Mahakama ya kadhi hii hapa!

Sawa lakini hivi mtu akitiwa hatiani kwa sheria za kiislam na adhabu ikiwa ni kifungo, je atafungwa gereza lipi??? Je makadhi wa mahakama za kiislam watalipwa kwa fedha zipi??? Je pale ambapo maamuzi ya mahakama ya kadhi yanapopingana na katiba, which one will supercede the other??? And so much more
Mahakama ya kadhi ni maalumu kwa ajiri ya kutatua migogoro ya miradhi,ndoa na mambo mengine yanayowahusu waamini wa dini ya kiislamu,na hutoa maamuzi yake kwa kutumia sheria na miongozo ya kiislamu.Wakati mahakama za kawaida husuluhisha migogoro mbalimbali kwa kutumia katiba mama na sheria mabalimbali zinazotoa miongozo ya namna ya kuongoza nchi na raia wake bila kujali dini zao.
Mwana mie navyofahamu hapa tanzania raia tunaishi kwa ushirikiano kama kitu kimoja na tunaingiliana bila kujali dini na kuoana pia bila kujali dini sasa ikatokea ndoa ya mkristu na muislam wakaoana then ikatokea matatizo uliyoainisha itakuwaje sasa hapo!pia jela ya hii mahakama itakuwa wapi?na ninani atakaehusika na kukamata washtakiwa na pia kudhibiti nidhamu ya washtakiwa??[/QUOTE]
 
Mahakama ya kadhi haihusiani na wasiokuwa Waislam, na hata waislam wenyewe watahukumiwa na Mahakam hiyo pale tu watakapokubaliana. Mahakama ya Kadhi itahusika tu na masuala ya Ndoa na Mirathi, kuhusu kukatwa mikono, kuwa na gereza la Kiislam au Polisi hayo mambo hayapo na ni Propaganda tu kwa wale wanaotaka kupotosha watu. Naomba tusiwe mafundi wa kuelezea kitu ambacho hatuna uelewa nacho kwani tunaweza kupotosha watu juu ya uhalisia wa jambo lenyewe.
 
Robin
Re: Mufti Simba adai Serikali imekubali kurejesha Mahakama ya Kadhi
Udini mtupu unaonyeshwa na serikali.je wakatoliki wakitaka mahakama inayotumia canon laws itakuwaje? IN SHORT KIKWETE NI MDINI NA ANAPALILIA UDINI


Kwa kuweka Kukumbukumbu vizuri, Mahakama ya Kadhi ilikuwepo Tanzania tangu enzi za ukoloni na Kikwete hakuwepo enzi hizo, wala hapakuwepo na Muislam aliyekuwa Rais. Wakatoliki wakitaka Mahakama kwa manufaa yao watapewa.
 
Halafu si watataka POLISI na MAGEREZA ya kiislamu vinginevyo hizo mahakama za kiislamu zitafanyaje kazi bila POLISI na MAGEREZA?watuhumiwa watakamatwa vipi?watafungwa wapi?ikiwa mtuhumiwa siyo muislamu inakuwaje?....mimi sielewi hii kitu umuhimu wake
Waache wasababishe muingiliano na sekula. Atakayetoa hukumu ya kupiga mawe mwanamke naye atakamatwa na polisi ya JMT !
 
Mufti mkuu wa waislamu muadhama sheikh simba ametangaza kuwa mahakama ya kadhi kwa ajili ya waislamu itaanza kazi zake hivi karibuni baada ya serikali kukubali kuirudisha tena mahakama hiyo iliyokuweko enzi za nyuma na pia kuiomba serikali kufanya siku kama ya jana tarehe 7 kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa ni mwaka mpya wa waislamu!
Source: Gazeti la mwananchi 08.12.10

kama serikali imekubali mahakama hiyo basi naipongeza kwa uamuzi huo wa busara wa kuwapa waislamu kile wanachotaka kwa mujibu wa sheria na kusisitiza hoja ya mufti kufanywa siku ya mapumziko kwa kuingia mwaka mpya wa kiislamu kwa sababu hata dini zingine huwa wanamapumziko siku za mwaka mpya wa tarehe 1.1 kila mwaka hivyo waislamu nao wana haki ya kusherehekea mwaka wao mpya na ifanywe kuwa ni siku ya holliday!!
 
Mufti mkuu wa waislamu muadhama sheikh simba ametangaza kuwa mahakama ya kadhi kwa ajili ya waislamu itaanza kazi zake hivi karibuni baada ya serikali kukubali kuirudisha tena mahakama hiyo iliyokuweko enzi za nyuma na pia kuiomba serikali kufanya siku kama ya jana tarehe 7 kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa ni mwaka mpya wa waislamu!
Source: Gazeti la mwananchi 08.12.10

kama serikali imekubali mahakama hiyo basi naipongeza kwa uamuzi huo wa busara wa kuwapa waislamu kile wanachotaka kwa mujibu wa sheria na kusisitiza hoja ya mufti kufanywa siku ya mapumziko kwa kuingia mwaka mpya wa kiislamu kwa sababu hata dini zingine huwa wanamapumziko siku za mwaka mpya wa tarehe 1.1 kila mwaka hivyo waislamu nao wana haki ya kusherehekea mwaka wao mpya na ifanywe kuwa ni siku ya holliday!!
Hii mahakama isimame kama chombo cha Waislamu kwa sababu ni ya dini, Serikali itafanya makosa makubwa kama kodi ya mtanzania itatumika katika uendeshaji wa mahakama hizi.
 
naomba ufafanuzi tafadhali; hiyo mahakama ya kadhi itakuwa na bajeti serikalini? au ni mahakama inayojitegemea yenyewe bila kuhusisha serikali; hebu nifahamishe sijaelewa vizuri!!!!!!
 
naomba ufafanuzi tafadhali; hiyo mahakama ya kadhi itakuwa na bajeti serikalini? au ni mahakama inayojitegemea yenyewe bila kuhusisha serikali; hebu nifahamishe sijaelewa vizuri!!!!!!

Mkulu, nafikiri hapa ndio hasa kwenye utata, mwenye ufahamu na hili tafadhali
 
Mufti mkuu wa waislamu muadhama sheikh simba ametangaza kuwa mahakama ya kadhi kwa ajili ya waislamu itaanza kazi zake hivi karibuni baada ya serikali kukubali kuirudisha tena mahakama hiyo iliyokuweko enzi za nyuma na pia kuiomba serikali kufanya siku kama ya jana tarehe 7 kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa ni mwaka mpya wa waislamu!
Source: Gazeti la mwananchi 08.12.10

kama serikali imekubali mahakama hiyo basi naipongeza kwa uamuzi huo wa busara wa kuwapa waislamu kile wanachotaka kwa mujibu wa sheria na kusisitiza hoja ya mufti kufanywa siku ya mapumziko kwa kuingia mwaka mpya wa kiislamu kwa sababu hata dini zingine huwa wanamapumziko siku za mwaka mpya wa tarehe 1.1 kila mwaka hivyo waislamu nao wana haki ya kusherehekea mwaka wao mpya na ifanywe kuwa ni siku ya holliday!!
Hivi tarehe 1.1 ni mwaka mpya wa dini gani.........???
 
Mahakama ya kadhi haitahitaji polisi wala magereza, kwa sababu itashughulika na mirathi na mambo ya ndoa tu, na haitamlazimisha kila muislam aende akatafute haki yake huko, ni kwa wale tu watakao kuwa tayari kurithia maamuzi ya mahakama hiyo. So kama wewe ni muislam na una imani na mahakama za kawaida you proceed na kufungua malalamiko yako huko, na kama una imani na mahakama ya kadhi waenda huko, so hakuna kulazimishana!
 
Mimi ni kafiri,nailipa kodi serikali yangu,vyanzo vyangu vya mapato ni kama ufugaji na uuzaji wa nyama ya nguruwe,nalipwa riba na mabenki mbalimbali ambapo nakatwa kodi kwa kipato hiki,pia natengeneza na kuuza pombe za kienyeji ambazo pia hutozwa kodi.Mahakama ya kadhi ianzishwe,lakini sitarajii kadhi awe analipwa mshahara kwa kutumia fedha za mimi kafiri.Naamini serikali yangu ni secular government(is not bias in favour of any religion),hivyo sitarajii ijiingize kwenye mambo ya kidini,ikifanya hivyo itakuwa ni kichekesho na itakuwa ni serikali ya kiislamu na itapaswa kuondoka au kuondolewa madarakani mara moja.Mimi ni mfia dini na nipo teyari kufa kwa ajiri ya kutetea dini yangu.


TANZANIA BILA MAHAKAMA YA KADHI INAWEZEKANA HATA KAMA RAIS NA MAKAMU WAKE WOTE NI WAISLAMU :llama::llama::llama:
 
Mufti mkuu wa waislamu muadhama sheikh simba ametangaza kuwa mahakama ya kadhi kwa ajili ya waislamu itaanza kazi zake hivi karibuni baada ya serikali kukubali kuirudisha tena mahakama hiyo iliyokuweko enzi za nyuma na pia kuiomba serikali kufanya siku kama ya jana tarehe 7 kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa ni mwaka mpya wa waislamu!
Source: Gazeti la mwananchi 08.12.10

kama serikali imekubali mahakama hiyo basi naipongeza kwa uamuzi huo wa busara wa kuwapa waislamu kile wanachotaka kwa mujibu wa sheria na kusisitiza hoja ya mufti kufanywa siku ya mapumziko kwa kuingia mwaka mpya wa kiislamu kwa sababu hata dini zingine huwa wanamapumziko siku za mwaka mpya wa tarehe 1.1 kila mwaka hivyo waislamu nao wana haki ya kusherehekea mwaka wao mpya na ifanywe kuwa ni siku ya holliday!!

Baada ya kuwa kuwekwa hiyo sikukuu ya mwaka mpya wa Kiislamu, dini zingine nazo ziombe mahakama zao zitambuliwe na serikali na pia dini kama za asili na Hindu ziwe pia na sikukuu zao za mwaka mpya kama ilivyokwa Wakristo na kama itakavyokuwa kwa Waislamu ili kila kitu kifanywe kama kwamba hizi dini ni twins, triplets, quadruples, etc.
 
na intermarriage zote hizi....wasije wakakatana mapanga na kudhulumianakisa...dini tu.... !!!
 
kuiomba serikali kufanya siku kama ya jana tarehe 7 kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa ni mwaka mpya wa waislamu! Source: Gazeti la mwananchi 08.12.10

Hongereni sana! Na sisi serikali itukumbuke February 3, 2011, iwe ni siku ya mapumziko, ni mwaka mpya kwa sisi wachina. Pia wapwa zangu ni waorthodox tunataka iwe siku ya kitaifa ya mapumziko hapo January 14, 2011.

Tupewe tunachokitaka.
 
Hii mahakama isimame kama chombo cha Waislamu kwa sababu ni ya dini, Serikali itafanya makosa makubwa kama kodi ya mtanzania itatumika katika uendeshaji wa mahakama hizi.

Mtanzania huyo muislamu au mkristo hebu fafanua vizuri?
 
Hii mahakama isimame kama chombo cha Waislamu kwa sababu ni ya dini, Serikali itafanya makosa makubwa kama kodi ya mtanzania itatumika katika uendeshaji wa mahakama hizi.

Kwani waislamu hawalipi kodi? Acheni unazi wenu huo dunia inabidilika wakubwa!!!
 
Hongereni sana! Na sisi serikali itukumbuke February 3, 2011, iwe ni siku ya mapumziko, ni mwaka mpya kwa sisi wachina. Pia Mpwa zangu ni waorthodox tunataka iwe siku ya kitaifa ya mapumziko hapo January 14, 2011.

Tupewe tunachokitaka.

Mkuu una point sana but lamsingi tuangalia je ule mwaka 2011 A.D. je ni mwaka wa nini kama Adomino je inakuwaje? Watoe tu kama ni watu wana significant impact katika population ya Tanzania wapewe kama wanataka.
 
Back
Top Bottom