Magufuli umevuna ulichopanda baba!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,165
9,376
Siku zotenimekuwa kinyume na watu wengi ambao huwashangilia baadhi ya mawaziri a serkali ya CCM,AMBAO HUONEKANA KAMA VILE WANAFANYA KAZI VIZURI SAANA!
Hii yote huwa ni ghiliba tu kwa Wtanzania na pengine kujitafutia umaarufu binafsi...ishu hapa ni kuwa tupo kwenye mfumo uliooza wala hawezi akasimsm mtu ambaye yupo humo ndani akasema yeye ni safi ,utakuwaje safi kwenye mfumo wa maji taka! Hata SITA na Mwakyembe siku yao inakuja .
mGUFULI ULIINGIIA KWENYE KENYE GIZA NA MSHUMAA ULITARAJIA NINI .
Kama wewe ni mjamja toka uje CUF Tujenge NCHI YETU ! Huko ni mwendo wa kuwang.ata wajinga na kuwapuliza huwezi!
 
Acheni uzushi ndugu zangu, huu ni uchonganishi au fitna ndugu zangu. Tujifunze kusikiliza na kusema uhalisia bila kuingiza matakwa yetu au yaliyomo kwenye akili zetu.
 
Siku zotenimekuwa kinyume na watu wengi ambao huwashangilia baadhi ya mawaziri a serkali ya CCM,AMBAO HUONEKANA KAMA VILE WANAFANYA KAZI VIZURI SAANA!
Hii yote huwa ni ghiliba tu kwa Wtanzania na pengine kujitafutia umaarufu binafsi...ishu hapa ni kuwa tupo kwenye mfumo uliooza wala hawezi akasimsm mtu ambaye yupo humo ndani akasema yeye ni safi ,utakuwaje safi kwenye mfumo wa maji taka! Hata SITA na Mwakyembe siku yao inakuja .
mGUFULI ULIINGIIA KWENYE KENYE GIZA NA MSHUMAA ULITARAJIA NINI .
Kama wewe ni mjamja toka uje CUF Tujenge NCHI YETU ! Huko ni mwendo wa kuwang.ata wajinga na kuwapuliza huwezi!


Wewe ndo unampoteza kabisaaaa.......!!!
 
Yaani aruke mk*j* akanyage m*v*!!!! . Umesema vizuri mwanzo ukakoseamwisho......watu kama Maguful;i hawezi kuwa CCM na wakafanya kazi. Ngoja tuone kama naye atafyata...na kuamua kula nao tu.
 
Kwahiyo CUF ndio watu safi wasio na mawaa yaani malaika. Duuuh hii inanikumbusha msemo wa HAMAD RASHID " HATUWEZI (CUF)KUWAACHIA NGURUWE(CCM) SHAMBA WAFAIDI WENYEWE"
 
Yaani aruke mk*j* akanyage m*v*!!!! . Umesema vizuri mwanzo ukakoseamwisho......watu kama Maguful;i hawezi kuwa CCM na wakafanya kazi. Ngoja tuone kama naye atafyata...na kuamua kula nao tu.

Maghufuli anatakiwa aripoti CDM bila kuchelewa maana hapo alipo malengo yake na ndoto zake haziwezi kutimia.
Njoo CDM kwa watu wa kazi wenye nia ya kutetea wanyonge wa Tanzania na kuwatumikia Watanzania bila rushwa, ufisadi na wizi,chupa Ndg bado mapema tupange mikakati!!!!!!!!!
 
Mara CUF mara CHADEMA..guys give him a break.Mwenyewe ni smart enough na anajua anachokifanya.Wewe kama unaona kuwa chadema au cuf ndiyo kutetea wanyonge just carry on.Muacheni Magufuli aendelee na shughuli zake.
 
Teh, teh, teheeee...... Kwa Tanzania wakisema tufanye kazi hawamaanishi. hivyo Magufuli wala usihangaike nao. Lakini waweza kusuka au kunyoa. .......... kubaki na kuungana nao au kuondoka.......
 
Siku zotenimekuwa kinyume na watu wengi ambao huwashangilia baadhi ya mawaziri a serkali ya CCM,AMBAO HUONEKANA KAMA VILE WANAFANYA KAZI VIZURI SAANA!
Hii yote huwa ni ghiliba tu kwa Wtanzania na pengine kujitafutia umaarufu binafsi...ishu hapa ni kuwa tupo kwenye mfumo uliooza wala hawezi akasimsm mtu ambaye yupo humo ndani akasema yeye ni safi ,utakuwaje safi kwenye mfumo wa maji taka! Hata SITA na Mwakyembe siku yao inakuja .
mGUFULI ULIINGIIA KWENYE KENYE GIZA NA MSHUMAA U

atoke timu A aende timu B si ndio? Cuf na ccm ni pande 2 of the same coin!
 
maghufuli anatakiwa aripoti cdm bila kuchelewa maana hapo alipo malengo yake na ndoto zake haziwezi kutimia.
Njoo cdm kwa watu wa kazi wenye nia ya kutetea wanyonge wa tanzania na kuwatumikia watanzania bila rushwa, ufisadi na wizi,chupa ndg bado mapema tupange mikakati!!!!!!!!!

sisi wenyewe tulihamia chadema na kufanikiwa kutwaa jimbo la ubungo kupinga ukandamizaji aliotufanyia magufuli mwaka 2001 kwa kutupandia mawe na mabango yanayoonyesha mwisho wa hifadhi ya barabara mita 120 kutoka katikati ya barabara kati ya ubugno hadi kiruvia badala ya mita 22 ambao ndio upana unaotamkwa na sheria.hivyo huyu sio mtetezi wa wanyonge hata kidogo
 
mGUFULI ULIINGIIA KWENYE KENYE GIZA NA MSHUMAA ULITARAJIA NINI .
Kama wewe ni mjamja toka uje CUF Tujenge NCHI YETU ! Huko ni mwendo wa kuwang.ata wajinga na kuwapuliza huwezi!

CUF Wenyewe mbona wanafiki tu kama JK? Kila siku wanamshabikia JK,Magufuli akija CUF AMEJIUA Kisiasa bora abaki CCM tu avujmilie Kejeli but CUF ndo chafu kuliko hata maji taka unayoyasema!
 
Ukweli ni kwamba tusijidanganye. Serikali yoyote ile corruption itakuwepo, ata ya hiyo CHADEMA yenu. Kitu ambacho viongozi wa CCM wameshidnwa ni kuwa na political will (ambayo chadema seems to have, at the moment) and to an even more catastrophic effect, wameshindwa kuweka institutional framework yakubana corruption. Hapa ndipo tatizo lilipo. Watanzania wanalalamika viongozi wao wezi, lakini (morality notwithstanding) watanzania wenyewe ni wezi wazuri tuu, tena hawana ata haya. Nilikua naangalia post hapo kwa bwana issamichuzi ya ajali ya wanataarabu, nilichoona ni yale yale yanayotokea nchi hii kila kona. Watanzania, tena haswa hao wanaoitwa wanavijiji sijui wakulima wanatabia yakuiba kwenye ajali na ata kumalizia majeruhi ili waibe. Watu 12 wamekufa lakini kuna watu wanascavenge kama fisi kwenye ajali. Hao ndio aina ya watanzania ambao viongozi wetu CCM na ata vyama vingine given the chance, wanawawakilisha. People who behave like animals? Wafanyweje?
 
Acheni uzushi ndugu zangu, huu ni uchonganishi au fitna ndugu zangu. Tujifunze kusikiliza na kusema uhalisia bila kuingiza matakwa yetu au yaliyomo kwenye akili zetu.

Freema yaliyopo kwenye akili zetu ndio uhalisia wetu na ndio matakwa yetu ,kinyume chake hiyo sio akili
 
Ukweli ni kwamba tusijidanganye. Serikali yoyote ile corruption itakuwepo, ata ya hiyo CHADEMA yenu. Kitu ambacho viongozi wa CCM wameshidnwa ni kuwa na political will (ambayo chadema seems to have, at the moment) and to an even more catastrophic effect, wameshindwa kuweka institutional framework yakubana corruption. Hapa ndipo tatizo lilipo. Watanzania wanalalamika viongozi wao wezi, lakini (morality notwithstanding) watanzania wenyewe ni wezi wazuri tuu, tena hawana ata haya. Nilikua naangalia post hapo kwa bwana issamichuzi ya ajali ya wanataarabu, nilichoona ni yale yale yanayotokea nchi hii kila kona. Watanzania, tena haswa hao wanaoitwa wanavijiji sijui wakulima wanatabia yakuiba kwenye ajali na ata kumalizia majeruhi ili waibe. Watu 12 wamekufa lakini kuna watu wanascavenge kama fisi kwenye ajali. Hao ndio aina ya watanzania ambao viongozi wetu CCM na ata vyama vingine given the chance, wanawawakilisha. People who behave like animals? Wafanyweje?
Viongozi wa vyama vingine umewajuaje na hatujawapa hiyo chance!
 
muanzisha thread bomoabomoa iko palepale! Magufuli kasema hivyo! siyo JK! so stay tuned!
 
Mara CUF mara CHADEMA..guys give him a break.Mwenyewe ni smart enough na anajua anachokifanya.Wewe kama unaona kuwa chadema au cuf ndiyo kutetea wanyonge just carry on.Muacheni Magufuli aendelee na shughuli zake.[/QUOTE]

hapo kwneye red ulimaanisha shughuli binafsi au?maan shughuli nyingine wamemwambia aache kutafuta sifa,yani alianza waziri mkuu akamalizia rais mchakachuaji...wamemwacha uchi..huwezi kuwa safi kama upo ccm..never..
 
Siku zotenimekuwa kinyume na watu wengi ambao huwashangilia baadhi ya mawaziri a serkali ya CCM,AMBAO HUONEKANA KAMA VILE WANAFANYA KAZI VIZURI SAANA!
Hii yote huwa ni ghiliba tu kwa Wtanzania na pengine kujitafutia umaarufu binafsi...ishu hapa ni kuwa tupo kwenye mfumo uliooza wala hawezi akasimsm mtu ambaye yupo humo ndani akasema yeye ni safi ,utakuwaje safi kwenye mfumo wa maji taka! Hata SITA na Mwakyembe siku yao inakuja .
mGUFULI ULIINGIIA KWENYE KENYE GIZA NA MSHUMAA ULITARAJIA NINI .
Kama wewe ni mjamja toka uje CUF Tujenge NCHI YETU ! Huko ni mwendo wa kuwang.ata wajinga na kuwapuliza huwezi!


hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah:lol:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom