Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Mmmmh!! Hata yule nyoka mwenye makengeza?!Muda wa kutumia JIK ulishapita...kama yule mchafu mkuu amesepeshwa hawa waliobaki wanahitaji mbuni tu
Mmmmh!! Hata yule nyoka mwenye makengeza?!Muda wa kutumia JIK ulishapita...kama yule mchafu mkuu amesepeshwa hawa waliobaki wanahitaji mbuni tu
Muda ni muamuzi mkuu!!Mmmmh!! Hata yule nyoka mwenye makengeza?!
CHEMA CHAJIUZA.what more can we say?!Kenya mtu akifanya vizuri wanamwita Magufuli.Kwa mfano fundi mzuri wa magari wanamwita Magufuli wa Magari,Mwalimu mzuri wa Hisabati wanamwita Magufuli wa HIsabati.Kwa jinsi lilivyosambaa Kenya laweza ingizwa kwenye kamusi ya kiswahili likimaanisha mtu mahiri katika kitu fulani
Mfano mzuri soma hapa uone neno Magufuli LILIVYOTUMIKA kwa wenzetu
I won't go slow, the 'Magufuli' of Education tells Ndunda - Capital News
Change itakuaje jembe la ccmMjilaumu sana kwa kubadili gear angani...Mahakama ya Mafisadi inawadia na hakuna mtu fisadi atabaki salama mpaka mgomeba wenu
Change itakuaje jembe la ccm
Umekosea,inatumika hivi,ukiskia mwanamke anasema 'Mme wangu siku hizi amekuwa magufuli'.Jua ya kuwa hanunuliwi tena mafuta ya kujipaka usoni,ameambiwa ajipake ya kupikia.Jua ya kuwa mwanamke huyo mme wake ametoboa kwa msumari sufuria ya kupikia ugali,ili maji ya kupikia yasipite kiwango flani ndo ugali ukipikwa usibaki hata kidogo!Nitafanya magufuli hadi nifaulu mtihani katika kipindi kijacho.(magufuli/bidii(
Hao waliokimbilia kwenu na mkawapokea?Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, nawaoneeni nyinyi viwavi maana 90%ya mafisadi wa tanzania wapo ccm
Magufuli kanyamazisha upinzani wote to almost nil!Kesi yenu ya ICC/ICJ kupinga urais wa Magufuli imefikia wapi?
Dr. Slaa huku bongo anajulikana kama Dr. Mihogo! Heshima yake iliporomoka kwa siku moja! What happened? It is a long story!Vipi Rais wa mioyo yenu Dr. Slaa? Mlimfanyaje?
The man is totally a changed person! He could have done wonders! Only that we had to choose one of the two angels, what a blessing! Magufuli & Lowasa!Wakati kubwa la mafisadi lilitaka kuingia Ikulu...yangekuwa maajabu ya 8 ya dunia!