MadagascarPenguin
Senior Member
- Apr 6, 2015
- 108
- 64
Hv may 27 imefika?
Mi nilikuwa najiuliza swali hilox2...
Hv may 27 imefika?
Mi nilikuwa najiuliza swali hilox2...
Mleta post labda ataleta jibu ngoja atujuze
kWA SERIKALI HII SIKIVU HAKUNA HATUA ITAKAYOCHUKULIWA. ITAKUA BUSINESS AS USUAL. MARK MY WORDS. JAPO NILISIKIA IKIONGELEWA BUNGENI NA SELASININi jambo la aibu kubwa mno. Uchunguzi ufanyike na waliohusika wachukuliwe hatua za kisheria
Haya mambo yanatendeka kwa kasi sana huko kwenye magereza. Wengine huko wanakuwa na partners kabisa na kuwa huyo huwa hachangiwi. Kuna ambao pia wanafanya kwa ridhaa pia kwa ujira wa sigara, sabuni, bhangi, n.k. Ukimwi kule ni kama kawa!!! Condom zipo ila supply ni ndogo sana kuliko demand hivyo, tegemea masuala ya pekupeku ni makubwa.