Kauli yake ya kupiga mbizi imemponza! Get well soon.
Kuna taarifa nimezipata hivi punde kwamba waziri wa Ujenzi Jojn Magufuli ni mgonjwa na amelazwa ICU Dodoma kwa tatizo la heart attack.Naendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi.
Mwenye habari kamili atujuze, hasa wale walio bungeni
Majimbo yawe wazi hayo! tuweke watu wa maana:drum::drum:
alikwepa sumu morogoro wamempata dodoma,.mallya kawastukia na kuwaachia misumu yao
huwa nachukizwa sana na mtu anayeleta habari halafu anamalizia mwenye habari atujuze ina maana hizo habari umezitoa wapi? kwanini hicho chanzo chako usikidodose ukapata habari kamili kuliko kukimbilia hapa na kuanza kuuliza kwetu wakati wewe ndio umanzisha thread??
mwakyembe style