Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
sisi huku kwetu tunavaa bila kificho..hadi baadhi ya walimu.
sisi huku kwetu tunavaa bila kificho..hadi baadhi ya walimu.
''ah! Wewe umenizidi tu kwa urefu umaskini na ujinga. . . . . Ila mimi nimekuzidi kwa pesa, elimu, wanawake, watoto . . . . Embu toka hapa, tulio ajiriwa UDOM Ni wa3 bwana, hao wengine ni dhiki zao zimewaleta'' Hayo co maneno yangu bali ni ya PFA ambayo alimtamkia m1 ya viongozi wa UDOSO
Bora wapige marufuku hayo Magwanda, wamekwenda kusoma au kuvaa magwanda kama kuna wanafunzi wanataka kuvaa Magwanda wasubiri wamalize chuo
Mapinduz hayazuiliki
Bora wapige marufuku hayo Magwanda, wamekwenda kusoma au kuvaa magwanda kama kuna wanafunzi wanataka kuvaa Magwanda wasubiri wamalize chuo
la Fatima KimarioKanisa gani mnavaa?
Bora wapige marufuku hayo Magwanda, wamekwenda kusoma au kuvaa magwanda kama kuna wanafunzi wanataka kuvaa Magwanda wasubiri wamalize chuo