Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kwenye gazeti la leo la Mtanzania tunahabarishwa ya kuwa Waziri wa Miundo Mbinu Mhe. Magufuli ameahidi kuanzisha tena bomoa boma kwenye hifadhi ya barabara kuu kote nchini na ya kuwa siasa zisitumike kuzuia maendeleo ya taifa................