Mahakama kuu yazuia mgomo wa madaktari.

Brightman Jr

JF-Expert Member
Mar 22, 2009
1,225
232
Wadau taarifa rasmi toka chombo cha umma TBC-Taifa ni kwamba mgomo uliotangazwa na chama cha madaktari kuanza kesho tarehe 23.06.2012 mahakama kuu kitengo cha kazi imeamuru kusitishwa kwa mgomo huo kutokana na madhara makubwa yatakayotokana na mgomo huo. Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom