Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Hapo kwenye red napatashida kukuelewa, ulikuwa na maana gani???Halafu hongera naona unareasoning ya university.Hizi habari mkahadithiane vijiweni mwa chama chenu.
Kama akilo yako ni fupi hivyo basi ujue kuwa potentoal ya Dr Kafumu kusonga mbele ni kubwa kuliko jamaa yenu Kashindye.
Common sense pipoooz.
Hapa kwa mtoa sredi kuna reasoning capacity ya chekechea