Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Hivi unaweza kumkamata Nabii?
Nabii alithibitishwa na nani kuwa nabii?
Hivi mtu yeyote akijiita nabii anapata immunity?
Hapa ni masuala ya Sheria, na kama binadamu anayejiita nabii anapasika akamatwe kutokana na tuhuma za makosa ya jinai, WHY NOT?