Rostam kweli ni zaidi ya gaidi..................na bado moto tutauona
I hereby declare ROSTAM AZIZ as the MOST POWERFUL MAN in Tanzania. He can do ANYTHING he wants with The U.R.T. He got the POWER. He owns this country.
Jaji Mhe. Emilian Mushi, hukumu yako hii imewakandamiza Watanzania wote Maskini wa Nchi hii, kwani pamoja na sheria zenu kujifanya mnafata sana sheria, kwa hili umechemka.
Wewe unajua kuwa toka utoaji wa zabuni kwa kampuni hii feki, uligumikwa na ukiukaji wa Haki za Binadamu kwa kutumia kodi ya walalahoi wa Tanzania kwa ajili ya kujinufaisha watu wachache, Au hilo hulijua? Sasa wewe unasema sheria za Kimataifa, sisi zinatuhusu nini kwa maisha yetu? Iandike siku hii ya leo, nina uhakika utakujua kuijutia. Take My Word.
Ni dawa chungu kumeza, lakini Dowans ilishashinda kwenye int courts, parties walikubaliana mashauri yoyote ya kimkataba yaasisiwe na kusimamiwa na tribunal za nje....
Kwaajili ya pressure za hapa na pale ndio maana tukaipinga hii hukumu locally, cha msingi kuangalia na kuupitia upya mikataba ambayo iko current, ambayo tunaweza kuirekebisha...
Yaliyopita si ndwele...
By Izack mwanahapa
Mahakama kuu ya Tanzania kupitia Jaji Emilian Mushi imeiamuru Tanesco kuilipa mabilioni ya fedha kampuni ya dowans kwa kigezo kuwa mahakama ya Tanzania haiwezi kupingana na Mahakama ya kimataifa, lakini pia mahakama imeiamuru Tanesco kulipa gharama zote za kesi hiyo ambazo bado hazijafanyiwa tathmini.