BBC watakuja kumhoji Siku Atakapokuwa Anaapishwa kuwa rais wa nchi hii. Mwambie Salim kikeke na Zuhura Yunus wasubiri kidogoHapo sasa. Labda anaogopa kuulizwa kinachomshangaza wanafunzi kukaa chini au kwa nini maofisa wa serikali wanaishi hotelini wao, wake zao, wajukuu na mbwa zao kwa mwaka mzima huku wakilipiwa na Serikali
huyu mtu anaogopa hata lugha ya taifa!. Jee kweli atawezaje kulitumikia taifa ?
Haya polisi kamata magufuli peleka bbc akahojiwe huko....
Kwanza mwambie ataje kirefu cha BBC.
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Halafu ndio mtu eti alikuwa anataka mdahalo na Lowassa huyo? Hebu fikiria hii BBC Swahili anakimbia ingalikuwa ile ya kizungu jee?
Teh teh teh.....
Labda anaogopa watamchenjia katikati ya mahojiano na kuchomekea Kizungu:wink:.
"here job only"Kamanda Evelyne, Pengine Makufuli Aliogopa Swali Kwamba Lowasa Alisema Kipaumbele Cha Kwanza Mpaka Cha Tatu Elimu, Phd Yake Ya Ccm Ambayo Imeshindwa Kumtambua Raisi Wa Iraq! Anaitwa Nani!
kila siku nasema elimu ya tanzania iko ahera. Amefikaje ngazi ya phd huyu kilaza? Hajakaa kisomi kabisa. Na kama manamba.
Preta , miss chagga na wewe i think you share the same mama ama baba! fuatilieni!Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha ajabu, jamaa akasepa dakika za mwisho.
Kwa maswali yale aliyopigwa Lowassa, no wonder Magufuli anakimbia. Huu ni udhaifu pia.
Teh teh teh.....
Labda anaogopa watamchenjia katikati ya mahojiano na kuchomekea Kizungu:wink:.
Zaidi ya Barabara hakuna kingine anachojua.
Huko BBC ataleta aibu tupu, bora asiende.