BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
hapa napita tu!
mtume wa mitume, means yesu na mohamad wote wanapay respect kwake? Kazi ipo kwelikweli
Nabii na Mtume Joseph Mwingira amesema, yeye ni Mtume wa mitume wote duniani na hawezi kuogopa na polisi wanao mtafuta.
Amesema serikali ya Tz inaongozwa na watu wanalala makaburi na kuchanjwa chale na waganga wa kienyeji.
Amesema viongoz wakuu akiwemo rais wanavaa pete za wachawi na hirizi hivyo hawana uwezo wa kupambana naye.
Akiongea kwenye ibada alisema kama wananisaka kwa nini wasijekunikamata hapa kanisani? Nitapambana mpaka kieleweke, Nipotayari kufa. Amewataka waumini wake wasitishwe na viogozi wa serikali wanaolala Makaburini.
........................ daaaah ! hiii mada ingine tena !? hapo hapo "Mungu" na hapo hapo "Mtu" !YESU Kristo sio mtume.Ni Mungu kweli na Mtu kweli...Labda unamsema yesu mwingine unayemjua wewe...
Hivi Mtume qualification yake mojawapo ni KUSHUSHIWA KITABU?
Aahhh Mtoboa siri taratibu aisee usiikosee heshima pete ya shemeji yako tafadhali, nilimnunulia mwenyewe bana ntakupiga ngumi.
Hufikirii chochote kuhusu pete wanazovaa maharusi?Na kifimbo cha Nyerere je mbona husemi chochote mkuu.Mwenge aliouanzisha Mtakatifu Mtarajiwa Nyerere huukumbuki.Maaskofu huvaa pete ambazo waumini huzibusu.Tuseme wakristu huongozwa na viongozi walalao makaburini kama kigezo ni kuvaa pete?TATIZO LETU NI KWAMBA HATUFIKIRI WENYEWE.TUNAFIKIRISHWA.
......... mapapa wa Kikatoliki wote wana "Pete" vidoleni mwao ambazo hupewa na Kanisa, Makadinali wote (akiwamo Pengo !) wana "Pete" wanazopewa na Kanisa. Hizi nazo vipi ? :juggle:
duh, inatupasa kuwa makini sana na Haya magazeti. Maana wanaandika habari wauze...
bahati nzuri jana nilikuwepo ibadani Efatha Mwenge...alisema anaheshimu serikali na anamuogopa Mungu peke yake. Haogopi kitu kingine chochote (sio serikali, mahakama,polisi wala mtu). na wala hakusema yuko tayari kufa kwani hakuna anayeweza kufanya hivyo isipokuwa yeye aliye juu(MUNGU)... na ndivyo ilivyo...
Nabii na Mtume Joseph Mwingira amesema, yeye ni Mtume wa mitume wote duniani na hawezi kuogopa na polisi wanao mtafuta.
Amesema serikali ya Tz inaongozwa na watu wanalala makaburi na kuchanjwa chale na waganga wa kienyeji.
Amesema viongoz wakuu akiwemo rais wanavaa pete za wachawi na hirizi hivyo hawana uwezo wa kupambana naye.
Akiongea kwenye ibada alisema kama wananisaka kwa nini wasijekunikamata hapa kanisani? Nitapambana mpaka kieleweke, Nipotayari kufa. Amewataka waumini wake wasitishwe na viogozi wa serikali wanaolala Makaburini.
hivi kumbe haya mapete ya akina Malim@ na mkuu wa kaya ni ya kishirikina?
...............Mtaje katika Kitabu (Quran) Ibrahim. Hakika Yeye alikuwa mkweli, Nabii. Quran: Maryam 41.
............... Mtaje Mussa katika Kitabu (Quran). Hakika Yeye alikuwa ni mwenyekuchaguliwa na alikuwa Mtume, Nabii. Quran: Maryam 51.
........... Nasi kwa rehema zetu tukampa nduguye, Harun, awe Nabii. Quran: Maryam 53.
......... Mtaje katika Kitabu (Quran) Ismail. Bila shaka Yeye alikuwa ni mkweli wa ahadi, na alikuwa Mtume, Nabii. Quran; Maryam 54.
.......... Mtaje katika kitabu (Quran) Idris. Hakika Yeye alikuwa mkweli, Nabii. Quran: Maryam 56.
" Hao ndio tuliowapa Vitabu na hukumu na Unabii." Quran Al An'am 89.