palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Dhambi ya kuiba kura 2010 ndiyo hiyo.
Nadhani sasa wanataka kutumia mbinu za "mahakama imeamuru hawajatii sheria".. what is wrong with this people? Wanazo jela za kutosha? Hivi kweli 2 wawili kuondolewa kunasababisha kutumia nguvu hii yote? Kwanini basi wasitume Jeshi la Wananchi na POlisi kwenda kwenye nyumba za madaktari na kuwalazimisha kurudi kazini?
Nimesikia taarifa ya habari tbc taifa (radio ya magamba) ya saa 0:00 kwamba ma-doctor wameamrishwa na mahakama kusitishe mgomo wa kuwashinikiza waziri na naibu waziri wa afya wajiuzuri.
Nawasilisha!
Hii maana yake nini?
Mahakama ina mamlaka gani kutoa amri kama hiyo?
Mahakama ina mamlaka gani kutoa amri kama hiyo?
NANUKUU...
mahakama kuu kitengo cha kazi imewaamuru Madaktari kurudi kazini mara moja na kutoa ufafanuzi kuwa majadiliano ya haraka yanatakiwa kufanyika kati ya upande wa serikali na upande wa madaktari ili kuweza kumaliza tofauti zilizopo...
MWISHO WA KUNUKUU...
This is one of the most aoutregeous statements I have ever heard. Mahakama kuu inangilia vipi mgomo wa madaktari? Mtoa mada, rudi shule ujifunze kuandika . Kumbukeni hawa wanagoma kudai madiliko ya kiutendaji. Ni kweli hii serikali ya kikwete kila kitu kinawezekana. Jembe apone arudi nyumbani kuiongoza nchi
Kuna harufu ya POINT japo haina mantiki sana.Waziri mponda mbishi, anasema mbona waziri wa ulinzi na JKT ameshakutwa na mabalaa mara nying tu, yakiwemo ya gongolamboto na mbagala, pia waziri wa mambo ya ndani, polis wake wanaua raia kila kukicha, yeye kutofautiana na madaktar imekuwa nongwa!
Mahakama zetu kama za kichina vile! Kesi imeendeshwa gizani, hukumu wameitangaza!
na kama watagoma wote na wakatae kurudi, watawafukuza kazi wote?ni kweli mtoa mada yuko sahihi.Serikali imepeleka maombi ya upande mmoja(exparte) ya kuiomba mahakama kuu kitengo cha kazi kubatilisha mgomo wa madaktari.Maombi haya yamefanyika chini ya hati ya Dharura(certificate of urgency)matokeo ya amri hii ni kwamba,serikali inatafuta uhalali wa kuwafukuza wale watakaoshindwa kutii amri ya mahakama.Hali sijui itakuwaje!!
Mahakama zetu kama za kichina vile! Kesi imeendeshwa gizani, hukumu wameitangaza!
Waziri mponda mbishi, anasema mbona waziri wa ulinzi na JKT ameshakutwa na mabalaa mara nying tu, yakiwemo ya gongolamboto na mbagala, pia waziri wa mambo ya ndani, polis wake wanaua raia kila kukicha, yeye kutofautiana na madaktar imekuwa nongwa!