Magufuli: Lipumba amevunja sheria kupanda punda kwenye lami

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, jana alitumia mkutano wa kampeni kumpiga vijembe Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kuwa alivunja sheria za nchi alipopanda punda na kumtembeza kwenye barabara ya lami katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho wakati wa maandamano yaliyoishia Uwanja wa Sokoine.
“Hata sheria namba 19 ya mwaka 2008 ya Ustawi wa Wanyama huwezi ukampanda punda anavuja damu eti unakwenda kwenye kampeni… msichague watu ambao hawajui hata sheria,” alisema Dk Magufuli/QUOTE]

Prof. Lipumba alipanda mkokoteni uliokokotwa na punda
 
sasa si angempeleka mahakamani badala ya kupiga kelele bila action...another ccm idiot
 
Si msafi kama unavyodhani.

Magufuli si msafi ni wale wale hamkumbuki aliuza nyumba za serikali kiholela, anabomoa nyumba za waTZ bila kuwalipa stahiki zao, alidhurumu barabara ya lami ya wana biharamulo pia alichakachua uchaguzi mkuu Okt 2010 bado msafi tu!
 
Pamoja na usafi wako Magufuli, hakuna Mtanzania atayekusamehe kwa kuuza nyumba za serikali (ukiwa waziri wa nyumba) na sasa viongozi wapya wanatumbua hotelini. Sikuwahi kuelewa logic yako kuwa mnauza nyumba ambazo hata hivyo hazitoshi halafu mnajenga nyingine baada ya muda mrefu!
 
Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, jana alitumia mkutano wa kampeni kumpiga vijembe Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kuwa alivunja sheria za nchi alipopanda punda na kumtembeza kwenye barabara ya lami katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho wakati wa maandamano yaliyoishia Uwanja wa Sokoine.

Dk Magufuli ambaye hakumtaja kwa jina Profesa Lipumba alisema kitendo hicho kilikuwa ni kinyume cha Sheria namba 13 ya mwaka 2007 na Sheria namba 18 ya mwaka 2008 ya Mambo ya Ngozi.

“Hata sheria namba 19 ya mwaka 2008 ya Ustawi wa Wanyama huwezi ukampanda punda anavuja damu eti unakwenda kwenye kampeni… msichague watu ambao hawajui hata sheria,” alisema Dk Magufuli.

Cuf.jpg


Source: Mwananchi

Suala kwa magufuli.

Vipi hizo helkopta huko Igunga zinafuat sheria za usalama wa kushuka na kuruka? Je kuna alama zozote zinazowekwa chini kumuonyesha rubani ni wapi atue na kuiweka helkopta yake salama?

kama hazifuatwi nako huko si kuvunja sheria vile vile?
 
Bora angenyamaza. Unapowaelewa wanakijiji kuhusu sheria, hivyo vifungu wanavifahamu. Sanasana watakushangaa.
Kama amevunja sheria kwanini asimchukulie hatua?
Magufuli kuwa makini.
 
Ndugu yangu Dkt. Magufuli umebaki wewe tu msafi ndani ya Chama cha Magamba uwe makini tusije tukakuona na wewe "gamba". Tulia

hana usafi wowote mtu huyo! ukipita mitaa ya Oysterbay kwenye nyumba alizoziuza kwa hila na watu wanavyovuna mijihela kwenye nyumba hizo ndo utaujua uchafu wake...hakuna msafi ndani ya ChiCHIeMu FULL STOP
 
sheria anayoiongelea Magufuli ni ya wanyama haijalishi ni mnyama wa aina gani
Weka hapa hiyo sheria inayokataza mpaka polisi kupitisha farasi kwenye lami.

unapojipanga ku-quote thread hii usikurupuke tena utaonekana more than less
Hapana, uwezo wa wana JF nilishaupima siku nyingi ninaujua kinyume nyume wapi unaanzia wapi unaishia; Mngekuwa watu makini nilitegemea mngeshazitafuta hizo sheria alizosema Magufuli mkazianika hapa halafu mumuabishe kwamba kakataza kutembeza punda kwenye lami wakati sheria za ngozi na za wanyama zinakataza hata jeshi la polisi kupitisha farasi barabarani.

Lakini wapi, badala yake ooh kauza nyumba za serikali, nyumba za Serikali ndio zimekatazwa kuuzwa kwenye sheria ya ngozi na yeye ndio aliziuza? Magufuli ndio Waziri wa Mambo ya Ndani mwenye dhamana na mapolisi wa kikosi cha farasi?
Oooh, Igunga watu wamezoea kupanda punda, kwa hiyo kama watu wamozea kuvunja sheria basi ni poa? Eti kwa nini haja mu arrest, Magufuli ana dhamana ya ku enforce sheria ya ngozi?

unahitaji kukaa, kuwaza, kupembua ulichowaza, kufanya tathimini, then wasilisha mawazo yako la sivyo utakuwa less kila wakati,
Nitakuwa less than what? Less than who? Uwezo wenyewe wa kujieleza watu wanapata shida sana, halafu wanataka kukosoa. Duu!

 
Weka hapa hiyo sheria inayokataza mpaka polisi kupitisha farasi kwenye lami.

Hapana, uwezo wa wana JF nilishaupima siku nyingi ninaujua kinyume nyume wapi unaanzia wapi unaishia; Mngekuwa watu makini nilitegemea mngeshazitafuta hizo sheria alizosema Magufuli mkazianika hapa halafu mumuabishe kwamba kakataza kutembeza punda kwenye lami wakati sheria za ngozi na za wanyama zinakataza hata jeshi la polisi kupitisha farasi barabarani.

Lakini wapi, badala yake ooh kauza nyumba za serikali, nyumba za Serikali ndio zimekatazwa kuuzwa kwenye sheria ya ngozi na yeye ndio aliziuza? Magufuli ndio Waziri wa Mambo ya Ndani mwenye dhamana na mapolisi wa kikosi cha farasi?
Oooh, Igunga watu wamezoea kupanda punda, kwa hiyo kama watu wamozea kuvunja sheria basi ni poa? Eti kwa nini haja mu arrest, Magufuli ana dhamana ya ku enforce sheria ya ngozi?

Nitakuwa less than what? Less than who? Uwezo wenyewe wa kujieleza watu wanapata shida sana, halafu wanataka kukosoa. Duu!

Punguza mapovu mbona wewe hujaleta sheria inayokataza punda kupita kwenye lami na si wanyama wengine.
 
Ndugu yangu Dkt. Magufuli umebaki wewe tu msafi ndani ya Chama cha Magamba uwe makini tusije tukakuona na wewe "gamba". Tulia

Eti,anausafi upi jamani?zile nyumba kule chatu JE? niambie nyumba za 150 nani alisimamia?
 
Weka hapa hiyo sheria inayokataza mpaka polisi kupitisha farasi kwenye lami.

Hapana, uwezo wa wana JF nilishaupima siku nyingi ninaujua kinyume nyume wapi unaanzia wapi unaishia; Mngekuwa watu makini nilitegemea mngeshazitafuta hizo sheria alizosema Magufuli mkazianika hapa halafu mumuabishe kwamba kakataza kutembeza punda kwenye lami wakati sheria za ngozi na za wanyama zinakataza hata jeshi la polisi kupitisha farasi barabarani.

Lakini wapi, badala yake ooh kauza nyumba za serikali, nyumba za Serikali ndio zimekatazwa kuuzwa kwenye sheria ya ngozi na yeye ndio aliziuza? Magufuli ndio Waziri wa Mambo ya Ndani mwenye dhamana na mapolisi wa kikosi cha farasi?
Oooh, Igunga watu wamezoea kupanda punda, kwa hiyo kama watu wamozea kuvunja sheria basi ni poa? Eti kwa nini haja mu arrest, Magufuli ana dhamana ya ku enforce sheria ya ngozi?

Nitakuwa less than what? Less than who? Uwezo wenyewe wa kujieleza watu wanapata shida sana, halafu wanataka kukosoa. Duu!


Utawezaje kujadili jambo la muhimu na mtu kama huyu ambaye hasomi maudhui ya hoja tunayojadili ila anajibu hoja mstari kwa mstari, maana yake upeo wa kusoma maudhui ya hoja bado, kwani angali katika kiwango cha madarasa ya chini ambayo anajizoesha zile chemashabongo za papo kwa papo.
 
Hakika tabia ni kama kikohozi hufichiki:

Kitendo cha CUF kwenda Igunga kuzindua kampeni zao kwa kutumia usafiri wa KUKOKOTWA NA PUNDA na wiki chache baadaye kuonekana kutinga kwenye uchaguzi NA NDEGE ANGANI ni dalili za UNAFIKI.

Ndio kusema CUF walikua na hadithi gani kwa Wa-Tanzania katika haya matukio mawili yasioendana?????????

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, jana alitumia mkutano wa kampeni kumpiga vijembe Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kuwa alivunja sheria za nchi alipopanda punda na kumtembeza kwenye barabara ya lami katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho wakati wa maandamano yaliyoishia Uwanja wa Sokoine.

Dk Magufuli ambaye hakumtaja kwa jina Profesa Lipumba alisema kitendo hicho kilikuwa ni kinyume cha Sheria namba 13 ya mwaka 2007 na Sheria namba 18 ya mwaka 2008 ya Mambo ya Ngozi.

“Hata sheria namba 19 ya mwaka 2008 ya Ustawi wa Wanyama huwezi ukampanda punda anavuja damu eti unakwenda kwenye kampeni… msichague watu ambao hawajui hata sheria,” alisema Dk Magufuli.

Cuf.jpg


Source: Mwananchi
 
Bora angenyamaza. Unapowaelewa wanakijiji kuhusu sheria, hivyo vifungu wanavifahamu. Sanasana watakushangaa.
Kama amevunja sheria kwanini asimchukulie hatua?
Magufuli kuwa makini.

Hakuna mropokaji kama huyu pombe.mbona hafuati sheria ya matangazo kulipia/kupewa Tanroad?Umbali wa petrol station moja kwenda nyingine?badala ya kufuata sheria za hifadhi za barabara,ana ambiwa aache ubabe na anatulia?dini yake inamruhusu kutaja jina la Mungu wake kwa kuapiza uongo?
 
Back
Top Bottom