Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 611
Unathibitisha tatizo tulilonalo watz wengi. Huwa ni wavivu wa kusoma na wepesi wa kurukia hoja. Ndio maana umechangia ujinga kwasababu tu ya uvivu wa kusoma. Mtoa mada amemjibu mjinga mwenzio ambaye nae amechangia bila kusoma. Ni kwamba waliosema wapo kwenye shughuli za kamati za bunge ni wabunge na ndio ameongea nao. Acha ubwege!
Hawa jamaa siku haipiti bila ya kutamka Dr Slaa,achana nao..