mkuu kwani wanasiasa hawaruhusiwi kwenda kujiendeleza kielimu?PhD mbona kawaida tuItakuwa ajabu!If so ,now UDSM itakuwa politised now.Niambieni Dr Hosea wa Rushwa ana Phd toka wapi?
mkuu kwani wanasiasa hawaruhusiwi kwenda kujiendeleza kielimu?PhD mbona kawaida tu
Duu we jamaa wa wapi wewe? kwa taarifa yako ni kwawaida sana kuwa na Phd kwa viongozi, na kwa mtu kama magufuli sio ajabu...hosea alipata Phd kabla ajaingia TAKUKURUItakuwa ajabu!If so ,now UDSM itakuwa politised now.Niambieni Dr Hosea wa Rushwa ana Phd toka wapi?
Duu we jamaa wa wapi wewe? kwa taarifa yako ni kwawaida sana kuwa na Phd kwa viongozi, na kwa mtu kama magufuli sio ajabu...hosea alipata Phd kabla ajaingia TAKUKURU
acha pupa kijana unatia aibu
lahhhh..mwili umenisisimka nilivyosoma comment yako, sijawahi kuona comment dhaifu kama hii..ngoja nizime na computer nilale kabisa
lahhhhhh
Duu we jamaa wa wapi wewe? kwa taarifa yako ni kwawaida sana kuwa na Phd kwa viongozi, na kwa mtu kama magufuli sio ajabu...hosea alipata Phd kabla ajaingia TAKUKURU
acha pupa kijana unatia aibu
lahhhh..mwili umenisisimka nilivyosoma comment yako, sijawahi kuona comment dhaifu kama hii..ngoja nizime na computer nilale kabisa
lahhhhhh
Nimesikia tetesi kuwa Mheshimiwa Magufuli amepata Phd Chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Kuna ukweli wowote kuhusu hili?
Magufuli amekuwa anafanya phD pale Mlimani kwa muda mrefu....it must have been from around 2006/2007 academic year.Kuna wakati fulani nilikuwa nafuatilia transcripts zangu pale Mlimani na kukutana nae akifanya utaratibu wa ada pale chuoni....nilishangaa maana katika hali ya kawaida unategemea angefanyiwa hayo malipo na mtu kwa niaba yake.
Rafiki yangu mmoja alikuwa ananiambia akiwa waziri wa miundo mbinu alikuwa anafika sana pale chuo na nadhani alikuwa na marafiki wengi pale chemistry department maana alikuwa anakaa pale nje ya department na kuongea na wazee wa pale chemistry kwa muda mrefu sana.
dogo unamekuwa honored lini hiyo PHd, sisemei mwaka wa kugraduate, alimaliza paper yake kabla hata ajaingizwa TAKUKURU..na pia hata yeye kuwa na PHD sio ajabu ni kawaida tuu mkuuu..kama hauna soma miaka 3 unaipata...au vp kakaAcha kushushua wenzio wakati na wewe mwenyewe upo shalo! Hosea ka graduate mwaka 2007. Je wakati huo hakuwa mkurugenzi wa TAKUKURU na alikuwa hajawatakasa RINCHIMONDULI?
acha majungu mkuuMagufuli amekuwa anafanya phD pale Mlimani kwa muda mrefu....it must have been from around 2006/2007 academic year.Kuna wakati fulani nilikuwa nafuatilia transcripts zangu pale Mlimani na kukutana nae akifanya utaratibu wa ada pale chuoni....nilishangaa maana katika hali ya kawaida unategemea angefanyiwa hayo malipo na mtu kwa niaba yake.
Rafiki yangu mmoja alikuwa ananiambia akiwa waziri wa miundo mbinu alikuwa anafika sana pale chuo na nadhani alikuwa na marafiki wengi pale chemistry department maana alikuwa anakaa pale nje ya department na kuongea na wazee wa pale chemistry kwa muda mrefu sana.
Inamaana alikua anatumia muda hapo badala ya ofisini kwake au?