Siku zotenimekuwa kinyume na watu wengi ambao huwashangilia baadhi ya mawaziri a serkali ya CCM,AMBAO HUONEKANA KAMA VILE WANAFANYA KAZI VIZURI SAANA!
Hii yote huwa ni ghiliba tu kwa Wtanzania na pengine kujitafutia umaarufu binafsi...ishu hapa ni kuwa tupo kwenye mfumo uliooza wala hawezi akasimsm mtu ambaye yupo humo ndani akasema yeye ni safi ,utakuwaje safi kwenye mfumo wa maji taka! Hata SITA na Mwakyembe siku yao inakuja .
mGUFULI ULIINGIIA KWENYE KENYE GIZA NA MSHUMAA ULITARAJIA NINI .
Kama wewe ni mjamja toka uje CUF Tujenge NCHI YETU ! Huko ni mwendo wa kuwang.ata wajinga na kuwapuliza huwezi!
Hii yote huwa ni ghiliba tu kwa Wtanzania na pengine kujitafutia umaarufu binafsi...ishu hapa ni kuwa tupo kwenye mfumo uliooza wala hawezi akasimsm mtu ambaye yupo humo ndani akasema yeye ni safi ,utakuwaje safi kwenye mfumo wa maji taka! Hata SITA na Mwakyembe siku yao inakuja .
mGUFULI ULIINGIIA KWENYE KENYE GIZA NA MSHUMAA ULITARAJIA NINI .
Kama wewe ni mjamja toka uje CUF Tujenge NCHI YETU ! Huko ni mwendo wa kuwang.ata wajinga na kuwapuliza huwezi!