Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Mahakama ya mkoani kigoma imetoa hukumu ya kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompatia ubunge ndg. Peter Serukamba wa CCM dhidi ya All Khalfan Mleeh wa CHADEMA. Mahakama imetupilia mbali ombi la mgombea wa cdm na kusema hana vielelezo vya kutosha kumvua ubunge mh. Serukamba kijana mtiifu kwa Lowasa.
Tayari magari ya washawasha na askari wenye mabomu ya machozi na silaha za kivita wanarandaranda mtaani ili kuzima vuguvugu la watu wanaotaka kuandamana.
Source: niko kigoma kikazi.
Tayari magari ya washawasha na askari wenye mabomu ya machozi na silaha za kivita wanarandaranda mtaani ili kuzima vuguvugu la watu wanaotaka kuandamana.
Source: niko kigoma kikazi.