Magufuli amchana Mkulo

Bitabo

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
1,900
687
Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""

"Na hili nalisema hapa kutokana na mwakilishi wa Ofisi ya Waziri wa Fedha kuwa mahali hapa," alisema Magufuli na kumgeukia ofisa huyo wa Wizara ya Fedha na kumwambia:

"Mwambie Waziri Mkulo awalipe fedha makandarasi wanaodai, salamu hizo mfikishie huko aliko, makandarasi wanaidai serikali," alisema.
Bila kutaja kiasi ambacho serikali inadaiwa, Magufuli alimtaka Waziri Mkulo kulichukua jambo hilo kwa uzito wa kipekee na kuanza kulipa madeni ya makandarasi kuanzia sasa, ili Wizara ya Ujenzi iweze kuwabana vizuri pale wanaposhindwa kukamilisha ujenzi kwa wakati.''

source: TANZANIA DAIMA YA LEO


Ina maana hawa jamaa hata kupigiana simu hawawezi mpaka wavuane magamba kwenye TV??? Kazi ni kwake baba riz.
 
Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""
"Na hili nalisema hapa kutokana na mwakilishi wa Ofisi ya Waziri wa Fedha kuwa mahali hapa," alisema Magufuli na kumgeukia ofisa huyo wa Wizara ya Fedha na kumwambia:
"Mwambie Waziri Mkulo awalipe fedha makandarasi wanaodai, salamu hizo mfikishie huko aliko, makandarasi wanaidai serikali," alisema.
Bila kutaja kiasi ambacho serikali inadaiwa, Magufuli alimtaka Waziri Mkulo kulichukua jambo hilo kwa uzito wa kipekee na kuanza kulipa madeni ya makandarasi kuanzia sasa, ili Wizara ya Ujenzi iweze kuwabana vizuri pale wanaposhindwa kukamilisha ujenzi kwa wakati.''
source: TANZANIA DAIMA YA LEO


Ina maana hawa jamaa hata kupigiana simu hawawezi mpaka wavuane magamba kwenye TV??? Kazi ni kwake baba riz.

ni bora jembe limesema ukweri,maana angeanza kupewa lawama juu ya barabara zisizokamilika,kumbe Mh wa fedha afanyi vile inavyotakiwa

safiii sana jembe Dr wa ukweri,wewe kamua hata kama upande wa pili unakukatisha tamaa,ni vyema anavyosema wazi inatufanya kuelewa nani anamkwamisha Dr wa ukweri
 
Mawaziri wengi wa Kikwete wanajitahidi kuchafuana kwenye media, hasa wale wenye nia ya kugombea urais 2015. Na Pombe ni mmoja wa hao wanaojikakamua kusafisha njia kwa kuwavua wenzake nguo!
 
Kinachosikitisha hapa sio nani kasema uwongo au ukweli shida ni kwamba tunayo serikali ya namna gani ambayo haina mfumo unaoeleweka wa mawasiliano?
Sio kitu cha kushabikia hiki, naamini bado mnayakumbuka yaliyojiri bungeni kuhusu posho kila mtu anasema lake hii ni hatari sana kuweza kupata tafsiri sahihi ya kitu kiitwacho "uwajibikaji wa pamoja".
 
hivi hayo malori ya quality group yatapita barabara ipi maana zilizopo zina foleni mbaya..
 
Mawaziri wengi wa Kikwete wanajitahidi kuchafuana kwenye media, hasa wale wenye nia ya kugombea urais 2015. Na Pombe ni mmoja wa hao wanaojikakamua kusafisha njia kwa kuwavua wenzake nguo!

Wengine watasema amefanya vizuri kwa kuwa muwazi na labda hili litasaidia kufanya mambo yaende kasi.

Wengine watasema this is undiplomatic, haheshimu collective responsibility, na alikuwa na njia nyingi tu za kuongea na Mkullo moja kwa moja, anatengeneza tension inayoweza kuleta confrontation.
 
Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""
“Na hili nalisema hapa kutokana na mwakilishi wa Ofisi ya Waziri wa Fedha kuwa mahali hapa,” alisema Magufuli na kumgeukia ofisa huyo wa Wizara ya Fedha na kumwambia:
“Mwambie Waziri Mkulo awalipe fedha makandarasi wanaodai, salamu hizo mfikishie huko aliko, makandarasi wanaidai serikali,” alisema.
Bila kutaja kiasi ambacho serikali inadaiwa, Magufuli alimtaka Waziri Mkulo kulichukua jambo hilo kwa uzito wa kipekee na kuanza kulipa madeni ya makandarasi kuanzia sasa, ili Wizara ya Ujenzi iweze kuwabana vizuri pale wanaposhindwa kukamilisha ujenzi kwa wakati.''
source: TANZANIA DAIMA YA LEO


Ina maana hawa jamaa hata kupigiana simu hawawezi mpaka wavuane magamba kwenye TV??? Kazi ni kwake baba riz.

Magufuli in action a typical populist.
 
Wengine watasema amefanya vizuri kwa kuwa muwazi na labda hili litasaidia kufanya mambo yaende kasi.

Wengine watasema this is undiplomatic, haheshimu collective responsibility, na alikuwa na njia nyingi tu za kuongea na Mkullo moja kwa moja, anatengeneza tension inayoweza kuleta confrontation.

watanzania bana
hivi umeyasikia jana UGANDA?
Raisi msevi anamweleza waziri wake mbele ya vyombo vya habari kuwa alitakiwa kuwajibika kwa kutojua baadhi ya pesa zilikokwenda,lakini wakati huohuo waziri anasema mbele ya vyombo vya habari kuwa tatizo ni Raisi ndio aliyetoa madaraka yote juu ya mfanyabiashara aliyesababisha upotevu wa pesa ,

leo maguri kasema anaonekana anatafuta umaarufu wa kisiasa,sasa mlitaka afanyaje kama njia nyingine zimeshindikana?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
..sidhani kama Mawaziri wanapaswa kuwasiliana namna alivyofanya Magufuli.

..this is a veteran minister, kwanini afanye hivyo?

..mnakumbuka ile sakata ya maboti yaliyotakiwa kwenda lake victoria alivyokuwa anamshambulia Prof.Mwandosya?
 
watanzania bana
hivi umeyasikia jana UGANDA?
Raisi msevi anamweleza waziri wake mbele ya vyombo vya habari kuwa alitakiwa kuwajibika kwa kutojua baadhi ya pesa zilikokwenda,lakini wakati huohuo waziri anasema mbele ya vyombo vya habari kuwa tatizo ni Raisi ndio aliyetoa madaraka yote juu ya mfanyabiashara aliyesababisha upotevu wa pesa ,

leo maguri kasema anaonekana anatafuta umaarufu wa kisiasa,sasa mlitaka afanyaje kama njia nyingine zimeshindikana?

Duh,

Ushawabatiza majina "Msevi" na "Maguri".

Serikali inayoendeshwa kwa rais kufokeana na waziri in the open kama watoto haina discipline wala collective responsibility. Kimsingi serikali yote inatakiwa kufanya kazi kama kitu kimoja, serikali ya CCM. Sasa tukiona Waziri mmoja anamtupia lawama mwingine sisi hatujui cha Magufuri wala Mkullo, tunachoona ni kwamba serikali ya CCM inashindwa kazi.

Magufuri kwa upande mmoja yuko sawa, kwa sababu sijui kachukua hatua gani mwanzo huko, huenda kashindwa kote kaona amshitaki kwenye court of public opinion.

Lakini typically haya ni mambo ya Magufuri, Mkullo na Kikwete kuongea kwenye cabinet meetings.

Sijui hata kama hizo cabinet meetings zinakalika.
 
Magufuli in action a typical populist.

what do you mean by "populist"??? this terminology is highly abused in the west and now I see even in Tanzania. Have you ever known any, I underline ANY,politician who is not POPULIST??? Let's forget about demagogy and cheap rhetoric thence call a spade a.......SPADE!!!
all politicians are populist(S)...period!!!!!
 
what do you mean by "populist"??? this terminology is highly abused in the west and now I see even in Tanzania. Have you ever known any, I underline ANY,politician who is not POPULIST??? Let's forget about demagogy and cheap rhetoric thence call a spade a.......SPADE!!!
all politicians are populist(S)...period!!!!!

Ron Paul is not a populist, he adopts some very controversial positions that defies the American political orthodoxy in a way that threatens his chances.

Huwezi kusema mwanasiasa anayeadvocate general legalization ya marijuana na prostitution, abolishing the Federal Reserve na kusimamisha vita zote abruptly ni "populist". Hizi si popular positions.
 
Kiranga,

..inawezekana wanakwenda kwenye cabinet meetings lakini hakuna cha maana wanachojadili.

..kama unavyomjua mwenyekiti wao, akianza kujenga hoja anazunguka weee mwisho hata hoja yenyewe hajengi.

..lakini pia tunamjua Magufuli na tabia zake za kuropoka-ropoka.
 
Back
Top Bottom