Kachero Mmakonde
Member
- Oct 13, 2016
- 19
- 24
Manji na ujanja wake wote Amekwama kwa Mtata akiliMali
Kweli mkuu angejitoa basi u mwenyekiti halafu wengine ndio wafanye mchakato. sio kila kitu anasimamia yeye tena kwa mikutano ya dharura. mi ni Simba ila kwa hili unaona kabisa watani wanaamua kwa kukurupuka.Mmh tunarud kulee kwenye yanga asili na yanga kampun...
Ila naona kama manji alitaka kuwakurupua tu yanga japokua ana malengo mazur...
Barua umeiona lakini inasema mkutano tarehe 22 badala ya tarehe 23,sijui kisheria hili jambo likojeMahakama ya Kisutu imezuia kufanyika mkutano mkuu wa dharula wa klabu ya Yanga uliopangwa kufanyika Jumapili ya tar 23 Oktoba kufuatia pingamizi la baadhi ya wanachama waliofika mahakamani hapo,
Taarifa zaidi itawajia.
We sio yanga we ni mkiaTunashukuru kama ni kweli. Huyu mkodishaji anataka apige dili gani kupitia yanga. Ndugu wanayanga kuifunga simba sio mafanikio Bali ni wajibu wa yanga na kiongozi yeyote wa yanga analitambua hill.
Yanga daima mbele.
Mikia bwana utawajua tuManji manji tuachie Yanga Yetu kwani huwezi kuanzisha timu yako?
Yah ni kwel mkuu angekaa pemben ili watu wachangie wakiwa na free mind maana sa hv naona kama wanamuogopa vile kupinga baadh ya vituKweli mkuu angejitoa basi u mwenyekiti halafu wengine ndio wafanye mchakato. sio kila kitu anasimamia yeye tena kwa mikutano ya dharura. mi ni Simba ila kwa hili unaona kabisa watani wanaamua kwa kukurupuka.
Manji ajengi uwanja ......rejea mkataba. Kigamboni ni mali ya Yanga Yetu. Atajenga uwanja wa mazoezi. Kajibu vizuri sana jana wakati anaojiwa na waandishi wa habari baada ya mkutano pale jangwani.hivi huyu mzee.....si yeye na wenziwe ndio wanapiga kelele timu iwe na uwanja wake? sasa uwanja utajengwa kwa kutumia makende??
Kwahiyo wanao pinga yanga kukodishwa sio wanayanga. Fikiria vizuri anayetaka kuikodi yanga kwa miaka10 ni mfanyabiashara kwahiyo ataitumia klabu kwa faida yake na sio kwa hasara. Tayari tunaambiwa klabu kwa sasa inadaiwa 11bil.We sio yanga we ni mkia