tempo_user1
Senior Member
- Sep 7, 2010
- 134
- 15
we una lako jambo
Pumba tupu babake.
Huyo mtoto wako nina wasiwasi kama atafaulu la Saba kama yuko la na hajui kinachoendelea Tanzania.
yaani atavaa kimasai?
yaani atavaa kimasai?
kila nikiangalia. dk slaa sijawahi kumuona akivaa suti na tai kama tulivyozoea kuona viongozi wetu wakuu. jee dk slaa akiwa rais kama inavyonyesha kwenye jf jee tutegemee aina nyegine ya kivazi
dk slaa akialikwa kimatifa, tutegemee aina nyengine ya mavazi kwa rias wetu?
Kunasheria inayosema rais lazma avae suti TANZANIA? Mie nimependekeza kama atakubaliana na mabendekezo yangu itanifurahisha sana but yawezekana akamua kutinga vitenge pia kwa sababu tunachojali zaidi yuko smart katika vazi alilotoka nalo na ujumbe wake (unasaidiaje wa tz?) HICHO NDICHO MUHIMU. ATAVAAJE? SI BIG DEAL KWA WA TZ KWA SASA HIVIduh, kwanini havai suti? Au maadili yanamkataza
kila nikiangalia. dk slaa sijawahi kumuona akivaa suti na tai kama tulivyozoea kuona viongozi wetu wakuu. jee dk slaa akiwa rais kama inavyonyesha kwenye jf jee tutegemee aina nyegine ya kivazi
dk slaa akialikwa kimatifa, tutegemee aina nyengine ya mavazi kwa rias wetu?
Kwani kuna ubaya gani? gadafu huwa havai western suti na wala sijaona kuwa hilo ni tatizo. Kwanza kuendekeza suti kunaweza kuwa sehemu ya kuendeleza ukoloni manboleo, kwa nini tusiwe na vazi letu la taifa?yaani atavaa kimasai?