Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,565
Magufuli
Tuwe wakweli tu kati ya hawa viongozi wawili ni yupi anaekubali kwa wananchi?
Miezi 9 ya Magufuli madarakani imemuongezea mashabiki kuliko Lowassa alieko uraini au ni Lowassa alieko uraini ndio amejiongezea mashabiki kuliko Magufuli alieko madarakani?
Ukitokea uchaguzi mdogo leo hii kati ya Magufuli na Lowassa, ni nani anaweza kumnadi mgombea wa chama chake na kuzua hamasa kwa wapiga kura?
Kati ya Magufuli na Lowassa ni nani leo hii anaweza kujaza watu ikitokea tukawa na uchaguzi mdogo?
Wew haujiongez! Mshind ndio anaekubalika, alieshindwa akubalik other factor remain constant!Tuwe wakweli tu kati ya hawa viongozi wawili ni yupi anaekubali kwa wananchi?
Miezi 9 ya Magufuli madarakani imemuongezea mashabiki kuliko Lowassa alieko uraini au ni Lowassa alieko uraini ndio amejiongezea mashabiki kuliko Magufuli alieko madarakani?
Ukitokea uchaguzi mdogo leo hii kati ya Magufuli na Lowassa, ni nani anaweza kumnadi mgombea wa chama chake na kuzua hamasa kwa wapiga kura?
Kati ya Magufuli na Lowassa ni nani leo hii anaweza kujaza watu ikitokea tukawa na uchaguzi mdogo?
Watz walio wengiTuwe wakweli tu kati ya hawa viongozi wawili ni yupi anaekubali kwa wananchi?
Miezi 9 ya Magufuli madarakani imemuongezea mashabiki kuliko Lowassa alieko uraini au ni Lowassa alieko uraini ndio amejiongezea mashabiki kuliko Magufuli alieko madarakani?
Ukitokea uchaguzi mdogo leo hii kati ya Magufuli na Lowassa, ni nani anaweza kumnadi mgombea wa chama chake na kuzua hamasa kwa wapiga kura?
Kati ya Magufuli na Lowassa ni nani leo hii anaweza kujaza watu ikitokea tukawa na uchaguzi mdogo?
Lowassa saizi zake akina Mrema.....usipende kuidanganya nafsi yako....subiri 2020 ili astaafishwe siasa kwa aibu kubwa.Tuwe wakweli tu kati ya hawa viongozi wawili ni yupi anaekubali kwa wananchi?
Miezi 9 ya Magufuli madarakani imemuongezea mashabiki kuliko Lowassa alieko uraini au ni Lowassa alieko uraini ndio amejiongezea mashabiki kuliko Magufuli alieko madarakani?
Ukitokea uchaguzi mdogo leo hii kati ya Magufuli na Lowassa, ni nani anaweza kumnadi mgombea wa chama chake na kuzua hamasa kwa wapiga kura?
Kati ya Magufuli na Lowassa ni nani leo hii anaweza kujaza watu ikitokea tukawa na uchaguzi mdogo?
Tuwe wakweli tu kati ya hawa viongozi wawili ni yupi anaekubali kwa wananchi?
Miezi 9 ya Magufuli madarakani imemuongezea mashabiki kuliko Lowassa alieko uraini au ni Lowassa alieko uraini ndio amejiongezea mashabiki kuliko Magufuli alieko madarakani?
Ukitokea uchaguzi mdogo leo hii kati ya Magufuli na Lowassa, ni nani anaweza kumnadi mgombea wa chama chake na kuzua hamasa kwa wapiga kura?
Kati ya Magufuli na Lowassa ni nani leo hii anaweza kujaza watu ikitokea tukawa na uchaguzi mdogo?
Walioshindwa siasa ni wale wanaoshindana kwa kutumia nguvu ya dola na mabavu badala ya hoja.Siasa zimewashinda kusema kweli.
LowasaHivi nyie mna matatizo gani....!!? Anaekubalika kati ya mkuu wa nchi na aliyekuwa mgombea akashindwa!!? Unataka ushahidi gani tena ili ujue nani zaidi!!? Tatizo lenu chadema mnataka kuwalazimisha watu wawe upande wenu.
Tuwe wakweli tu kati ya hawa viongozi wawili ni yupi anaekubali kwa wananchi?
Miezi 9 ya Magufuli madarakani imemuongezea mashabiki kuliko Lowassa alieko uraini au ni Lowassa alieko uraini ndio amejiongezea mashabiki kuliko Magufuli alieko madarakani?
Ukitokea uchaguzi mdogo leo hii kati ya Magufuli na Lowassa, ni nani anaweza kumnadi mgombea wa chama chake na kuzua hamasa kwa wapiga kura?
Kati ya Magufuli na Lowassa ni nani leo hii anaweza kujaza watu ikitokea tukawa na uchaguzi mdogo?
Lowasa atajaza watu , ila watu walewale watamchagua Magu.kwakua watu huwa na ushabiki lakin katika maamuzi sahihi huwa awafanyi makosa. Wanaangalia uhalisia na utendaji sio ushabki.(kupiga deki, kuzungusha mikono) ata kura zikirudiwa mara 100 Magu atashinda bila shaka. Uzuri wa wa Tanzania akili ya kuambiwa uchanganya na zao.Tuwe wakweli tu kati ya hawa viongozi wawili ni yupi anaekubali kwa wananchi?
Miezi 9 ya Magufuli madarakani imemuongezea mashabiki kuliko Lowassa alieko uraini au ni Lowassa alieko uraini ndio amejiongezea mashabiki kuliko Magufuli alieko madarakani?
Ukitokea uchaguzi mdogo leo hii kati ya Magufuli na Lowassa, ni nani anaweza kumnadi mgombea wa chama chake na kuzua hamasa kwa wapiga kura?
Kati ya Magufuli na Lowassa ni nani leo hii anaweza kujaza watu ikitokea tukawa na uchaguzi mdogo?