Magufuli amchana Mkulo

Likizo ni haki ya mfanyakazi. Waziri Magufuri hapa anaweza kuwa accused kwamba ana run a sweatshop type of operation ambayo ni noma. tena anaweza kuwa ana violate kanuni za mikataba ya kazi ya kimataifa iliyopitishwa na International Labor Organization (ILO)

Halafu kiusalama mtu kufanya kazi bila likizo haifai, kuanzia kiafya mpaka katika job auditing.



Hivi Tanzania hamna vyama vya wafanyakazi? Waziri atasemaje watu wasiende likizo?

Au mmekosea kumpata vizuri?

Likizo ni haki ya mfanyakazi lakini sio Mfanyakazi anayeamua kwenda likizo kipindi gani - mfanyakazi anaomba likizo muajiri anaidhinisha au hapana.
 
A dictator can be a politician by virtue of political office just as a pope can be a politician by virtue of being a head of state. So it is not true that dictators are not politicians, they are politicians who practise dictatorial politics as opposed to democratic politics.

If what Mkapa did, and how the people reacted has no meaning to you, you have no busines issuing blanket statements about all politicians.

Huwezi kusema "all politicians are populist" wakati kuna nchi kama Tanzania ambayo haihitaji politicians awe populist, Malecela kasema kwa wananchi "You can go to hell", Msuya kawaambia "Kila mtu atauchukua msalaba wake mwenyewe", Mramba kasema "Radar tutanunua hata kama watu itabidi wale majani"

Kweli unaweza kusema "all politicians are populist"?

Halafu naona kama unataka ku revise context ya msemo wako wa "all politicians are populist" iwe valid katika systems zenye true democracy tu, una mu excuse Mkapa kwa sababu Tanzania si democratic (well, are political leaders in non-democratic states not politicians?)wakati msingi wako wa kusema "all politicians are populists" umetokana na siasa kuanzia za Tanzania mpaka za nje.

All blanket statements are bound to be wanting, and yours is wanting in a very significant way.

nitajitahidi kukusoma vizuri zaidi labda nitakuelewa unataka kumaanisha nini...
 
Ndugai Aliwambia DHARAU wafanyie huko huko. Haya ndo Matokeo ya Taifa kukosa Kiongozi Dhabiti Mfa Maji haachi Kutapa.
 
Kama bado hawalipwa hao aliosign nao mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar ana uhakika watalipwa?
 
Mr.Kiranga!!
I'm still waiting,hope not in vain, your definition for POPULISM thence POPULIST!!

Populism is derived from popular, that which is liked by many, common, and therefore easily likable.

A populist is someone who practices populism. The criticism against populism is that it is usually adopted by people with no principles or who are ready to sacrifice their principles in order to gain political power. This criticism does not address the possibility that one may actually be a populist due to a genuine alignment with the said populist ideals. The counter to that is that a true populist is practising populism in every aspect, making his main goal to be in the good eyes of public opinion, and this can hardly be in tune with any one persons true convictions.

Populism is like fire not necessarily good or bad, right or wrong.It all depends for what cause are you going to use it? What are the specific details. For example, there was a point when the popular opinion was that the earth was flat, and the sun revolved around the earth, both these notions were not right. So, the mere fact that something is popular / liked/ believed by many does not make it right/ good/ the best. This is the bottleneck of democracy as described by many (e.g H.L Mencken in his burlesque satirres). The US is very democratic compare to China, but as far as the speed of implementation of development projects is concerned, this very fact puts the US at a disadvantage when compared to China because Chinese bureaucrats do not have to go through a contentious Congressional brouhaha complete with fillibuster sessions.

So populism in itself is neither good nor bad. It can be bad, as when it is used by a Machiavellian politicians with vile desires (Think Hitler rallying the Germans against the Jews to attain the helm of power and launch a grotesque carnage of inhuman proportions), or it can be good (Think Lech Walesa and Vaclav Havel rallying their people against the occupying powers/ Communism)

I have yet to see your input regarding my last post in reply to yours.
 
Ron Paul is not a populist, he adopts some very controversial positions that defies the American political orthodoxy in a way that threatens his chances.

Huwezi kusema mwanasiasa anayeadvocate general legalization ya marijuana na prostitution, abolishing the Federal Reserve na kusimamisha vita zote abruptly ni "populist". Hizi si popular positions.

Not every Tanzanians knows who Ron Paul is; sometimes let use the best examples which can make easy to follow the topic; so please guys let go local we have all types of politicians name it wezi, waongo, wakweli; wanafiki; majuha, malaya, wadini etc; just suggestion I don`t mean to offend anybody.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
nitajitahidi kukusoma vizuri zaidi labda nitakuelewa unataka kumaanisha nini...

Namaanisha kwamba mwanasiasa si tu yule anayefanya siasa katika a perfectl democracy, hata dikteta naye ni mwanasiasa.

Huko North Korea mpaka leo politics zao kwenye uchaguzi mnawekewa mgombea mmoja kateuliwa na chama, watu hawana elimu wala uwezo wa kiuchumi, wamekuwa brainwashed, wanapitisha tu. Unafikiri ni lazima mtu kuwa populist huko wakati watu wanaambiwa chochote wanafanya tu?

Au North Korea hamna wanasiasa?
 
Populism can be defined as an ideology [SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-0[/SUP][SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-1[/SUP][SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-web.ceu.hu-2[/SUP][SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-3[/SUP]political philosophy,[SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-4[/SUP][SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-lepo.it.da.ut.ee-5[/SUP][SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-6[/SUP] or type of discourse. [SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-web.ceu.hu-2[/SUP][SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Populism#cite_note-lepo.it.da.ut.ee-5[/SUP]Generally, a common theme compares "the people" against "the elite", and urges social and political system changes. It can also be defined as a rhetorical style employed by members of various political or social movements (a form of mobilization that is essentially devoid of theory)

statism - is a political phylosophy which holds that a small group of professional politicians know better than the people of a state and should make decisions on behalf of them

Nimecopy na kupaste from wikipedia!!
 
Not every Tanzanians knows who Ron Paul is; sometimes let use the best examples which can make easy to follow the topic; so please guys let go local we have all types of politicians name it wezi, waongo, wakweli; wanafiki; majuha, malaya, wadini etc; just suggestion I don`t mean to offend anybody.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Umepewa mifano ya Tanzania pia, umepewa mifano ya Malecela, Msuya, Mramba walivyokuwa hawakumbatii populism.

Kuna wengine wanamjua Ron Paul, kama ambavyo si kila Mtanzania anamjua Ron Paul, si kila Mtanzania hamjui Ron Paul pia. Na kama humjui labda point ya forum hii ni kubadilishana ujuzi, huu ndio mda wa kuperuzi peruzi kumjua kwani wakati wwowote baada ya uchaguzi wa 2012 anaweza kuwa rais wa Marekani, na penda usipende foreign policy ya Marekani itaathiri mabo fulani Tanzania.

Ulimwengu wa utandawazi huu huwezi kujificha chini ya jiwe useme tuzungumze Tanzania tu, utalia.
 
Chinese contractors say govt owes them 287bn/-

Chinese Contractors in the country have appealed to the government to pay them a 287.1bn/- outstanding debt so that they could proceed with the construction of 2,405.6 km trunk roads now stalled. Addressing journalists in Dar es Salaam yesterday, the chairman of the Chinese Contractors Association, Wang Jingli said the money was owed since 2009, and has affected their ability to proceed with the work. "The serious consequence of this has witnessed the exhaustion of our member companies' lines of credit from the banks and the temporary suspension or slowdown of some road projects being implemented," he said.

He said his association which is made up of more than 20 road contractors had been writing to the ministries of Works and Finance and Tanzania National Roads Agency (Tanroads) regarding their dues, but they have been told to wait. The chairman stressed that the members of his association know the importance and urgency of the unfinished roads and were committed to executing the projects, but blamed the government's repeated failure to make payments as cause for delays of the road projects.

Jingli also said the delay in payment and the consequent stalling of the projects has also led to loss of jobs by some of the local employees.
"In the past few years, our member companies have played a major role and contributed substantially to the infrastructure development of Tanzania, especially in the road constructions sector. Among the 3,673.9 kilometers of trunk roads under construction in the country, 2,405.6 km are being built by our member companies. It is around 65.5 per cent of the total length, but we are not getting our money since 2009" he said

"We strongly appeal to the Tanzania government and amicably urge ministry of Works and Tanroads to take instant and positive action to honour the signed contracts and expedite the payment of the huge amount of money due to our member companies without any delay. The delay may not affect us only but Tanzanian nationals as well," he said. Jingli named some of the road projects which might be affected if the government did not pay them in time as Kigoma –Kidahwe, Kidahwe–Uvinza –Ilunde, Tabora –Ndono, Isaka –Ushirombo, Kyaka –Bugene, Mwandiga –Manyokovu and Nyangunge –Musoma /Kisesa Bypass (Musoma –Mwanza border).

Other road projects affected are the upgrade of Sam Nujoma Road, Kigoma –Lusahunga, Dareda-Babati-Minjingu, Ruvu Bridge construction, Bonga –Babati, Kondoa access and widening of Kilwa Road. He named other road projects which maybe affected as Buzirayombo –Geita, Geita –Usagara, Singida –Katesh, Katesh –Dareda, Manyoni –Itigi –Chaya, Puge –Tabora, Dodoma –Mayamaya and Kanazi –Kiza-Kibaoni. When contacted, Tanroads Information Officer, Aisha Malima refused to comment, asking the reporter to forward questions to the agency's Chief Executive Officer, who would then assign the responsible officer to prepare answers.

SOURCE: THE GUARDIAN

 
Populism can be defined as an ideologypolitical philosophy, or type of discourse. Generally, a common theme compares "the people" against "the elite", and urges social and political system changes. It can also be defined as a rhetorical style employed by members of various political or social movements (a form of mobilization that is essentially devoid of theory)

statism - is a political phylosophy which holds that a small group of professional politicians know better than the people of a state and should make decisions on behalf of them

Nimecopy na kupaste from wikipedia!!

Sasa unachotaka kusema ni nini? Hii definition ime clash wapi na nilichosema mie? Na kwa nini definition ya Wikipedia, sehemu ambayo mtu yeyote anaweza kwenda ku edit, ndiyo iwe standard?

Mimi nilifikiri uta quote sehemu yenye authority on the subject.
 
...Au North Korea hamna wanasiasa? - Mr. Kiranga!!

ina maana ulikuwa bado hauna habari kuwa north Korea hakuna wanasiasa??
Labda Kim il Sung, alikuwa na traces za siasa, si mtoto wake Kim Il Jong wala mjukuu wake Kim Jong Un ambaye ndiye ameteuliwa kuwa supreme leader ni wanasiasa - mimi sometimes ninakuwa na wasiwasi kuwa mimi na wewe tunatofautiana zaidi ktk definitions - tukishakubaliana ktk hilo mimi nina hakika tutakuwa tunazungumza lugha moja. ahahahaha
 
nimekuwekea maana ya populism na statism unaweza kuzipata hata kwenye Oxford or Cambridge english dictionaries nimeweka @ wikipedia kwasababu nimeona nikurahisishie kazi hata wao wameandika pages na pages kuhusu populism na statism. Mwenye authoritu ya kudifine ili ukubali ni nani huyo ili nami nikatafute mawazo yake???

My reference to wikipedia is nothing but simple "sarcasm" - it was like telling you " if you want you can even consult wikipedia"
 
...Au North Korea hamna wanasiasa? - Mr. Kiranga!!

ina maana ulikuwa bado hauna habari kuwa north Korea hakuna wanasiasa??
Labda Kim il Sung, alikuwa na traces za siasa, si mtoto wake Kim Il Jong wala mjukuu wake Kim Jong Un ambaye ndiye ameteuliwa kuwa supreme leader ni wanasiasa - mimi sometimes ninakuwa na wasiwasi kuwa mimi na wewe tunatofautiana zaidi ktk definitions - tukishakubaliana ktk hilo mimi nina hakika tutakuwa tunazungumza lugha moja. ahahahaha

Nilishasema hapo juu kwamba definition yako ya mwanasiasa iko narrow.Ukisema North Korea hakuna wanasiasa kwa sababu hakuna demokrasia, mstari wako wa demokrasia ya kutosha kusema hapa kuna wanasiasa unaanzia wapi?

Tanzania hatuna demokrasia ya kutosha, je tuna wanasiasa?

Marekani hawana demokrasia ya kutosha, je wana wanasiasa?

Halafu unaleta mambo ya kukariri kwamba populism vs statism, bila kujua kwamba populism ndiyo agent namba 1 ya statism. Huko North Korea kila kitu kinaenda kwa imla, lakini watu washakuwa brainwashed ina populist manner.

Marekani wamejifanya wana demokrasia sana lakini George Bush na Dick Cheney wamewachota watu akili in a populist wave kuipeleka nch vita isiyo sababu, essentially wame practise statism kwa kutumia populism.

Thomas Sankara alikuwa anawaendesha wa-Bukinarbe kichizi, karibu kila mtu alikuwa anampenda, alikuwa anatumia populism ku maintain statism, complete with a national dress aliyoilazimisha yeye mwenyewe, mpaka anaingia maofisini kukagua kama watu wamevaa nguo anazotaka yeye. Hapa unaona mtu anatumia populism kuendeleza statism. Vivyo hivyo nimetoa mfano wa Hitlet hapo juu.

Kwa hiyo usilete mambo ya kukariri kwenye vitabu kwamba hii hapa populism, hii hapa statism, vitu viwili tofauti. Unaweza kuchanganyiwa vyote viwili ukapewa cocktail usijue.
 
nimekuwekea maana ya populism na statism unaweza kuzipata hata kwenye Oxford or Cambridge english dictionaries nimeweka @ wikipedia kwasababu nimeona nikurahisishie kazi hata wao wameandika pages na pages kuhusu populism na statism. Mwenye authoritu ya kudifine ili ukubali ni nani huyo ili nami nikatafute mawazo yake???

My reference to wikipedia is nothing but simple "sarcasm" - it was like telling you " if you want you can even consult wikipedia"

Mimi nikitaka industry specific definition sisomi Oxford or Cambridge English Dictionary, natafuta industry specific dictionary. Na sihitaji dictionary kuangalia hili kwani nalifahamu.

Ningehitaji ninazo hapa somewhere "Oxford Dictionary of Sociology" na Political Science.

Sarcasm is the lowest end of wit. Humpi reference mtu anayejua maana, unampa asiyejua maana.

Umeshindwa kumu align Mkapa na populism vis a vis his fiscal policy kama nilivyokutaka hapo juu.

Hujanionyesha katika mfumo ambao Mwanasiasa anaweza kuiba kura na hivyo hahitaji kura za wananchi anashindwaje kutokuwa populist.

Tofautisha Mwanasiasa na statesman, kila statesman ni mwanasiasa lakini si kila mwanasiasa ni statesman.

Pia tofautisha a politician and a legit or skilled politician. Kuna politicians wengine hawana hata skills zinazotakiwa kuwa populists, hao nao utawaita populists?

Wewe una confuse suala la legitimacy na uanasiasa. Madikteta ni wanasiasa, lakini si wanasiasa legit kwa sababu hawana mandate ya wananchi wao au mandate yao ina questions of integrity.

North Korea kuna wanasiasa, lakini kwa mfumo wa magharibi wa demokrasia, wanasiasa hawa si legit kwa sababu hawako katika an open/ competitive politics system, wanapita sham elections. Kwa hiyo unaweza ku question legitimacy yao, lakini watakwambia sie ndiyo system yetu na competition kwetu itakuja tutakapopigiwa kura na wananchi. Kwani Tanzania tulivyokuwa na chama kimoja hatukuwa na siasa? Unaweza kusema siasa ztu zilikuwa sham, lakini si kweli kwamba hatukuwa na siasa. Kikipikwa chakula ambacho hakijaiva vizuri huwezi kusema hiki si chakula, ni chakula, sema chakula hiki hakijaiva.

Unavyosema kila mwanasiasa ni populist unakuwa kama unaamini kwamba kila mwanasiasa anajua his best interest na yuko tayari ku sacrifice his core principles ili ku gain popularity.
 
Mr. Kiranga, mimi nafikiri,nisahihishe kama nimekosea pls, kuwa unafanya makosa(ambayo by the way wanafanya hata watu wengi tu wanaoishi katika nchi zilizokomaa kidemokrasia) ya kuchanganya maana ya cheap popularity na populism, the 2 are not synonyms.
au unasemaje bro?
 
we dada utahangaika sana na mimi juu ya hizi ri za kipogoro,ndio zimenifikisha huku nakula kodi za wazungu wezi wa mali ghafi zetu,
utahangaika sana kurekebisha,lakini kiukweri ndizo zinazo nipa maisha majuu
We acha kudanganya, wapogoro huwa hawana "r". Wapogoro wanatumia "L" kwa kwenda mbele. We lazima utakuwa wa kutoka mara
 
Mimi nikitaka industry specific definition sisomi Oxford or Cambridge English Dictionary, natafuta industry specific dictionary. Na sihitaji dictionary kuangalia hili kwani nalifahamu.

Ningehitaji ninazo hapa somewhere "Oxford Dictionary of Sociology" na Political Science.

Sarcasm is the lowest end of wit. Humpi reference mtu anayejua maana, unampa asiyejua maana.

Umeshindwa kumu align Mkapa na populism vis a vis his fiscal policy kama nilivyokutaka hapo juu.

Hujanionyesha katika mfumo ambao Mwanasiasa anaweza kuiba kura na hivyo hahitaji kura za wananchi anashindwaje kutokuwa populist.

Mr. Kiranga!
Personally I don't have what you call "oxford Dictionary of Sociology...political science"
I'm, a senior medical Officer,if that can help, anyway I dont think if in order to know the meaning of a "protein" one should consult the biological dictionary or to know what is a "rock" one should go for a geological manual nevertheless if I ask you what is malaria you dont have necessarily to consult the medical dictionary - do you??? I'm afraid we're becoming ridiculous and people are no longer enjoying the argument...
I'm afraid!!
 
Chinese contractors say govt owes them 287bn/-

Chinese Contractors in the country have appealed to the government to pay them a 287.1bn/- outstanding debt so that they could proceed with the construction of 2,405.6 km trunk roads now stalled. Addressing journalists in Dar es Salaam yesterday, the chairman of the Chinese Contractors Association, Wang Jingli said the money was owed since 2009, and has affected their ability to proceed with the work. “The serious consequence of this has witnessed the exhaustion of our member companies’ lines of credit from the banks and the temporary suspension or slowdown of some road projects being implemented,” he said.

He said his association which is made up of more than 20 road contractors had been writing to the ministries of Works and Finance and Tanzania National Roads Agency (Tanroads) regarding their dues, but they have been told to wait. The chairman stressed that the members of his association know the importance and urgency of the unfinished roads and were committed to executing the projects, but blamed the government’s repeated failure to make payments as cause for delays of the road projects.

Jingli also said the delay in payment and the consequent stalling of the projects has also led to loss of jobs by some of the local employees.
“In the past few years, our member companies have played a major role and contributed substantially to the infrastructure development of Tanzania, especially in the road constructions sector. Among the 3,673.9 kilometers of trunk roads under construction in the country, 2,405.6 km are being built by our member companies. It is around 65.5 per cent of the total length, but we are not getting our money since 2009” he said

“We strongly appeal to the Tanzania government and amicably urge ministry of Works and Tanroads to take instant and positive action to honour the signed contracts and expedite the payment of the huge amount of money due to our member companies without any delay. The delay may not affect us only but Tanzanian nationals as well,” he said. Jingli named some of the road projects which might be affected if the government did not pay them in time as Kigoma –Kidahwe, Kidahwe–Uvinza –Ilunde, Tabora –Ndono, Isaka –Ushirombo, Kyaka –Bugene, Mwandiga –Manyokovu and Nyangunge –Musoma /Kisesa Bypass (Musoma –Mwanza border).

Other road projects affected are the upgrade of Sam Nujoma Road, Kigoma –Lusahunga, Dareda-Babati-Minjingu, Ruvu Bridge construction, Bonga –Babati, Kondoa access and widening of Kilwa Road. He named other road projects which maybe affected as Buzirayombo –Geita, Geita –Usagara, Singida –Katesh, Katesh –Dareda, Manyoni –Itigi –Chaya, Puge –Tabora, Dodoma –Mayamaya and Kanazi –Kiza-Kibaoni. When contacted, Tanroads Information Officer, Aisha Malima refused to comment, asking the reporter to forward questions to the agency’s Chief Executive Officer, who would then assign the responsible officer to prepare answers.

SOURCE: THE GUARDIAN

Kelele zote zile kwamba miradi hii yote tunajenga na pesa zetu wenyewe, kumbe hatujalipa hata mia! Siasa bana we acha tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom