mariavictima
Senior Member
- Jul 8, 2010
- 179
- 39
Duh!!! makubwa!! Yetu macho.
wajibu sasa!
Hata kama ni bazazi, alichosema ni haki yake kukisema. And so far, kila nikiangalia vidole vya hao wanaojiita viongozi wetu sikosi kuona pete ambazo zimetajwa! Kwa nini nisiamini kuwa nchi inaongozwa na walala makaburini? No wonder mambo yako hivi yalivyo
utume wake amepewa na nani...? kitabu gani ameshushiwa...? aache kudanganya watu kwa tamaa ya tumbo. huko anakoenda sasa (kuwatukana viongozi wa serikali) ajiandae kufirisika.
Nabii na Mtume Joseph Mwingira amesema, yeye ni Mtume wa mitume wote duniani na hawezi kuogopa na polisi wanao mtafuta.
Amesema serikali ya Tz inaongozwa na watu wanalala makaburi na kuchanjwa chale na waganga wa kienyeji.
Amesema viongoz wakuu akiwemo rais wanavaa pete za wachawi na hirizi hivyo hawana uwezo wa kupambana naye.
Akiongea kwenye ibada alisema kama wananisaka kwa nini wasijekunikamata hapa kanisani? Nitapambana mpaka kieleweke, Nipotayari kufa. Amewataka waum huyo mtume mwingira ni mtume wa uongo,aache huo upuuzi wake.na ninafíkili kuwa na yeye ni mmoja wa hao wanao lala makaburini mwanga mkubwa huyo
Nabii na Mtume Joseph Mwingira amesema, yeye ni Mtume wa mitume wote duniani na hawezi kuogopa na polisi wanao mtafuta.
Amesema serikali ya Tz inaongozwa na watu wanalala makaburi na kuchanjwa chale na waganga wa kienyeji.
Amesema viongoz wakuu akiwemo rais wanavaa pete za wachawi na hirizi hivyo hawana uwezo wa kupambana naye.
Akiongea kwenye ibada alisema kama wananisaka kwa nini wasijekunikamata hapa kanisani? Nitapambana mpaka kieleweke, Nipotayari kufa. Amewataka waumini wake wasitishwe na viogozi wa serikali wanaolala Makaburini.
Inaonyesha wewe si muumini wa Kakobe wala Mwingira pia huweze kuwa Mkatoliki ukashauli Wapentecosti .Huna sifa za kumkosoa Kakobe.Mahubiri yake ni ya kweli na Yanalenga kuwasaidia watu
aliwahi kumtangaza mrema kuwa ndo rais, unakumbuka kilichomkuta?
Amesema serikali ya Tz inaongozwa na watu wanalala makaburi na kuchanjwa chale na waganga wa kienyeji.
Amesema viongoz wakuu akiwemo rais wanavaa pete za wachawi na hirizi hivyo hawana uwezo wa kupambana naye.
.
......... mapapa wa Kikatoliki wote wana "Pete" vidoleni mwao ambazo hupewa na Kanisa, Makadinali wote (akiwamo Pengo !) wana "Pete" wanazopewa na Kanisa. Hizi nazo vipi ? :juggle:Hata kama ni bazazi, alichosema ni haki yake kukisema. And so far, kila nikiangalia vidole vya hao wanaojiita viongozi wetu sikosi kuona pete ambazo zimetajwa! Kwa nini nisiamini kuwa nchi inaongozwa na walala makaburini? No wonder mambo yako hivi yalivyo