Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

Hata ukifika kwenye usaili unakutana na vikwazo

unaulizwa maswali ya ajabuajabu ya kukomolewa ili mradi tu ushindwe kujibu

hii ni aina nyingine ya udhalilishaji

Unasailiwa na mtu ambaye sio hata wa profession yako, ndio hayo maswali ya kukomoa na yasiyoeleweka, kuna vituko sana huko basi tu...,mtu anakufanyia usaili huku anasoma maswali kwenye karatasi, as if hawezi kuformulate maswali kwa kichwa, sasa anapimaje uelewa wa anayemsaili? Kama anasoma maswali means ana marking scheme na anaexpect ujibu majibu aliyonayo kwenye karatasi...Ujinga sana.
 
mh!jamani maisha ni balaa,kumbe kaz ni kla k2 ndg zangu hasa kwass masikin,mwenzenu ninamalza sasa mwaka wa 3cna kaz nshafanya application zaid ya mia,nimeambulia tu written inaishia hapo,nliwah kupewa interview moja na recruiter fulan hv kesho yake nka2miwa email nimepta nisubir maelekezo nkatumiwa fomu ya kujaza had leo kimya cjapata feedbak yoyote,nina familia naumia cwez hta kumnunulia mwanangu zawad baba ndo anajulkana mtoa zawad na out inauma jaman!!nmejarbu kujtafutia kbiashara cha kununua baadh ya vtu kkoo km vtenge,perfume na kutembeza kwa wa2 lkn mtaj unakataa kbsa na pia wanunuaj wanaishia kukwambia kko bei18 we unauza 20 hapana tutafuata huko,yan unajkuta very frustrated na degree yangu hta cna mwelekeo.unataman kuomba msaada lkn kwa cc wanawake ningumu kusaidiwa na mwanaume atataka mambo mengne,hal imekua ngumu mno jaman.i feel like telling the world magumu haya nipunguze uzto huu wa maumvu nayoptia bla kuwa na kpato.
asante mwanzisha mada nimetoa ya moyon atleast kdogo.
 
Unasailiwa na mtu ambaye sio hata wa profession yako, ndio hayo maswali ya kukomoa na yasiyoeleweka, kuna vituko sana huko basi tu...,mtu anakufanyia usaili huku anasoma maswali kwenye karatasi, as if hawezi kuformulate maswali kwa kichwa, sasa anapimaje uelewa wa anayemsaili? Kama anasoma maswali means ana marking scheme na anaexpect ujibu majibu aliyonayo kwenye karatasi...Ujinga sana.
Hii iliwahi nikuta kwenye recruitment agency moja. mdada ananiuliza maswali anasoma kwenye madesa! Halafu ananisomea na majibu kunisahihisha!. Nishida.
 
Mimi nilianza kazi kama secretary maana nilikosa kazi ya fani yangu, lakini nilikuwa secretary wa plant manager,imagine kuona wenzangu wakifanya kazi za staili yao wakija kunipita I felt bad, lakini Mungu si athumani baada ya miezi 3 ikatokea nafasi nikapata na mpaka sasa ndio nimetoka kwenye operations niko kwenye strategic planning zaidi

Usichague kazi kama huna kazi, pia kila mwaka mwezi wa 4 kuna career fair Uni of dar

aiesec career fair
 
mh!jamani maisha ni balaa,kumbe kaz ni kla k2 ndg zangu hasa kwass masikin,mwenzenu ninamalza sasa mwaka wa 3cna kaz nshafanya application zaid ya mia,nimeambulia tu written inaishia hapo,nliwah kupewa interview moja na recruiter fulan hv kesho yake nka2miwa email nimepta nisubir maelekezo nkatumiwa fomu ya kujaza had leo kimya cjapata feedbak yoyote,nina familia naumia cwez hta kumnunulia mwanangu zawad baba ndo anajulkana mtoa zawad na out inauma jaman!!nmejarbu kujtafutia kbiashara cha kununua baadh ya vtu kkoo km vtenge,perfume na kutembeza kwa wa2 lkn mtaj unakataa kbsa na pia wanunuaj wanaishia kukwambia kko bei18 we unauza 20 hapana tutafuata huko,yan unajkuta very frustrated na degree yangu hta cna mwelekeo.unataman kuomba msaada lkn kwa cc wanawake ningumu kusaidiwa na mwanaume atataka mambo mengne,hal imekua ngumu mno jaman.i feel like telling the world magumu haya nipunguze uzto huu wa maumvu nayoptia bla kuwa na kpato.
asante mwanzisha mada nimetoa ya moyon atleast kdogo.

Dah pole sana mkuu. wahanga tupo wengi. Ila atafutae hachoki na akichoka kishapata. Ipo siku utasahau yote hayo. Usidhani kwamba umepoteza mud,a na resource nyingine kusoma. Mungu anampango wako amekuandalia. Muhimu kush viruses may I ufike. Usife moyo ndugu.
 
sanga tena we ni kamkinga kenzangu ... bro achana kabiasa na mawazo ya kichuo chuon huwezi toka chuo uanzishe NGO huo ni utindio kwanza zalisha fungua shamba ...hata kama huna mtaji sizdhani utakosa hata laki tano ukiichukua uende kijijini ndani mno kuna vilimo vya muda mfupi kama vitunguu swaumu matikiti ni miez 3 tuu una piga zaidi ya 10 m ....serious huwezi anzisha NGO una chini ya 100 m ni kupoteza muda
Unavyoongea kuhusu hiyo laki tano utafikiri sh 100 vile. Acha nadharia wewe ,nadhani kuna watu hawajaishi ulimwengu wa kutoka chuo na kupigika vibaya mno! Ushawahi lima wewe? Unaongelea vitunguu na matikiti unajua gharama zake? Usikurupuke shirikisha ubongo toa experience ya vitu ulivyopitia sio vya kufikirika.
 
Lol! Bora wewe mkuu! Mimi niliomba kazi kwenye kampuni moja ya wahindi. Nkapata kama materials manager, cha ajabu kazini unaingia saa 1 Asubuhi unatoka sa 3 usiku, nkajifanya mbishi nkatoka sa 12 kesho yake manager ananipa adhabu eti nichukue fyekeo nifyeke nyasi eneo la ofisi! Kha! Nkamtukana matusi ya nguoni nkalala mbele! Juzi napata taarifa kuna dogo kampiga vichwa! Ki ukweli inauma sana, kazi ngumu mshahara kiduchuuu! Afu bado dharau kibao! Kwa macho yangu nlishuhudia mzee wa miaka 47 na ni holder wa certificate ya electrical akidekishwa ofisi na muhindi wa miaka 30! Manyanyaso makubwa, kisa amedondosha kikombe cha chai ofisin, nilijisikia kulia!

Hahah dah mkuu pole Sanaa! Mungu atakusaidia tuu
 
mh!jamani maisha ni balaa,kumbe kaz ni kla k2 ndg zangu hasa kwass masikin,mwenzenu ninamalza sasa mwaka wa 3cna kaz nshafanya application zaid ya mia,nimeambulia tu written inaishia hapo,nliwah kupewa interview moja na recruiter fulan hv kesho yake nka2miwa email nimepta nisubir maelekezo nkatumiwa fomu ya kujaza had leo kimya cjapata feedbak yoyote,nina familia naumia cwez hta kumnunulia mwanangu zawad baba ndo anajulkana mtoa zawad na out inauma jaman!!nmejarbu kujtafutia kbiashara cha kununua baadh ya vtu kkoo km vtenge,perfume na kutembeza kwa wa2 lkn mtaj unakataa kbsa na pia wanunuaj wanaishia kukwambia kko bei18 we unauza 20 hapana tutafuata huko,yan unajkuta very frustrated na degree yangu hta cna mwelekeo.unataman kuomba msaada lkn kwa cc wanawake ningumu kusaidiwa na mwanaume atataka mambo mengne,hal imekua ngumu mno jaman.i feel like telling the world magumu haya nipunguze uzto huu wa maumvu nayoptia bla kuwa na kpato.
asante mwanzisha mada nimetoa ya moyon atleast kdogo.
pole sana dada yangu,MUNGU atakufuta machozi.
 
mh!jamani maisha ni balaa,kumbe kaz ni kla k2 ndg zangu hasa kwass masikin,mwenzenu ninamalza sasa mwaka wa 3cna kaz nshafanya application zaid ya mia,nimeambulia tu written inaishia hapo,nliwah kupewa interview moja na recruiter fulan hv kesho yake nka2miwa email nimepta nisubir maelekezo nkatumiwa fomu ya kujaza had leo kimya cjapata feedbak yoyote,nina familia naumia cwez hta kumnunulia mwanangu zawad baba ndo anajulkana mtoa zawad na out inauma jaman!!nmejarbu kujtafutia kbiashara cha kununua baadh ya vtu kkoo km vtenge,perfume na kutembeza kwa wa2 lkn mtaj unakataa kbsa na pia wanunuaj wanaishia kukwambia kko bei18 we unauza 20 hapana tutafuata huko,yan unajkuta very frustrated na degree yangu hta cna mwelekeo.unataman kuomba msaada lkn kwa cc wanawake ningumu kusaidiwa na mwanaume atataka mambo mengne,hal imekua ngumu mno jaman.i feel like telling the world magumu haya nipunguze uzto huu wa maumvu nayoptia bla kuwa na kpato.
asante mwanzisha mada nimetoa ya moyon atleast kdogo.


Pole Sana Dada....

umesomea nini? naweza kukusaidia.
 
MUNGU awabariki wote ambao wanateseka na hili janga la ajira,ila naamini ukiamini katika MUNGU na kufanya maombi sio tu ilimradi uliomba ila kwa moyo na imani kuu hakuna linaloshindikana, iwe katika kazi au biashara, MUNGU ni mwema wanajamvi na mbele ya MUNGU tu wote sawa haijalishi mkristu au muislamu au mpagani,ni imani tu na sala,hakuna linaloshindikana ingawa majaribu ni mengi na yakukatisha tamaa ila kwa imani na sala hakuna kinachoshindikana.
 
MUNGU awabariki wote ambao wanateseka na hili janga la ajira,ila naamini ukiamini katika MUNGU na kufanya maombi sio tu ilimradi uliomba ila kwa moyo na imani kuu hakuna linaloshindikana, iwe katika kazi au biashara, MUNGU ni mwema wanajamvi na mbele ya MUNGU tu wote sawa haijalishi mkristu au muislamu au mpagani,ni imani tu na sala,hakuna linaloshindikana ingawa majaribu ni mengi na yakukatisha tamaa ila kwa imani na sala hakuna kinachoshindikana.
Amina. Kuna Siku namimi nitakuja na mapito YANGU. MUNGU awatie nguvu wote wenye magumu haya na dumuni katka Maombi.
 
mh!jamani maisha ni balaa,kumbe kaz ni kla k2 ndg zangu hasa kwass masikin,mwenzenu ninamalza sasa mwaka wa 3cna kaz nshafanya application zaid ya mia,nimeambulia tu written inaishia hapo,nliwah kupewa interview moja na recruiter fulan hv kesho yake nka2miwa email nimepta nisubir maelekezo nkatumiwa fomu ya kujaza had leo kimya cjapata feedbak yoyote,nina familia naumia cwez hta kumnunulia mwanangu zawad baba ndo anajulkana mtoa zawad na out inauma jaman!!nmejarbu kujtafutia kbiashara cha kununua baadh ya vtu kkoo km vtenge,perfume na kutembeza kwa wa2 lkn mtaj unakataa kbsa na pia wanunuaj wanaishia kukwambia kko bei18 we unauza 20 hapana tutafuata huko,yan unajkuta very frustrated na degree yangu hta cna mwelekeo.unataman kuomba msaada lkn kwa cc wanawake ningumu kusaidiwa na mwanaume atataka mambo mengne,hal imekua ngumu mno jaman.i feel like telling the world magumu haya nipunguze uzto huu wa maumvu nayoptia bla kuwa na kpato.
asante mwanzisha mada nimetoa ya moyon atleast kdogo.

Assume ungekuwa mwanamme ingekuwaje? Bora una backup ya mzee kinachokuumiza kwa sasa si kukosa kazi bali degree yako hauitumii.
 
Japo bado sijapata kazi rasmi, nina ushuhuda wa kuwapa enyi watafutaji wa kazi kama mimi mja wa MUNGU. Kuna waajili wengine hapa nchini wanachangia kutufanya tuonekane kuwa tuna maisha magumu na ionekane kuwa tuna shida sana ya kupata kazi japo sio kwa wote, nakumbuka tar 1/8/2014 +255652198676 company X ilinihitaji kufika dar kwa ajili ya usaili wa Fertilizer Sales Person kwa bahati nzuri nikawaambia nipo nje ya dar kwa maana kwamba npo mkoani, nikasisitizwa kuwa nijitahidi nifike siku hiyo nikajipanga nikaamua kufunga kabiashara kangu hapa mjini ili nielekee huko dar kwa interview. Kitu Cha ajabu ni kwamba nilipoanza safari njiani walikuwa wakinipigia simu kuwa nmefika wapi, ile npo kimara tu, nikatumiwa sms kuwa wamearisha usaili wangu mpaka wiki inayofuata (nitapigiwa simu). Sikuwajibu nikasubiri mpaka niliposhuka kwenye basi ubungo, nikajaribu kuwasiliana nao lakini hawakunielewa kabisa na nikadiriki kuwaomba wanichangie japo nauli ya kurudia mkoani lakini nikajibiwa kuwa company yao haifanyi utaratibu huo.
"Anyway kwa sisi ambao tunatafuta kazi tunahitaji neema ya Mungu itulinde kwa kila khali tunayokutana nayo maana kwa upande wangu siku hii (1/8/2014) nilikuwa SO CONFUSED" nikaamua kuwatumia sms kuwa naomba wasitumie cv yangu tena kwa shughuri zao za kiofisi. Hata kama tupo wengi sana tunaotafuta kazi lakini heshima zetu zpo pale pale mm ndivyo ninavyoamini, Wahitimu wote naomba mjitahidi kuwa na PLAN B za maisha maana mtaani sio kuzuri, mimi natumia PLAN B kuendesha maisha na kujipatia nauli za kuhudhuria interview ninazoitwa."
Magumu yapo mengi ndugu yangu lakini kwa upande wangu hili ndilo lmenichemsha sana na nmekuwa nachagua interview za kuhudhuria sio kila interview ninayoitwa nahudhuria!.

Thanx!, Am out

Japo sio mazuri nimejikuta nimecheka sana hasa hapo baada ya kufika kimara na kuambiwa kua usaili umehirishwa, dah pole sana mkuu
 
Japo sio mazuri nimejikuta nimecheka sana hasa hapo baada ya kufika kimara na kuambiwa kua usaili umehirishwa, dah pole sana mkuu

Thanx Mkuu, Najua ni mapito tu! Ila hawa watu sitowasahau kabisa watu wa recruitment agency wanaofahamika vizuri tu! na wanatangaza nafasi za kazi karibia kila siku
 
[



Nakuombea sana Mungu akusaidie update kazi yenye kipato cha uhakika Dada Maria. Usikate tamaa endelea kumuomba Mungu kwa imani, zamu yako itafika. Nimeguswa sana na story yako.
UOTE=maria cruz;10777240]mh!jamani maisha ni balaa,kumbe kaz ni kla k2 ndg zangu hasa kwass masikin,mwenzenu ninamalza sasa mwaka wa 3cna kaz nshafanya application zaid ya mia,nimeambulia tu written inaishia hapo,nliwah kupewa interview moja na recruiter fulan hv kesho yake nka2miwa email nimepta nisubir maelekezo nkatumiwa fomu ya kujaza had leo kimya cjapata feedbak yoyote,nina familia naumia cwez hta kumnunulia mwanangu zawad baba ndo anajulkana mtoa zawad na out inauma jaman!!nmejarbu kujtafutia kbiashara cha kununua baadh ya vtu kkoo km vtenge,perfume na kutembeza kwa wa2 lkn mtaj unakataa kbsa na pia wanunuaj wanaishia kukwambia kko bei18 we unauza 20 hapana tutafuata huko,yan unajkuta very frustrated na degree yangu hta cna mwelekeo.unataman kuomba msaada lkn kwa cc wanawake ningumu kusaidiwa na mwanaume atataka mambo mengne,hal imekua ngumu mno jaman.i feel like telling the world magumu haya nipunguze uzto huu wa maumvu nayoptia bla kuwa na kpato.
asante mwanzisha mada nimetoa ya moyon atleast kdogo.[/QUOTE]
 
poleni sana wahanga mimi nilikaa miezi mitatu baada ya kutoka chuo hicho kipindi sisahau yaaani unajikuta huna hata mia mfukoni,maisha yalikuwa magumu sana na mawazo mengi sana kwa kweli nilikonda sana
nashukuru Mungu kwa kazi niliyopata,ila msikate tamaa ndugu zangu mtafanuikiwa kwa wakati ukifikaa
 
Back
Top Bottom