Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Sasa sisi tufanyeje?
CCM wana jaji duniani, CDM tuna jaji mbinguni.
Tolerance gives power.
mkuu leo mahakama inafanya kazi?mbona sielewi?
CCM haitokufa wewe ila CDM ndio itakufa kifo cha mende 2015. Vijana wa CCM na wanajeshi ndio walioingia vitani kupigana na nduli na kukamng'oa sembuse CDM ? tunaivutia kasi tu
CCM haitokufa wewe ila CDM ndio itakufa kifo cha mende 2015. Vijana wa CCM na wanajeshi ndio walioingia vitani kupigana na nduli na kukamng'oa sembuse CDM ? tunaivutia kasi tu