Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Tangu arejeshwe kwenye wizara yake ya zamani mh. Pombe Magufuliamekuwa akitamba ya kuwa atakuwa akisimamia matakwa ya sheria bila ya kumuonea haya mtu yeyote. Mwishoni mwa wiki iliyopita waziri mkuu Pinda alitangaza kufutwa kwa zoezi la bomoa bomoa ya nyuma zilizojengwa ndani ya hifadhi ya barabara. Kwakuwa agizo hilo linakinzana na sheria ambayo mh. Magufuli aliapa kuilinda, hana budi kukataa agizo hilo la Pinda kwa nguvu zote.