- Thread starter
- #21
Mimi ninavyoelewa Polisi jamii ni jitihada za kuwaweka polisi kuwa karibu na jamii. Hii inatokana na ukweli kuwa jamii ndiyo inataarifa zaidi kuhusu uhalifu kuliko polisi. Jamii ikiwa na imani na polisi na kushirikiana nao basi hao majambazi watakosa mahali pa kukimbilia. Kwa wenzetu wanaita "neighbourhood policing". Hata siku moja si dhana ya kuwakumbatia majambazi.
Kama kweli waziri alisema aliyoyasema basi hastahili nafasi ya uongozi maana haouwezi kushabikia kuwa mtuhumiwa ( hata huyo tunaemwita jambazi ni mtuhumiwa mpaka hapo atakapopatikana na hatia mbele ya Pilato) atolewe ngeu kabla hata hajafikishwa mahakamani ni hatari tupu. Mapolisi wetu wanatakiwa wawekewe breki kwanza badala ya kusisitiza kuwa waendeleza ubabe kwa wananchi. Na, naam, mtuhumiwa nae ni mwananchi na anastahili kulindwa na sheria badala ya kutolewa ngeu.
Amandla......
Fundi Mchundo ni kweli kabisa dhana ya polisi jamii ni kama ulivyoieleza. Lakini inavyoletwa na kutekelezwa hapa kwetu ni tofauti.
Hapa kwetu polisi wanadhani kuwa polisi jamii maana yake ni wananchi kujilinda wenyewe kwa marungu, mapanga na silaha zinazofanana na hizo dhidi ya majambazi yenye silaha nzito nzito za kivita kama SMG and LMG.
Sasa ukiangalia polisi jamii inasaidia kupambana na vibaka wadogowadogo tu na siyo majambazi waliokubuhu kama wale wa Tarime ambao walikuwa na guts za kuteka kituo cha polisi na kuiba ng'ombe baada ya kuvurumisha risasi mfululizo kwa masaa mawili.
Hivyo nakubaliana kimsingi na Magufuli kuwa majambazi ya aina hii hayahitaji polisi jamii yanataka mkakati maalumu wa polisi kupambana nao na kuwatokomeza. Na kwa taarifa zako ukitoa taarifa za majambazi polisi unakuwa unahatarisha maisha yako kwani hawa polisi wako kwenye payroll za majambazi.
JK of course anaprefer kina Pinda-mtoto wa mkulima kina Shein, Lau Masha watu ambao ni dormant kwakweli in so many ways. Anyone who has better education than him and is actually smarter (sio foji foji za mzumbe) na ana charisma jamaa anamuogopa. Salim anaakili lakini hana charisma ya Magufuli. Of course nae ni mjanja mjanja (dont be fooled) alikua anataka uPM sikunyingi infact mpaka sasa anaona mtandao wanamchafulia.. 2015 lazima akaze sema saivi kabanwa hana jinsi inabidi awe mdogo tuu..
Fundi Mchundo ni kweli kabisa dhana ya polisi jamii ni kama ulivyoieleza. Lakini inavyoletwa na kutekelezwa hapa kwetu ni tofauti.
Hapa kwetu polisi wanadhani kuwa polisi jamii maana yake ni wananchi kujilinda wenyewe kwa marungu, mapanga na silaha zinazofanana na hizo dhidi ya majambazi yenye silaha nzito nzito za kivita kama SMG and LMG.
Sasa ukiangalia polisi jamii inasaidia kupambana na vibaka wadogowadogo tu na siyo majambazi waliokubuhu kama wale wa Tarime ambao walikuwa na guts za kuteka kituo cha polisi na kuiba ng'ombe baada ya kuvurumisha risasi mfululizo kwa masaa mawili.
Hivyo nakubaliana kimsingi na Magufuli kuwa majambazi ya aina hii hayahitaji polisi jamii yanataka mkakati maalumu wa polisi kupambana nao na kuwatokomeza. Na kwa taarifa zako ukitoa taarifa za majambazi polisi unakuwa unahatarisha maisha yako kwani hawa polisi wako kwenye payroll za majambazi.
...Hii inatokana na ukweli kuwa jamii ndiyo inataarifa zaidi kuhusu uhalifu kuliko polisi... na polisi na kushirikiana nao basi hao majambazi watakosa mahali pa kukimbilia. .
Upotoshaji, tena wanautumia polisi, na sasa wananchi washapikwa na kuiva.
Polisi kazi yao maalum, moja ya kazi yao mahususi, ni kuchunguza ujambazi, uhalifu kwa ujumla. Hivi mimi mpara miwa wa Vingunguti kwa Mnyamani nitajuaje nyeti za ujambazi kuliko vitengo vya CID vya polisi kaka?
Unaongelea polisi wanavyofanya kazi huko kwa wenzenu, hivi unataka kunambia huko wananchi wanajua zaidi nyeti za Al Qaida wa USA kuliko FBI na National Security Agency?
Kama ambavyo jambazi anajificha kwa polisi ndo hivyo hivyo anajificha kwa raia wema, si kwamba wanajulikana mtaani. Na jambazi hawawezi kukosa kwa kukimbilia kwa kuogopa raia, yeye ana SMG mwananchi ana nini, mdomo? Na ndo maana huko kwa wenzenu vyombo vya dola huhimiza kulinda wananchi watoa siri na shahidi za uhalifu hata kuwahamisha (witness protection program) maana wanajua raia mwenye mdomo mrefu mtaani hafui dafu kwa jambazi hatari, atakatwa ngebe.
Kwa nini sisi tuwajue wao wasiwajue? Kina Kova wanatuambia Majambazi wanatokea kati ya wananchi, mitaani, kwani polisi wanatoka wapi, mwezini kati ya nyota?
Wakati mwingine ni heri kunyamaza kuliko kujibu kitu usichoelewa. Hivi unadhani nani walimchomea yule kijana aliyetaka kujilipua nyeti zake? Si ndugu zake? Huko Marekani wana kipindi kinaitwa " America's Most Wanted" ambamo picha za wahalifu hatari wanaotafutwa zinarushwa kwenye luninga . Kipindi hicho kinaandaliwa na watu binafsi na sio serikali lakini majambazi wengi wamekamatwa kutokana na taarifa zinazotolewa na wananchi! Kitu kingine usichojua ni kuwa pamoja na wao kuendelea lakini kero za uhalifu ni kama kwetu, mauaji, vibaka, uuzaji wa madawa ya kulevya n.k. Lakini kwa wenzetu wameanzisha neighbourhood policing ambapo polisi wanajitahidi kujenga imani ya jamii. Polisi wao hawakai polisi posti bali wanakula beat kuzunguka maeneo yao. Wakati wa beat wanaongea na wananchi na wanatoa misaada pale inapowezekana. Kutokana na huo ukaribu wao wananchi wanakuwa tayari kutoa taarifa pale uhalifu unapofanyika. Si kila mtoa taarifa anawekwa chini ya witness protection program. Wengi wa waalifu wasumbufu ni hao vibaka na small time drug dealers. Anonymous calls zinatosha kuwaondoa mitaani. Uhalifu mwingi unashughulikiwa na local police wala hamna haja ya kuingiza vyombo kama FBI!
Kutegemea polisi tulionao watawajua wote ni mawazo potovu. Mara nyingi katika maeneo mengi polisi hao ni wageni lakini wahalifu ni watoto wetu. Ni kwa kuwazibia macho na kungojea ati polisi waje kuwashughulikia ndiko kunako watia kiburi. Kingine ni huo mtindo wa kuwajengea polisi post ambamo sasa mapolisi badala ya kuingia mtaani wanashinda na kujifanya mamangi meza! Unazungumzia SMG. Ni mara ngapi majambazi wameuawa kwa kupigwa mawe na umati wa watu wenye hasira pamoja na kuwa ameshika SMG?
Usijibu ili mradi kujibu tu. Fikiri kwanza.
Amandla......
Ukiangalia uingereza (tofauti na marekani) si polisi wengi wanaobeba silaha za moto. Wao wanakitu kinaitwa Armed Response Vehicles ambazo zinatumika panapohitajika utumizi wa silaha. Miji mingine imeamua kuwa na patrol za Polisi waliobeba silaha katika vitongoji ambapo matukio ya uhalifu wa kutumia silaha za moto umekithiri. Polisi wenyewe hawapendi kubeba silaha. Kwanza wanaamini inawatenganisha na jamii, hasa ukizingatia msingi wa polisi uingereza ni "beats" yaani polisi kuzunguka eneo husika kwa miguu. Sababu nyingine ni hofu ya kutokea matukio ya kuuuawa kwa wananchi kwa bahati mbaya. Na nyingine ni kuwa kutokana na tamaduni hiyo basi wengi wa wahalifu uingereza hawatumii silaha za moto katika shughuli zao. Uingereza, "Bobby" wa kiingereza ni sehemu ya jamii. Mafanikio haya ndiyo yanayofanya nchi kama Marekani nao waangalie upya uhusiano kati ya jamii na polisi. Ndiyo maana juhudi zinafanyika kuajiri polisi kutoka kila sehemu ya jamii ( weusi, latino, korea, wachina n.k.)ambao wataweza kukubalika kirahisi katika maeneo ambao wengi wa asili yao wanaishi. Yote haya ni katika kujaribu kuwa karibu na jamii.
Amandla........
Hivi Bajeti ya hili Jeshi letu iliongezeka walau?............maana hawa jamaa zetu............ni msoto kwa kwenda mbele...................no wonder kumsikia Dr. Magufuli anasema mapolisi wanawakumbatia majambazi eti "polisi jamii"................
Siiielewi kwa sababu naona ITS FULL OF NONSENSE.Pole sana na mko wengi msioielewa
Kijana gani huyo kaka? Si vichwa vyote vya habari vya huko Marekani vinatufikia. Ungenifafanulia kijana huyo alifanya nini tuweze kuoanisha....Hivi unadhani nani walimchomea yule kijana aliyetaka kujilipua nyeti zake? Si ndugu zake? Huko Marekani...
"[FONT=Verdana, sans-serif]Na sio serikali." Umesema mwenyewe, "na sio serikali." Hizo juhudi za watu binafsi hazifanywi na wananchi kwa niaba ya serikali, mzigo wa kukamata wahalifu bado hajatupiwa mwananchi anaeangalia maonyesho ya kipindi hicho. Serikali ndio ina vyanzo na nyenzo za kupambana na ujambazi, polisi jamii ni dhana ya ukingu wa kukwepa wajibu.[/FONT]... kipindi kinaitwa "America's Most Wanted" ambamo picha za wahalifu hatari wanaotafutwa zinarushwa kwenye luninga . Kipindi hicho kinaandaliwa na watu binafsi na sio serikali ….
[FONT=Verdana, sans-serif]Anhaa, sawa, asante kunijuvya. Kumbe huko "kwa wenzenu" uhalifu na ujambazi ni kama hapa kwetu? Walahi ibilisi kasambaa kila mandhari. Sasa mbona ulijaribu kutujengea hoja hapa kwamba polisi jamii huko "kwa wenzenu" imefaninikiwa? Naona kama unajifunga funga. Labda tueleze tena.[/FONT]... Kitu kingine usichojua ni kuwa pamoja na wao kuendelea lakini kero za uhalifu ni kama kwetu, mauaji, vibaka, uuzaji wa madawa ya kulevya n.k. Lakini kwa wenzetu wameanzisha neighbourhood policing ambapo polisi wanajitahidi kujenga imani ya jamii. ..
[FONT=Verdana, sans-serif]Huo si ukweli Mkuu, nimepata bahati ya kwenda warsha ndogo ndogo huko "kwa wenzenu" na sijaona polisi wakiwa katika "beat" eti wanasimama kuongea na wananchi. Kwanza wananchi wengi huko "kwa wenzenu" wanakuwa na miendo ya kasi kali na ari kali na nguvu kali, sijaona mtu anaacha zake, anasimama eti kuongea na polisi barabarani kumpa dodoso za majambazi! Ha ha haha haaaaa! Sijaona...! Askari wa huko "kwa wenzenu" wanapokuwa doria wanakuwa wamekunja ndita wakisoma lugha za mwili nyusoni mwa watu, hawafanyi uchunguzi wa ujambazi wanapokuwa doria, wanalinda doria![/FONT]Polisi wao hawakai polisi posti bali wanakula beat kuzunguka maeneo yao. Wakati wa beat wanaongea na wananchi na wanatoa misaada pale inapowezekana.
[FONT=Verdana, sans-serif]Nani kasema watoa taarifa wote wanawekwa chini ya mpango huo? Nilionyesha jinsi majambazi yanavyoweza kuwa tishio wa watoa taarifa, maana ulijaribu kutuambia kwamba majambazi huwa hawana pa kujificha kama wananchi wanawataja. Nikakuonyesha jinsi mwananchi ndio anaweza akawa hana pa kujificha bila mpango maalum wa kumlinda.[/FONT]Si kila mtoa taarifa anawekwa chini ya witness protection program.
[FONT=Verdana, sans-serif]Na uhalifu mwingi unashughulikiwa na hao FBI pia. [/FONT][FONT=Verdana, sans-serif]Kama "hamna haja ya kuingiza FBI" kwa nini kuna FBI? [/FONT]Uhalifu mwingi unashughulikiwa na local police wala hamna haja ya kuingiza vyombo kama FBI!
[FONT=Verdana, sans-serif]Si umesema polisi yabidi wawe karibu na jamii, na ndo msingi wa polisi jamii? Kama ndo hivyo basi polisi hawawezi, hawatakiwi, kuwa wageni! Wakiwa karibu hawawezi kujitoa kwenye majukumu yao kwa kujisema wao wageni. Kwamba polisi hawajui wahalifu kwa sababu wao ni wageni, wahalifu ni watoto wetu, polisi ni watoto wa nani? Polisi wa Vingunguti wanatoka wapi, huko kwa wenzenu?[/FONT]Mara nyingi katika maeneo mengi polisi hao ni wageni lakini wahalifu ni watoto wetu.
[FONT=Verdana, sans-serif]Mkuu, hiyo ndio kazi ya polisi![/FONT]Ni kwa kuwazibia macho na kungojea ati polisi waje kuwashughulikia ndiko kunako watia kiburi.
Si umesema unataka polisi karibu? Vituo vidogo vya askari posti vilijengwa kusogeza polisi karibu. Sasa mwananchi akiwa na swala linalohitaji polisi aende kumngoja barabarani?Kingine ni huo mtindo wa kuwajengea polisi post ambamo sasa mapolisi badala ya kuingia mtaani wanashinda na kujifanya mamangi meza...
[FONT=Verdana, sans-serif]Mtume! [/FONT]Ni mara ngapi m?ajambazi wameuawa kwa kupigwa mawe na umati wa watu wenye hasira pamoja na kuwa ameshika SMG...
[FONT=Verdana, sans-serif]Upeo wangu wa kufikiri mdogo, ndio , lakini sijakubaliana na baadhi ya uloyasema hapo.Usijibu ili mradi kujibu tu. Fikiri kwanza.
A:cheer2::cheer2:Afadhali maana hata mimi naona tu tunakoelekea si salama inakuwa kama nyimbo. ujambazi naona Tanzania unazidi kila kukicha.Pole sana na mko wengi msioielewa
Kijana gani huyo kaka? Si vichwa vyote vya habari vya huko Marekani vinatufikia. Ungenifafanulia kijana huyo alifanya nini tuweze kuoanisha.
"[FONT=Verdana, sans-serif]Na sio serikali." Umesema mwenyewe, "na sio serikali." Hizo juhudi za watu binafsi hazifanywi na wananchi kwa niaba ya serikali, mzigo wa kukamata wahalifu bado hajatupiwa mwananchi anaeangalia maonyesho ya kipindi hicho. Serikali ndio ina vyanzo na nyenzo za kupambana na ujambazi, polisi jamii ni dhana ya ukingu wa kukwepa wajibu.[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Anhaa, sawa, asante kunijuvya. Kumbe huko "kwa wenzenu" uhalifu na ujambazi ni kama hapa kwetu? Walahi ibilisi kasambaa kila mandhari. Sasa mbona ulijaribu kutujengea hoja hapa kwamba polisi jamii huko "kwa wenzenu" imefaninikiwa? Naona kama unajifunga funga. Labda tueleze tena.[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Huo si ukweli Mkuu, nimepata bahati ya kwenda warsha ndogo ndogo huko "kwa wenzenu" na sijaona polisi wakiwa katika "beat" eti wanasimama kuongea na wananchi. Kwanza wananchi wengi huko "kwa wenzenu" wanakuwa na miendo ya kasi kali na ari kali na nguvu kali, sijaona mtu anaacha zake, anasimama eti kuongea na polisi barabarani kumpa dodoso za majambazi! Ha ha haha haaaaa! Sijaona...! Askari wa huko "kwa wenzenu" wanapokuwa doria wanakuwa wamekunja ndita wakisoma lugha za mwili nyusoni mwa watu, hawafanyi uchunguzi wa ujambazi wanapokuwa doria, wanalinda doria![/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Nani kasema watoa taarifa wote wanawekwa chini ya mpango huo? Nilionyesha jinsi majambazi yanavyoweza kuwa tishio wa watoa taarifa, maana ulijaribu kutuambia kwamba majambazi huwa hawana pa kujificha kama wananchi wanawataja. Nikakuonyesha jinsi mwananchi ndio anaweza akawa hana pa kujificha bila mpango maalum wa kumlinda.[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Na uhalifu mwingi unashughulikiwa na hao FBI pia. [/FONT][FONT=Verdana, sans-serif]Kama "hamna haja ya kuingiza FBI" kwa nini kuna FBI? [/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Si umesema polisi yabidi wawe karibu na jamii, na ndo msingi wa polisi jamii? Kama ndo hivyo basi polisi hawawezi, hawatakiwi, kuwa wageni! Wakiwa karibu hawawezi kujitoa kwenye majukumu yao kwa kujisema wao wageni. Kwamba polisi hawajui wahalifu kwa sababu wao ni wageni, wahalifu ni watoto wetu, polisi ni watoto wa nani? Polisi wa Vingunguti wanatoka wapi, huko kwa wenzenu?[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Na hata kama kisingizio cha polisi kutofanya kazi ya kusakanya majambazi eti kwa vile hawawajui kwa ugeni wao, bado tunarudi kwenye ukweli kwamba wao ndo wanafanya uchunguzi, ndo kazi yao, mwananchi hafanyi uchunguzi. Hilo mbona hulijibu? [/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Mkuu, hiyo ndio kazi ya polisi![/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Na jambazi akijua kwamba anaemfuatilia ni raia asiye na nyenzo, mafunzo wala malipo, hataogopa, jambazi linaogopa askari kuliko mtu baki. Ndo maana wanafunga mtaa mchana kweupe wanateka, wanaua, wanaondoka. Tutumie jeshi la polishi.[/FONT]
Si umesema unataka polisi karibu? Vituo vidogo vya askari posti vilijengwa kusogeza polisi karibu. Sasa mwananchi akiwa na swala linalohitaji polisi aende kumngoja barabarani?
[FONT=Verdana, sans-serif]Mtume! [/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Yani polisi jamii kumbe ni haki umati ya mwiiiziii....chomaaa... uaa! Labda kweli wote, na Magufuli, na Said Mwema mwenyewe, hatuelewi polisi jamii ni nini. [/FONT][FONT=Verdana, sans-serif]Badala ya kutetea utawala wa sheria unatetea haki umati?[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]Upeo wangu wa kufikiri mdogo, ndio , lakini sijakubaliana na baadhi ya uloyasema hapo.
[/FONT]
Kijana gani huyo kaka? Si vichwa vyote vya habari vya huko Marekani vinatufikia. Ungenifafanulia kijana huyo alifanya nini tuweze kuoanisha.
[FONT=Verdana, sans-serif]Na sio serikali. Umesema mwenyewe, "na sio serikali." Hizo juhudi za watu binafsi hazifanywi na wananchi kwa niaba ya serikali, mzigo wa kukamata wahalifu bado hajatupiwa mwananchi anaeangalia maonyesho ya kipindi hicho. Serikali ndio ina vyanzo na nyenzo za kupambana na ujambazi, polisi jamii ni dhana ya ukingu wa kukwepa wajibu.[/FONT]
Anhaa, sawa, asante kunijuvya. Kumbe huko kwa wenzenu uhalifu na ujambazi ni kama hapa kwetu? Walahi ibilisi kasambaa kila mandhari. Sasa mbona ulijaribu kutujengea hoja hapa kwamba polisi jamii huko kwa wenzenu imefaninikiwa? Naona kama unajifunga funga. Labda tueleze tena.
Huo si ukweli Mkuu, nimepata bahati ya kwenda warsha ndogo ndogo huko kwa wenzenu na sijaona polisi wakiwa katika beat eti wanasimama kuongea na wananchi. Kwanza wananchi wengi huko kwa wenzenu wanakuwa na miendo ya kasi kali na ari kali na nguvu kali, sijaona mtu anaacha zake, anasimama eti kuongea na polisi barabarani kumpa dodoso za majambazi! Ha ha haha haaaaa! Sijaona...! Askari wa huko kwa wenzenu wanapokuwa doria wanakuwa wamekunja ndita wakisoma lugha za mwili nyusoni mwa watu, hawafanyi uchunguzi wa ujambazi wanapokuwa doria, wanalinda doria!
Nani kasema watoa taarifa wote wanawekwa chini ya mpango huo? Nilionyesha jinsi majambazi yanavyoweza kuwa tishio wa watoa taarifa, maana ulijaribu kutuambia kwamba majambazi huwa hawana pa kujificha kama wananchi wanawataja. Nikakuonyesha jinsi mwananchi ndio anaweza akawa hana pa kujificha bila mpango maalum wa kumlinda.
Na uhalifu mwingi unashughulikiwa na hao FBI pia. [FONT=Verdana, sans-serif]Kama "hamna haja ya kuingiza FBI" kwa nini kuna FBI[/FONT]
Si umesema polisi yabidi wawe karibu na jamii, na ndo msingi wa polisi jamii? Kama ndo hivyo basi polisi hawawezi, hawatakiwi, kuwa wageni! Wakiwa karibu hawawezi kujitoa kwenye majukumu yao kwa kujisema wao wageni. Kwamba polisi hawajui wahalifu kwa sababu wao ni wageni, wahalifu ni watoto wetu, polisi ni watoto wa nani? Polisi wa Vingunguti wanatoka wapi, huko kwa wenzenu?
[FONT=Verdana, sans-serif]Na hata kama kisingizio cha polisi kutofanya kazi ya kusakanya majambazi eti kwa vile hawawajui kwa ugeni wao, bado tunarudi kwenye ukweli kwamba wao ndo wanafanya uchunguzi, ndo kazi yao, mwananchi hafanyi uchunguzi. Hilo mbona hulijibu? [/FONT]
Mkuu, hiyo ndio kazi ya polisi!
[FONT=Verdana, sans-serif]Na jambazi akijua kwamba anaemfuatilia ni raia asiye na nyenzo, mafunzo wala malipo, hataogopa, jambazi linaogopa askari kuliko mtu baki. Ndo maana wanafunga mtaa mchana kweupe wanateka, wanaua, wanaondoka. Tutumie jeshi la polishi.[/FONT]
Si umesema unataka polisi karibu? Vituo vidogo vya askari posti vilijengwa kusogeza polisi karibu. Sasa mwananchi akiwa na swala linalohitaji polisi aende kumngoja barabarani?
Mtume!
[FONT=Verdana, sans-serif]Yani polisi jamii kumbe ni haki umati ya mwiiiziii....chomaaa... uaa! Labda kweli wote, na Magufuli, na Said Mwema mwenyewe, hatuelewi polisi jamii ni nini. [/FONT][FONT=Verdana, sans-serif]Badala ya kutetea utawala wa sheria unatetea haki umati?[/FONT]
Upeo wangu wa kufikiri mdogo, ndio , lakini sijakubaliana na baadhi ya uloyasema hapo.
Ha ha ha ha ha kwani kati ya watz million 40 ni hao hao kamati kuu ya ccm wa kutuongoza? wako watu very proffessional na ethical bwana tatizo hawawezi fitina za kisiasa. We angalia Mpondela na Yanga alivyosema jamani hii iwe kampuni vibabu vilimuendea mpaka bagamoyo, sasa mbona imekua kampuni kimtindo kwa ujanja wa Manji kuwapa pilau (Siasa Tumbo hizo)
Salim 2015?
Salim huyo mzee ameanza uongozi alivyo balehe tu, alikuwa ubalozini mwaka 1961 akiwa na miaka 19, niko vidudu huyu mzee waziri mkuu, mpaka leo wa nini hawa kina babu hawa?
Magufuli nae anachemsha kama Mrema.