Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawai ona timu inakodishwa duniani?aijengee Yanga uwanja ili iweje? umesikia wapi kuwa Barrick Gold / Acacia wanachimba dhahabu wanaiacha Tanzania? au gesi ya Mtwara inatolewa bure kuzalisha umeme wa Tanesco??
Kule mkutanoni wapo watu wengi fuata upepo, ao m/kiti akisema hawaoji chochote wala kidadisiSubirini tu haya maandalizi watayalipa hao wanafiki wachache waliopeleka mahakamani.chaajabu kama kweli wanaipenda yanga kwanini waogope mkutano mkuu ?
Kwann Manji asianzishe timu yake kama Azam, ushawai ona timu inakodishwa dunianHawa watu wachache watafute kazi wasitegemee yanga iwalishe
Pia uo uwanja wa mazoezi utakua chini ya umiliki wa Yanga Yetu Ltd na sio Yanga African ScManji ajengi uwanja ......rejea mkataba. Kigamboni ni mali ya Yanga Yetu. Atajenga uwanja wa mazoezi. Kajibu vizuri sana jana wakati anaojiwa na waandishi wa habari baada ya mkutano pale jangwani.
Yale Yale ya stand utd kampuni na stand utd fcNaanza kuona harufu ya migogoro yanga....labda Ule usemi " kwenye udhia penyeza rupia" unaweza kuinusulu
Mbona hayo maombi hayana muhuri wa kupokelewa na mahakamaMkutano Mkuu wa Yanga uliokuwa umepangwa kufanyika kesho Jumapili, Oktoba 23, 2016 unadaiwa kuota mbawa baada ya Mahakama kuupiga ‘stop’ kufuatia kesi iliyofunguliwa na baadhi ya wanachama kupinga mkutano huo wa dharura unaodaiwa kukiuka taratibu na uhalali wa siku za uitishwaji wake.
Mmoja wa wanachama hao ni Frank Chacha ambaye amethibitisha kufungua kesi hiyo, akizungumza kupitia ktuo kimoja cha redio nchini, amesema mkutano wa kwanza ulikuwa una makosa na mkutano wa pili pia umeitishwa kwa makosa na huku mkataba ukiwa umeshasainiwa na wakati huu sio wa kwenda kuujadili.
“Ni Kweli mkutano ulikuwa umepangwa kufanyika tarehe Oktoba 23, 2016 ambapo agenda zaidi ya 13 zingepaswa kujadiliwa lakini tumeiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa amri ya kuahirisha huo mkutano.
Ombi hili lilitolewa kupitia kesi namba 293 (2016) kesi ndogo namba 214 (2016) kati ya Frank Chacha muombaji wa kwanza na Magoma mwombaji wa pili huku walalamikiwa wakiwa ni Bodi ya Udhamini ya klabu ya Yanga na kampuni ya Yanga Yetu.”
“Katika maombi yetu ya dharura tuliomba mambo yafuatayo, Mkutano wa Oktoba 23, uzuiliwe kwasababu ni mkutano batili ambao haujafata taratibu za kisheria kwasababu notisi imekuja nje ya utaratibu pia makabrasha yalitakiwa yatolewe siku saba kabla ya mkutano kitu ambacho hakijafanyika,” ameongeza Chacha.
Ameongeza kuwa maombi mengine ni kusitishwa kwa utekelezaji wa mkataba kati ya Yanga Yetu na Bodi ya wadhamini uliosainiwa mnamo Oktoba 3, 2016.
Hatimaye Mahakama hiyo mbele ya Mheshimiwa Mwambapa, ikatoa amri ya kuzuia mara moja mkutano huo usifanyike na tayari tumeshaipa taarifa Bodi ya Wadhamini na Klabu ya Yanga kuwa mkutano huo usifanyike na mabango mengine kuhusiana na order hiyo tayari yameshabandikwa kwenye uwanja wa Kaunda.
View attachment 422314 View attachment 422315
Mmeshaongwa buku kumi na viroba ili wakija muwapige.Wao wameamua wawazuie kwa mbele.Subirini tu haya maandalizi watayalipa hao wanafiki wachache waliopeleka mahakamani.chaajabu kama kweli wanaipenda yanga kwanini waogope mkutano mkuu ?
Akae chini na nani huyo msalitiYanga hamtafika popote kwa kumtuka au kumkejeli mzee akilimali.Ninachoamini ni kua kuna wanayanga wengi sana walionyuma ya huyu mzee.Bila kukaa chini na kumaliza tofauti kwa amani na busara yanga yenye migogoro inanukia.
We ni simba ? Mkia upo wapi?Kweli mkuu angejitoa basi u mwenyekiti halafu wengine ndio wafanye mchakato. sio kila kitu anasimamia yeye tena kwa mikutano ya dharura. mi ni Simba ila kwa hili unaona kabisa watani wanaamua kwa kukurupuka.
njoo nikuonyesheWe ni simba ? Mkia upo wapi?