macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,448
- 38,688
Ivuga
Ngoma ilishabadilika siku nyingi! Mahakama kuu imeshasema kuna ulazima wa kusajili hiyo hukumu mahakama kuu iwapo serikali na dowans hawataelewana. Ina maana serikali ikikubali kuilipa Dowans mambo yataishia huku huku mtaani bila kuihusisha mahakama kuu.
Ngoma ilishabadilika siku nyingi! Mahakama kuu imeshasema kuna ulazima wa kusajili hiyo hukumu mahakama kuu iwapo serikali na dowans hawataelewana. Ina maana serikali ikikubali kuilipa Dowans mambo yataishia huku huku mtaani bila kuihusisha mahakama kuu.