Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,756
- 8,493
Tujitolee kwa nani? Huyo rais aboreshe Huduma za afyaAbarikiwe... Kweli ameonyesha moyo wakujitolea, ilobaki wananchi, nasi tujitolee....
Tujitolee kwa nani? Huyo rais aboreshe Huduma za afyaAbarikiwe... Kweli ameonyesha moyo wakujitolea, ilobaki wananchi, nasi tujitolee....
Exactly...!! Akiboresha sekta ya Afya na kuruhusu maDokta walobobea kutoka nje!! Hatutapeleka wagonjwa nje..nata deni la tiba nje la maBilioni litapungua!!!!Tujitolee kwa nani? Huyo rais aboreshe Huduma za afya
Rais kafanya jambo jema sana. Kutoa ni moyo na inategemea mambo mengi ikiwapo kuguswa moyoni na mhusika. Hata Yesu hakuponya wagonjwa wote waliokuwepo wakati ule na hakufufua wafu wote. Mwacheni Rais wetu afanye mambo ya kijamii kwa uhuruSijui washauri wa rais wanafanya kazi gani!!!?? Kaaazi kwelikweli!!