Magufuli na maamuzi yake

Pundamilia07

JF-Expert Member
Oct 29, 2007
1,439
54
Kwa mara nyingine tena tunaona jinsi Bwana John Pombe Magufuli anavyoiingiza serikali katika madeni ambyo yangeweza kuepukika. Kama mtakumbuka wakati akiwa Waziri wa Ardhi aliidhinisha na kukaidi mamlaka zilizozuia uvunjaji wa kituo cha mafuta pale Mwanza ambapo matokeo yake serikali ilijikuta ikitemeshwa Shilingi Bilioni 5 kama fidia ya kuvunja kituo kile.

Leo hii SAMAKI, ambapo tunaelezwa kuwa gharama ya kuwahifadhi sasa ni kubwa na inazidi kuongezeka. Na huenda hiyo kesi itakuja kuzaa madai makubwa zaidi ya yale ya kituo cha mafuta cha Mwanza.
Haya tusubiri!!!

Seized fish storage cost now 1.2bn/-

FAUSTINE KAPAMA,
9th December 2009


THE storage costs of fish seized from of MV Tawariq 1 whose 37 crew members are charged with illegal fishing in the country’s deep sea waters of the Indian Ocean has now reached 1,169,399,702/-, the 'Daily News' learnt yesterday.

The value of the fish is estimated at 2,074,240,000/-. Director of Fisheries in the Ministry of Livestock Development and Fisheries Godfrey Nanyaro said the consignment was now a burden to the government, hence the need to dispose of the same urgently.

Mr Nanyaro said this in his affidavit filed at the High Court on Monday to support the new application by the prosecution, seeking orders to allow the government to distribute the fish freely.

He stated in the affidavit that since October this year when the court ordered the government to dispose of the fish by way of international tender, the ministry had received no bidders for the consignment.

According to him, the cost kept on rising as fish was stored at a cost of 3,511,992/- per day and that continued storage of the consignment affected the status, quality and value of the fish.

In the application filed under certificate of urgency, the prosecution is asking the court to vary the conditions embodied in its orders given on October 1 and 20, this year regarding the disposal and sale of the fish.

The consignment weighing 296.32 tonnes valued at 2,074,240,000/- is the subject of criminal case against the crew members charged with illegal fishing within Exclusive Economic Zone of United Republic of Tanzania.

The prosecution is further seeking orders to distribute the fish free to institutions and interested persons and vary conditions relating to the making and filing reports of the mode and proceeds of sale.

Apart from Mr Nanyaro, the Permanent Secretary of the Ministry, Dr Charles Nyamrunda, has also sworn an affidavit indicating that once the fish is distributed freely, the government would reimburse the accused the money equal to value of the fish if acquitted.

The decision by the prosecution to file the new application comes few days after Judge Razia Sheikh rejected the first application because it was supported by an incurably defective affidavit sworn by Mr Nanyaro.

She upheld an objection raised by Capt. Ibrahim Bendera, advocate for the accused, that the affidavit by Mr Nanyaro was incurably defective because it contained objections, analysis, prayers, legal arguments and conclusions, which was illegal. Judge Sheikh is expecting to hear the new application today.
 
Tatizo la Magufuli anafanya kazi kama vile Tanzania ni ka nchi kako ndani ya bara la Ulaya au America. as a result akisimamia sheria na ukweli kwa jinsi anayojua taratibu , kila kitu kina mrudia yeye kwa sababu systems au idara zingine hazifanyi kazi kwa level, standard na kasi yake. He is not a leader of this age kwa Tanzania yetu hii! If he is then president is his best position!

Ukimuuliza yeye akupe majibu na kale kalafudhi kake ka huko kaskazini with evidence na sheria gani anasimamia utaona, ukipima matokeo ya kazi yake, they Guy alitakiwa Kuwa rais wa zama hizi ili atupeleke kwenye standard yake.

Maskini sie huruma zetu hizi za kutosimamia sheria kwa gharama yeyote ndio imetufikisha hapa!

Kinachonipa homa tu ni hili li chama lake Arhuuuuuuuuuuuhhh! 'because my concept ni kuwa wote ndani ya CCM mafisadi' I can defend this concept kwa kila namna!
 
hapana Magufuli hakukamata ile Meli ila ilikamatwa na Maafisa uvuvi wa kikosi cha doria kanda ya Dar es salaam, nikiwa Dar nilifatilia kiasi hili sakata, kinachoonekana ni kua wale maafisa uvuvi waliishika ile meli kama sheria ya nchi kupitia fisheries act nafikiri ya mwaka 2007 inavyoagiza, sasa Magufuli yeye ni msimamizi mkuu wa shughuli za Wizara hiyo,......rejea majukumu ya waziri kwa wizara.
baada ya maafisa Uvuvi kukamata meli hiyo wakishirikiana na police na NAVY NA KIKOSI CHA Askari wa doria cha SADC sasa baada ya kukatwa wale waharifu swala linabaki kua la wizara ya sheria na Ofisi ya DPP.
Tatizo ni lilelile Je DPP anatimiza wajibu wake, je wizara ya Sheria na katiba imetimiza wajibu wake.?
 
naona unataka kuleta mambo ya kuuza ng'ombe ili utatue kesi ya kuku.kwa mtazamo finyu unaweza ukaona gharama za kuhifadhi hao samaki ni kubwa saaana lakini huangalii thamani ya samaki wetu wanaovuliwa kinyume cha sheria na maharamia-bahari kwa miaka mingi sasa.hao samaki ni kidhibiti katika kesi inayoendelea dhidi ya maharamia waliokamatwa na meli ile ya uvuvi.
unapotaka wauzwe au wagawanywe kwa watu bure unamaanisha ni kuondoa kidhibiti ambacho ndio kigezo cha kutoa hukumu.
acha wahifadhiwe ili mwisho wa siku haki itendeke kwani kwa mujibu wa mahufuli,kiwango cha wizi wa rasilimali zetu, ni kikubwa kiasi cha kutisha kiasi kwamba kama tungekuwa tunalipwa na hawa maharamia-bahari basi sector ya uvuvi pekee ingetosha kutukwamua kiuchumi
 
hapana Magufuli hakukamata ile Meli ila ilikamatwa na Maafisa uvuvi wa kikosi cha doria kanda ya Dar es salaam, nikiwa Dar nilifatilia kiasi hili sakata, kinachoonekana ni kua wale maafisa uvuvi waliishika ile meli kama sheria ya nchi kupitia fisheries act nafikiri ya mwaka 2007 inavyoagiza, sasa Magufuli yeye ni msimamizi mkuu wa shughuli za Wizara hiyo,......rejea majukumu ya waziri kwa wizara.
baada ya maafisa Uvuvi kukamata meli hiyo wakishirikiana na police na NAVY NA KIKOSI CHA Askari wa doria cha SADC sasa baada ya kukatwa wale waharifu swala linabaki kua la wizara ya sheria na Ofisi ya DPP.
Tatizo ni lilelile Je DPP anatimiza wajibu wake, je wizara ya Sheria na katiba imetimiza wajibu wake.?

Nguvumali, umetoa darasa tosha kwa watu wasiojua mgawanyo wa madaraka/kazi wa serikali. Kuna wakati inabidi tuweke ushabiki pembeni,tutanue mawazo yetu na tuangalie vitu kwa mapana yake.
 
What price do we want to pay to put in place proper working systems?
 
Kwa mara nyingine tena tunaona jinsi Bwana John Pombe Magufuli anavyoiingiza serikali katika madeni ambyo yangeweza kuepukika. Kama mtakumbuka wakati akiwa Waziri wa Ardhi aliidhinisha na kukaidi mamlaka zilizozuia uvunjaji wa kituo cha mafuta pale Mwanza ambapo matokeo yake serikali ilijikuta ikitemeshwa Shilingi Bilioni 5 kama fidia ya kuvunja kituo kile.

Leo hii SAMAKI, ambapo tunaelezwa kuwa gharama ya kuwahifadhi sasa ni kubwa na inazidi kuongezeka. Na huenda hiyo kesi itakuja kuzaa madai makubwa zaidi ya yale ya kituo cha mafuta cha Mwanza.

Haya tusubiri!!!

Seized fish storage cost now 1.2bn/-

Kama magufuli alivyowaambia, hiyo sio hasara ni gharama ya kesi itakayoweza kutatua tatizo la muda mrefu. Ukitizama figure kwa haraka haraka unaweza fikiri ni hasara kubwa lakini kwa serikali ni matumizi ya kawaida ya utendaji.
 
.............. Kama mtakumbuka wakati akiwa Waziri wa Ardhi aliidhinisha na kukaidi mamlaka zilizozuia uvunjaji wa kituo cha mafuta pale Mwanza ambapo matokeo yake serikali ilijikuta ikitemeshwa Shilingi Bilioni 5 kama fidia ya kuvunja kituo kile..................

Hivi yule Dr. Tezaghe (sina hakika kama nimelitaja jina lake sawasawa) alirudishwa kazini?.......

Mkuu unaweza kutupa background kwa nini kile kituo kilivunjwa?
 
Yafaa kumpongeza Magufuli na siyo kumbeza au kumlaumu. Matatizo yapo sehemu nyingine... DPP et al
 
labda sisi kama taifa lazima tujue kua ofisi ya DPP Inamapungufu ya wazi sana na ndio maana siku moja mtu mmoja anaitwa Tundu Lissu alisema hajawahi kushindwa kesi yoyote aliosimamia dhidi ya maofisa toka ofisi ya DPP, akiwa na maana hii ofisi imejaa uzembe na ubabaishaji.
kwemye hizi wizara zina Wanasheria ambao wanamuwakilisha Mwanasheria mkuu wa serikali na wizara ya Sheria na katiba, hawa mara nyingi hudaiwa wanashirikiana na washitakiwa wa serikali ili serikali ishindwe kesi na wahalifu kama hawa washinde kisha wao hupewa mlungula kama shukrani.
hii imetokea mara kadhaa amini nawaambia sasa tunaweza kukaa na kumlaumu Magufuli na baadhi ya Watendaji wake pale wizarani bila kuwatazama hawa watu wenye taaluma zao za kisheria, ila nijuacho mimi ofisi y DPP Inakosa wanasheria makini au wanafanya kazi za hovyohovyo wakitarajia manufaa toka kwa watuhumiwa.
 
..nadhani Magufuli ni very intelligent and hard working.

..lakini amefanya maamuzi mawili ambayo kwa mtizamo yamemtia doa kubwa.

..uamuzi wa kwanza ni kuuza nyumba za serikali. ile ni hasara kubwa kwelikweli.

..suala la pili ni pale alipopuuza ushauri wa wataalamu na kuvunja kituo cha mafuta kule Mwanza. Mahakama Kuu imeamua serikali ilipe Tshs 14.7 billion.

MAHAKAMA imeiamuru Serikali kuilipa kampuni ya Mansoor Oil Industries Ltd (MOIL) ya jijini Mwanza jumla ya Sh14.7bilioni
kutokana na uamuzi uliotolewa na Waziri wa Ujenzi wakati huo John Pombe Magufuli wa kuvunja kituo cha mafuta cha kampuni hiyo.
 
..nadhani Magufuli ni very intelligent and hard working.

..lakini amefanya maamuzi mawili ambayo kwa mtizamo yamemtia doa kubwa.

..uamuzi wa kwanza ni kuuza nyumba za serikali. ile ni hasara kubwa kwelikweli.

..suala la pili ni pale alipopuuza ushauri wa wataalamu na kuvunja kituo cha mafuta kule Mwanza. Mahakama Kuu imeamua serikali ilipe Tshs 14.7 billion.

Mimi binafsi si muoni Magufuli kama ni mtu ambaye anaweza kufanyakazi as a team, he is very selfish and arrogant.
Ninaweka maelezo haya katika kiwango cha kawaida kueleweka. Katika muda ambao nimepata kumfahamu, the guy is not real. He's a politician kama walivyo wengine, right now he is maintaining low profile kwa sababu za kisiasa.
Kama ulivyosema juu ya nyumba za serikali, yeye na kundi lake walibuni uuzaji wa nyumba za serikali ili kutimiza matakwa ya ubinafsi (selfishness)
Na pale wananchi walipokuwa wanalalamika aliwaeleza kuwa nyumba za serikali zitaendelea kuuzwa na hatositisha zoezi hilo (arrogancy). Matokeo yake serikali kuingia gharama zisizo za lazima kuwapatia watendaji wengine makazi
Kitendo cha kudharau mamlaka zingine na kuamuru kituo cha mafuta kivunjwe (arrogancy).
 
mtoa mada hapo juu(Pundamilia07):, Dr Magufuli kweli ni BIG SELFISH.
huyu jamaa akiwa waziri wa miundombinu alijichepushia barabara ipite nyumbani kwao Chato, so selfish.
mi najiuliza sana kwa wale wananchi ambao wabunge wao sio mawaziri watasema nini sasa????, inamaana kwao hakutakua na maendeleo??.
 
Nguvumali, umetoa darasa tosha kwa watu wasiojua mgawanyo wa madaraka/kazi wa serikali. Kuna wakati inabidi tuweke ushabiki pembeni,tutanue mawazo yetu na tuangalie vitu kwa mapana yake.

Mgawanyo wa madaraka wa kazi za Serikali tunaujua. Magufuli ndiye kiongozi mkuu wa Wizara hiyo na msimamo na mtazamo wake katika suala zima la uvuvi haramu ndio uliosababisha meli ile ikamatwe. Kaisari apewe yanayomstahili!

Wakitoka maafisa uvuvi ama hao watendaji mnaowasema ndani ya Wizara yake wakaboronga je atakayewajibika na kelele kupigwa ajiuzulu si Magufuli?

Magufuli anastahili kuwa Waziri Mkuu wa nchi hii na ataiendesha vyema na kwa mafanikio makubwa na Rais wake ataweza kubembea atakavyo akijua nchi ina anayeishikilia na kuiendesha kishupavu. Kwa kifupi Magufuli ni Mwanasiasa na Mtendaji anayethubutu.
 
Kwa mara nyingine tena tunaona jinsi Bwana John Pombe Magufuli anavyoiingiza serikali katika madeni ambyo yangeweza kuepukika. Kama mtakumbuka wakati akiwa Waziri wa Ardhi aliidhinisha na kukaidi mamlaka zilizozuia uvunjaji wa kituo cha mafuta pale Mwanza ambapo matokeo yake serikali ilijikuta ikitemeshwa Shilingi Bilioni 5 kama fidia ya kuvunja kituo kile.

Leo hii SAMAKI, ambapo tunaelezwa kuwa gharama ya kuwahifadhi sasa ni kubwa na inazidi kuongezeka. Na huenda hiyo kesi itakuja kuzaa madai makubwa zaidi ya yale ya kituo cha mafuta cha Mwanza.
Haya tusubiri!!!

Seized fish storage cost now 1.2bn/-

FAUSTINE KAPAMA,
9th December 2009


THE storage costs of fish seized from of MV Tawariq 1 whose 37 crew members are charged with illegal fishing in the country’s deep sea waters of the Indian Ocean has now reached 1,169,399,702/-, the 'Daily News' learnt yesterday.

The value of the fish is estimated at 2,074,240,000/-. Director of Fisheries in the Ministry of Livestock Development and Fisheries Godfrey Nanyaro said the consignment was now a burden to the government, hence the need to dispose of the same urgently.



Ndiye Mgombea ambaye CCM wanaona eti Jembe- Kama ni jembe ujue Jembe ya kulimia kwenye Mchanga na si shamba Bora lenye rutuba na ardhi nzuri.

Kiongozi anayetumia hisia katika kutekeleza majukumu yake hafai na Magufuli hana tofauti na EDO.


UKAWA leteni Mgombea bora na Makamu wake ambaye si Mzigo kwa Umma.
Wakati Mnafanya hivyo itapendeza hata makatupatia ahadi ya Watu wawili Kama PM mtarajiwa. Tuna hitaji timu tukayo iamini jambo hili wakati huu ni lamuhimu sana-kuakaa na wateule kwenye Mfuko ya wateuzi si muda wake hasa kipindi hiki cha Ukombozi wakombolewa wantaka kuwajua wapiganaji wao mapema iliwaze kuwaamini na kuwa na matumaini.


Ikiwezekana tupeni Full list ya Baraza la Mawaziri watarajiwa. Kama ni ya watu 15 Wekeni wateuliwa 30 kwamba ndani yake ndiyo watateuliwa watu 15.

 
Back
Top Bottom