sheria/mwongozo vinakataza siasa mashuleni/vyuoni
Uongozi wa chuo kikuu cha dodoma unaandaa mkakati wa kukataza wanafunzi kuvaa vazi la kichadema(gwanda) kwa kile wanachokiita kupiga vita siasa chuoni.hii imetokana na asilimia kubwa ya wanafunzi kuonekana kuwa wanavaa gwanda pamoja na skafu zenye rangi za chadema kana kwamba ndio sare ya chuo kwa hivi sasa. Habari hizi nimezipata kutoka kwa mwanachadema mmoja ambae anafanya kazi ofisi ya deputy vice chanselor(pfa) na hakutaka nimtaje jina lake. Chakujiuliza ni kwanini unapoingia chuoni kupitia chimwaga kuna bango lenye maandishi ccm?
''ah! Wewe umenizidi tu kwa urefu umaskini na ujinga. . . . . Ila mimi nimekuzidi kwa pesa, elimu, wanawake, watoto . . . . Embu toka hapa, tulio ajiriwa UDOM Ni wa3 bwana, hao wengine ni dhiki zao zimewaleta'' Hayo co maneno yangu bali ni ya PFA ambayo alimtamkia m1 ya viongozi wa UDOSO
Bora wapige marufuku hayo Magwanda, wamekwenda kusoma au kuvaa magwanda kama kuna wanafunzi wanataka kuvaa Magwanda wasubiri wamalize chuo
Haya wewe unaolijua endelea kuvaa hayo Magwanda tuone kama hao CDM watakusaidia chochote zaidi ya kukupa pole na kuitwa mpambanaji
msichanganye siasa na elimu, fuata kilichokupeleka tusua GPA yako ya ukwel, uone utam wa maisha. Ushabik usio na msing utakufukuzisha chuo na hutamuona mwanasiasa hata mmoja aje kukutetea. Tanzania hamna siasa kuna mfumo wa kuchumia tumbo.
!!Changanya na zako!!
Bora wapige marufuku hayo Magwanda, wamekwenda kusoma au kuvaa magwanda kama kuna wanafunzi wanataka kuvaa Magwanda wasubiri wamalize chuo
Bora wapige marufuku hayo Magwanda, wamekwenda kusoma au kuvaa magwanda kama kuna wanafunzi wanataka kuvaa Magwanda wasubiri wamalize chuo
<br><br>majungu ndio ya watanzania.., alichokifanya mlacha udom ni cha kupongezwa lakini kwakuwa kila kitu siasa lazima mtaponda tu.., tatizo si udom ni hazina wenyewe kama hao jamaa hawawekewi hela kwenye ac ya chuo unategemea walipe nn sasa..,acheni ujinga watanzania fanyeni kazi msiendekeze itikadi zisizo na tija..,hapo udom akija kuondoka mlacha ndio watasoma namba kinabo kila siku anajitahidi kuhangaikia mitaala na kupambana na tcu huyo director human resources kama sikosei anaitwa mama sawasawa nenda udom kaulizie work perfomance yake mpaka wanajiuliza kwann achukuliwi serikalini., vc nae inaonekana perfomance yake ni nzuri..,acheni udini watanzania..,fanyeni kazi Hiyo ndo kazi wanayoiweza hao wazee. wameshindwa kuwalipa walimu wetu mishahara yao mipya tangu wawapromote mwaka jana november 26, 2010. Nadhani na hujiuliza hivi mh Rais hawa wazee watatu (VC, DVC-ARC na PFA) uliwateua waje kutesa watanzania hapa udom? kama sivyo mbona wanajidai kuwa wana mtu huwa anawakumbatia na wewe mh Rais unatajwa? Kama huwakumbatii ama hawakumbatiwi na serikali yako kazi yao ilikuwa kujenga magorofa na sio kuwa daraja kati yao na serikali kuwezesha wafanyakazi na wanafunzi kupata haki zao?<br>
<br>
Hivi kweli waheshimiwa Mkulo, Ghasia na Kawambwa mmekubali kabisa walimu hawa kulipwa mishahara isiyostahili yao kwa mwaka sasa wakati wenzao SUA, MUCE, DUCE na UDSM wakishakuwa promoted mwezi unaofuatia wanalipwa stahili zao?, Hawa wa UDOM wana hazina yao peke yao ambayo pia iko nje ya nchi hii?<br>
<br>
Najiuliza huyu pfa, mhasibu mkuu na director human resource wangekuwa wanafanya kazi china wangekuwa bado hai kweli kwa ukatili, dharau na kutokuwajibika kwao huku?