DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Ni kweli kazi nzuri aliyofanya ni kuuziana nyumba za serikali kwa bei ya peremende. Vizuri tuendelee kusifiana tuu, uku hatujui jambo hata moja zuri alilofanya. Nadhani hata jibu huna, ebu tuambie kazi moja tuu nzuri aliyofanya Magufuli? Au kukariri majina ya barabara?
...Tusichanganye issue. Uamuzi wa kuuza nyumba haukuwa wake. Yeye alikuwa mtekelezaji tu.
...Kazi alizofanya zinafahamika.......simply, they sell themselves, hamna haja hata ya kuziongelea.