Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
tanzania bila mchaka mchaka mambo hayaendi
namsifu magufuli kwa kuanika uozo wa wenzie hadharani
nini cha kuficha hapa? kama ni wazembe na ndio wanaokwamisha mradi
kwanini asiwaseme hadharani??? bravo magufuli mawaziri wengine waige mfano wake
ntashangaa leo kama JK hatambakisha.
namsifu magufuli kwa kuanika uozo wa wenzie hadharani
nini cha kuficha hapa? kama ni wazembe na ndio wanaokwamisha mradi
kwanini asiwaseme hadharani??? bravo magufuli mawaziri wengine waige mfano wake
ntashangaa leo kama JK hatambakisha.