Lalo Salamanca
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 1,527
- 1,098
Hata ukifika kwenye usaili unakutana na vikwazo
unaulizwa maswali ya ajabuajabu ya kukomolewa ili mradi tu ushindwe kujibu
hii ni aina nyingine ya udhalilishaji
Unasailiwa na mtu ambaye sio hata wa profession yako, ndio hayo maswali ya kukomoa na yasiyoeleweka, kuna vituko sana huko basi tu...,mtu anakufanyia usaili huku anasoma maswali kwenye karatasi, as if hawezi kuformulate maswali kwa kichwa, sasa anapimaje uelewa wa anayemsaili? Kama anasoma maswali means ana marking scheme na anaexpect ujibu majibu aliyonayo kwenye karatasi...Ujinga sana.