Magufuli amesema Lipumba amevunja sheria ya farasi au ya punda?
Magufuli pombe hajui asemalo. Wakazi wengi wa Igunga wanatumia usafiri wa punda. Kwa hiyo anatoa taarifa kwamba serikali ya ccm itawafikisha mahakamani.
Hakujua implication ya alichonena. Nadhani usingizi ulimpaa baada ya tafakari, kama alifanya hivyo.
Kejeli nyingine kwa wapinzani zinakibomoa ccm.