona kwa sasa...

Ajabu zaidi linapokuja suala la waislam, the same Christians ndio wanakuwa wa kwanza kupinga na kusisitiza mambo ya dini yafanywe na dini zenyewe kwani serikali haina dini , akili za WAGALATIA hawa ni ndogo sana kiasi cha kusahau kutawadha/kuchamba baada ya kumaliza kujisaidia...

Tanzania ni nchi maskini sana na bado mnajiita MMESOMA ,sijui kwann hamjisikii hata aibu...!

heri yenu mnaochamba kwa mchanga jangwani
 
siku zote wagalatia hawana hoja za msingi wao ni wapingaji tu maana walipinga OIC,ambaye ingewanufaisha watu wote aliyakuwa tume iliundwa kuchunguza OIC kama inatatizo kama tukijiunga naye NA IKAJIRIZISHA kwamba haina tatzo lolote ,na waziri membe akarithibitisha hilo bungeni LAKINI WAGALATIA WAKAPINGA ,na hyo ni sifa ya MAKAFIRI na hyo mahakama ya kadhi c kama inaanzishwa bali inarejeshwa ilikuwepo toka mwanzo
 
Kama mahakama ya kadhi ndio suluhu ya uvivu wa kusoma,kushinda ktk vigodoro,ugaidi,matusi,chuki,visasi,Utamaduni wa ushoga,maandamano na imani kali za kipum.bavu. Basi naunga mkono kinyume na hapo ni yale yale
 
Kama mahakama ya kadhi ndio suluhu ya uvivu wa kusoma,kushinda ktk vigodoro,ugaidi,matusi,chuki,visasi,Utamaduni wa ushoga,maandamano na imani kali za kipum.bavu. Basi naunga mkono kinyume na hapo ni yale yale

Umemaliza mkuu.

... Thread closed.
 
Mmmmmh... Poleni ndugu zanguni huyo j.k anawala kisogo... Amna kitu kama hicho... Na haiji kutokea labda wakristo wote mtuloge jambo ambalo amliwezi!! Nyinyi ambebeki na mkiambiwa ukweli mnatoa povu kama vile mmesukutua mdomo kwa sabuni ya Omo... Ko nyie... Nchi hii haina si yakidini mnaambiwa lakini amuelewi... Hugo j.k lini mmemsikia anaongelea kuhusu kimahakama chenu?? Achen kuumpa stress mbaba wa watu bana.. Anataka amalize salama nyie mnaleta propaganda za ovyo hapa... Mmetutukana sana na kutuita makafiri tunavyokaa kimya mnatuona wajinga.... Ndo mnataka mlete na miongozo yenu ya dini mpaka katika serikali... Msione tupo kimya angalieni msije mkaenda kujazana Zanzibar..... Acheni kujisumbueni fanyeni mambo ya msingi bana.. Mnajifanya mna busara wakat kila kukicha mnapalikana wake.. Kama mlizaliwa na karama ya kunjunja wake zenu kwa zamu....
 
Haya anzisheni ili mahakama ianze kazi yake haraka!

blog%2Bsharia-hand-crusade.jpg
 
siku zote wagalatia hawana hoja za msingi wao ni wapingaji tu maana walipinga OIC,ambaye ingewanufaisha watu wote aliyakuwa tume iliundwa kuchunguza OIC kama inatatizo kama tukijiunga naye NA IKAJIRIZISHA kwamba haina tatzo lolote ,na waziri membe akarithibitisha hilo bungeni LAKINI WAGALATIA WAKAPINGA ,na hyo ni sifa ya MAKAFIRI na hyo mahakama ya kadhi c kama inaanzishwa bali inarejeshwa ilikuwepo toka mwanzo

Ni kweli mahakama ya kadhi ilikuwepo na sasa inatakiwa kurejeshwa. Swali LA kuniuliza ni: ilikuwa inaendeshwa na serikali????????.....???????????
 
Acheni propaganda ,mahakama ya kadhi haiepukiki
Kwakuwa hamuwezi kuanzisha taassis yenu wenyewe, subirini serikali iwaanzishie kisha muanze kuandamana kuikataa. Mulianzishiwa BAKWATA ili iwasaidie kusimamia masndeleo sasa mwaipinga kwa mapovu, kadhi mtamkubali?, mbona hata sh.mkuu mwampinga. Tafakari
 
Back
Top Bottom