Mahakama Kuu yaamuru madaktari kusitisha mgomo

Ninachokiona humu ndani mnabwabwaja kwasababu hamuugui,wajomba laiti mngekuwa mko hapa hospitalini kuuguza nadhani kamwe msingeandika hizi *****.BE REALISTIC,ACHENI USHABIKI WA KIJINGA,NLIDHANI MNAOTUMIA INTERNET WOTE WAWEZA KUWA NA UPEO MKUBWA WA KUFIKIRI LAKINI KWA HAYA MNAYOANDIKA HUMU,JAMANI ITS TOO MUCH,NDUGU ZETU WANAKUFA NYIE MNASHABIKIA MGOMO WA MADAKTARI.

Hakuna anayeshabikia mgomo wa madaktari, kwa sababu kila mtu ni mgonjwa mtarajiwa. Mimi niko njiani naenda mjini sasa hivi, najua kwa hakika kuwa AJALI HAZIJAGOMA naweza kuumia muda wowote na kufa kwa kukosa huduma. Hii ni vita kama vita nyingine, na kuna msemo unasema "In wars, almost always the innocent will get in the crossfire", bahati mbaya inaweza kuwa mimi, wewe au mtu yeyote.
 
Ninachokiona humu ndani mnabwabwaja kwasababu hamuugui,wajomba laiti mngekuwa mko hapa hospitalini kuuguza nadhani kamwe msingeandika hizi *****.BE REALISTIC,ACHENI USHABIKI WA KIJINGA,NLIDHANI MNAOTUMIA INTERNET WOTE WAWEZA KUWA NA UPEO MKUBWA WA KUFIKIRI LAKINI KWA HAYA MNAYOANDIKA HUMU,JAMANI ITS TOO MUCH,NDUGU ZETU WANAKUFA NYIE MNASHABIKIA MGOMO WA MADAKTARI.

Solution is more than simple, haji mponda lusi nkya out. madoctor watatutibu kwa moyo mkunjufu. Unawezaje kuingia vitani huku jeshi lako halina morali wa kupigana? umepaswa kuwa na uwezo wa kupigana, sababu ya kupigana, zaidi saaaana NIA YA KUPIGANA iwepo jamani!!!!!!!!!! lakini tusimshangae sana, mwanaasha amefeli kihalali.
 
kinachonitisha hasa ni kuwa suala hli ambalo kwa kweli ni la kisiasa lingeweza kumalizwa nje ya mahakama. Kuiingiza mahakama kwenye hili ni kutaka kuleta matatizo kwa mahakama vile vile. Hivi, madaktari wakiamua kudharau amri hiyo ya mahakama kwa sababu wanaamini siyo halali nini kitafanyika? Well, inaweza kuwasaidia serikali kufanya mambo fulani fulani "kwa sababu madaktari wamekataa amri halali ya mahakama" lakini haiwezi kufanya serikali ionekane kuwa inahoja. Kwa kukimbiliaa mahakamani imeonesha tu kuwa serikali imeshindwa hoja ya kushawishi.

Ndio uzuri mmoja wa migomo kama hii kwani hapa POlisi au FFU hawawezi kutumika. Hawawezi kwenda kwenye nyumba za madaktari na kuwaburua kwenda hospitali! Hawawezi kutumia vikosi vya jeshi kuwalazimisha madaktari kuandika tiba na kufanya uchunguzi. Njia pekee ni kuwashawishi. Sasa hata tukiassume kuwa madaktari - technically - wanarudi kazini kutii amri ya mahakama je mahakama inaweza kuwalazimisha kufanya kazi? Itakuwaje kama madaktari wote as strategic move wanaamua kurudi kazini lakini hawafanyi kazi mahakama itawaagiza nini "watibu"?

Wanathibitisha hoja za wapinzani kuwa mahakama ni pro-ccm, mahakimu kama ilivyo tume ya uchaguzi ni vya Rais, Kwa kifupi mahakama imeingizwa kwenye mtego, na itadharaulika ile mbaya!!!!!!
 
He tumefikishwa hapa? Viongozi wetu wameshindwa kufikiri kabisa? Sababu ya Mponda na Nkya. This is too much, ee Mungu tusaidie.
 
wana bodi wote salaam
asubuhi ya leo nilikiuwa naangalia tbc kipindi cha jambo tanzania. Kwenye news bar nikakutana na sentensi inayosema kuwa mahakama kuu yasitisha mgomo wa mdakatari!
Kama kuna mtu wa mat humu tunaomba atupe ukweli
lakini pia huu utaratibu wa srikali kuzima hoja za watumishi wake kupitia mahakama ni haki kweli!
 
Serikali imeamua kutumia sheria ya kazi no. 6 (FORCED LABOUR)
section 6-(1) Any person procures, demands or imposes forced labour, comits an offence.
(2) For the purposes of this section, forced labour includes bonded labour or any work exacted from a person under the threat of a penalty and to which that person has not consented but does not include
a) Any work exacted under the National Defense Act, 1966 for work of a purely military character;
b) Any work that forms part of the normal civic obligations of a citizen of the United Republic of Tanzania;
c) Any work exacted from any person as a consequence of a conviction in a court of law, provided that the work is carried out under the supervision and control of a public authority and that the person is not hired to, or placed at, the disposal of private persons;
d) Any work exacted in cases of an emergency or a circumstance that would endanger the existence or the well-being of the whole or part of the population;
e) Minor Communal services performed by the members of a community in the direct interest of that community after consultation with them or their direct representatives on the need for the services.

My Take:
Ni aibu kwa Serikali kuogopa na kuona haya kukaa na madaktari kumaliza huu mgogoro kwa amani. huu ubabe wa serikali hautamaliza mgogoro zaidi ya kupalia moto. Kikwete ameshindwa kuongoza nchi.
 
Serikali imeamua kutumia sheria ya kazi no. 6 (FORCED LABOUR)
section 6-(1) Any person procures, demands or imposes forced labour, comits an offence.
(2) For the purposes of this section, forced labour includes bonded labour or any work exacted from a person under the threat of a penalty and to which that person has not consented but does not include
a) Any work exacted under the National Defense Act, 1966 for work of a purely military character;
b) Any work that forms part of the normal civic obligations of a citizen of the United Republic of Tanzania;
c) Any work exacted from any person as a consequence of a conviction in a court of law, provided that the work is carried out under the supervision and control of a public authority and that the person is not hired to, or placed at, the disposal of private persons;
d) Any work exacted in cases of an emergency or a circumstance that would endanger the existence or the well-being of the whole or part of the population;
e) Minor Communal services performed by the members of a community in the direct interest of that community after consultation with them or their direct representatives on the need for the services.

My Take:
Ni aibu kwa Serikali kuogopa na kuona haya kukaa na madaktari kumaliza huu mgogoro kwa amani. huu ubabe wa serikali hautamaliza mgogoro zaidi ya kupalia moto. Kikwete ameshindwa kuongoza nchi.

Ndg yangu hicho kifungu wala hakihusiani kabisa masuala ya sheria waachie wanasheria nipo napekua hiyo hukumu ili niiweke. Napinga kitendo cha Mahakama kuingilia suala hili.
 
Nadhani sasa wanataka kutumia mbinu za "mahakama imeamuru hawajatii sheria".. what is wrong with this people? Wanazo jela za kutosha? Hivi kweli 2 wawili kuondolewa kunasababisha kutumia nguvu hii yote? Kwanini basi wasitume Jeshi la Wananchi na POlisi kwenda kwenye nyumba za madaktari na kuwalazimisha kurudi kazini?

Ishu siyo watu wawili Tatizo kubwa ni kwamba Kikwete anajaribu kuonyesha kwamba haiwezekani mtu akaondoka madarakani kwa shinikizo hii ni kwa faida yake pia, kwani akiliachia hilo lifanyike Watanzania watajua kumbe inawezekana wataanza na yeye mpaka atoke madarakani maana hata yeye amekuwa mzigo mkubwa kwa Taifa.
 
Serikali imeamua kutumia sheria ya kazi no. 6 (FORCED LABOUR)
section 6-(1) Any person procures, demands or imposes forced labour, comits an offence.
(2) For the purposes of this section, forced labour includes bonded labour or any work exacted from a person under the threat of a penalty and to which that person has not consented but does not include
a) Any work exacted under the National Defense Act, 1966 for work of a purely military character;
b) Any work that forms part of the normal civic obligations of a citizen of the United Republic of Tanzania;
c) Any work exacted from any person as a consequence of a conviction in a court of law, provided that the work is carried out under the supervision and control of a public authority and that the person is not hired to, or placed at, the disposal of private persons;
d) Any work exacted in cases of an emergency or a circumstance that would endanger the existence or the well-being of the whole or part of the population;
e) Minor Communal services performed by the members of a community in the direct interest of that community after consultation with them or their direct representatives on the need for the services.

My Take:
Ni aibu kwa Serikali kuogopa na kuona haya kukaa na madaktari kumaliza huu mgogoro kwa amani. huu ubabe wa serikali hautamaliza mgogoro zaidi ya kupalia moto. Kikwete ameshindwa kuongoza nchi.
Sipo tayari kutibiwa na Daktari aliyerudishwa kwa nguvu kufanya matibabu inatisha sana kutibiwa na mtu aliyekasirika. Wakae wajadiri tofauti zao.
 
Ndg yangu hicho kifungu wala hakihusiani kabisa masuala ya sheria waachie wanasheria nipo napekua hiyo hukumu ili niiweke. Napinga kitendo cha Mahakama kuingilia suala hili.

Mkuu aliyekitumia hicho kifungu ni Mwanasheria. labda tuseme walikurupuka kukimbilia hapo!
Nafahamu kwamba hakihusiani, hasa kutokana na madai ya madaktari
 
Huyu aliyeleta hii topic ametumwa atest zali kama wakiingia na hiyo singo ya mahakama, madaktari watakuwa wamejipangaje?

Madaktari na nyie kama hamjajipanga na hili, hakikisheni mnakuwa hatua mbele yao. Watafuteni watu kama kina Tundu Lisu wasiohongeka ili wawashauri.

Wewe wa wapi usikilizi redio na kusoma magazeti mahakama imetoa hilo tamko usibishe.
 
Back
Top Bottom