Anthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira
Anthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira
butua tu babaNdugu wana-JF habarini.
Mimi kama Mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu, mnalichukuliaje suala la mgombea urais kupitia CCM kumwambia Antony Diallo kuwa atamlinda saaana kupita maelezo pindi atakapoingia Ikulu?
Ndugu zanguni imekaaaje hii, kwa kiongozi kutamka hivyo mbele ya wa wana-CCM na Wa-tz kadhaa bila aibu!?
Star tv inafilisika mbona Magu hana msaadaAnthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira
Inafilisikaje ?Star tv inafilisika mbona Magu hana msaada
Tayari mchakato umeanza .Ndugu wana-JF habarini.
Mimi kama Mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu, mnalichukuliaje suala la mgombea urais kupitia CCM kumwambia Antony Diallo kuwa atamlinda saaana kupita maelezo pindi atakapoingia Ikulu?
Ndugu zanguni imekaaaje hii, kwa kiongozi kutamka hivyo mbele ya wa wana-CCM na Wa-tz kadhaa bila aibu!?
Fungua ubongo mkuu .Inafilisikaje ?
Bendela # BenderaHuyu jamaa mimi hata akisema nini. Ni muongo na mnafiki sana. Leo anasema hili kesho lile. Yan ni bendela fata upepo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za Leo Mkuu? Nipo KITAI hapa, nageuka soon, niambie nikukute wapi tule ugali na dagaa wa nyasa.Anthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira