KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Inatia ukakasi kama si kinyaa,pale unapoona mtu mzima mwenye hekima anatoka mbele ya adhara nakusema CCM haiwezi kuongoza tena na sasa nimeamua kuwa mpinzani kwa vigezo hivi na vile, baadae njaa inamshika maana upinzani hakuna mkato. Hali inapokuwa ngumu unasikia narudi nyumbani!
Hapo unajiuliza nini kimebadilika? Nimeshukuru jana Mwenyekiti wa CCM Rais JPM kasema "Ng'ombe akikatika mkia hazuiwi kuingia zizini ila akiingia Ng'ombe wenzake umjua kuwa amekatika mkia"
Hivyo niwakumbushe nyie tanga tanga hata mkirudi CCM nyinyi mlishapoteza imani kwa hali ilivyo CCM nyie ni wapinzani.
Pia Abdallah Bulembo kasema kinachowarudisha nini wakati mliondoka kwa matusi mbwembwe? Hata mkirudi bado hatuna imani na ninyi.
Mytake: Nyie mnaotangatanga CCM haitakuja kuwapa uongozi kamwe mnajisumbua na kujidhalilisha.
Hapo unajiuliza nini kimebadilika? Nimeshukuru jana Mwenyekiti wa CCM Rais JPM kasema "Ng'ombe akikatika mkia hazuiwi kuingia zizini ila akiingia Ng'ombe wenzake umjua kuwa amekatika mkia"
Hivyo niwakumbushe nyie tanga tanga hata mkirudi CCM nyinyi mlishapoteza imani kwa hali ilivyo CCM nyie ni wapinzani.
Pia Abdallah Bulembo kasema kinachowarudisha nini wakati mliondoka kwa matusi mbwembwe? Hata mkirudi bado hatuna imani na ninyi.
Mytake: Nyie mnaotangatanga CCM haitakuja kuwapa uongozi kamwe mnajisumbua na kujidhalilisha.