Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,635
- 7,918
Naomba ufafanuzi kuhusu hizi takwimu.Sekta ya Afya nchini imejengwa na ‘a three tier system” kama
Pamoja na kwamba aslimia sabini na tano (75%) ya mahitaji ya afya kwa wananchi yapo katika ngazi ya KWANZA (i.e. basic clinics and dispensaries), huku asilimia ishirini na tano (25%) mahitaji ya afya ya wananchi yakiwa katika ngazi ya JUU (i.e. referral hospitals and specialty), katika upangaji wa bajeti za Wizara ya Afya miaka nenda miaka rudi, serikali huwa haitengi fedha kwa kufuatana na mahitaji haya. Badala yake, asilimia 75% ya ‘resources’ (madawa, vifaa, mishahara, posho, education and training, nk) huwa zinapelekewa kwenye ngazi ya juu (referral hospitals na Specialties).