FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Nimeshangazwa na kauli ya magufuli kutaka kuboboa jengo la tanesco najiuliza je tutakua tumepoteza sh ngapi za kodi zetu kukosa plan nzuri ya jiji letu hapo mwanzo'ni kweli jengo liko kwenye road reverse pia ina maana ile mitambo ya umeme nayo itaondolewa itakuwa usumbufu mkubwa na kuleta kiza kwa muda usiojulikana ushauri kwa magufuli watanue huku kwenye wizara maji na kuchukua eneo kubwa upande huo ambao hakuna wingi wa nyumba sana kupunguza hasara kubwa katika taifa