wapenda pepo wote naomba msaada wenu tofauti kati ya mahaba na mapenzi jamani ntashukuru kwa hilo hi!!!!!!!!!!!
wapenda pepo wote naomba msaada wenu tofauti kati ya mahaba na mapenzi jamani ntashukuru kwa hilo
hi!!!!!!!!!!!
wapenda pepo wote naomba msaada wenu tofauti kati ya mahaba na mapenzi jamani ntashukuru kwa hilo
hi!!!!!!!!!!!
wapenda pepo wote naomba msaada wenu tofauti kati ya mahaba na mapenzi jamani ntashukuru kwa hilo
hi!!!!!!!!!!!
wapenda pepo wote naomba msaada wenu tofauti kati ya mahaba na mapenzi jamani ntashukuru kwa hilo
hi!!!!!!!!!!!
Hii ishaingia pahara pake...will be glad..to see the responce..
Mahaba ni hali ya kwanza ya kuanza kwa uhusiano...yaani wala hakuna anaye taka kuona mwezie anapotea katika uso wake...kila analo sema mwenzio ndio ambalo ulitaka kusikia toka mdomo wake...huna la kuchuja.Ukisoma hadithi za shingongo utaina mfano wake hasa ile iliyo fikia sehemu ya 17.
Mapenzi sasa hapo ndipo sasa unaanza kuwa makini na mwenzio...kila asemalo unajua ndio anacho maanisha...sio ambacho unataka kusikia...unakuwa mchunguzi sana na mwenendo wake...kwani unajua kuna uwezekano wa kuwa nae milele au vinginevyo...milele ndio linalo kuongoza.
Regards
Buswelu
wapenda pepo wote naomba msaada wenu tofauti kati ya mahaba na mapenzi jamani ntashukuru kwa hilo
hi!!!!!!!!!!!
wapenda pepo wote naomba msaada wenu tofauti kati ya mahaba na mapenzi jamani ntashukuru kwa hilo
hi!!!!!!!!!!!