CCM - Ni Mark tu anaweza kuwasogeza sogeza kwenye kinyanganyiro cha October!!
wanamjua vizuri sana Mark!!Mark yupi?
Team Lowassa hiyo....naona "kiwewe" kimewaingia... Muelezeni boss wenu awaongezee dau maana ni ngumu sana kuchomoa hiko kisiki cha mpingo!!
kwako wewe kisiki cha mpingo kwakuwa kimekutosheleza barabara... kwetu sisi anajulikana kama bonge la mpenda sifa alieiingizia serikali hasara kubwa kuliko waziri mwingine yeyote katka historia ya nchi hii ....
Bila shaka wewe ni bwenyenye fisadi uliyelewa rushwa...
Kuna Ufisadi na Rushwa iliyowahi kuzidi ile ya Kugawana Nyumba za Serikali Tanzania nzima? Ulizia professional watathmini majengo wakujuze wewe ----- la Mwishi... Nenda Chato ujionee barabara iliyowekwa lami ulimi! Kwake amejenga motel kwa fedha za Umma ! Farasi kibao... achene kuwakeli Watanzania ....
Jamani sheria imepita kama huna source za uhakika ukatuma habari jamani!!!