Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,635
- 7,918
Simple .. Sources za mapato ya local government zinatoka PMO,'s na Local taxes na wizarani na Bima ya Taifa.Hoja nzuri, swali , unawezaje kutenganisha majukumu ya central gov na local gov ikiwa wizara inayoshughulikia local gov ipo chini ya central gov directly
Pili, huoni kwa muktadha huo twakimu za Mchambuzi zina make sense ingawa unaziponda?
Matumizi yanatoka DMOs office. DMO sasa ndiyo inatakiwa apange fungu kubwa.
Solution, ni LGA councils na wakazi through town hall meetings wapange au wagawe hela dispensaries. Siyo wizara.
It's so easy!