kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Mzee una uhakika ni magufuli huyu? au umeangalia kipara tu? wacha anywe na ningependa kikwete anywe pia labda he will come to his mind
Mzee una uhakika ni magufuli huyu? au umeangalia kipara tu? wacha anywe na ningependa kikwete anywe pia labda he will come to his mind
dah babu ni mtakuja primary school! Yan babu kama maji vile,usipooga utakunywa au ata kunawa pia kufuria pengine ata kunyeshewa na mvua!
Nimependa hii sehemu!!Mzee wacha anywe na ningependa kikwete anywe pia labda he will come to his mind
Kama photoshop vile?
mbona unafukua makaburi ya zamani?Haa Akipata Kikombe Taratibu Sana
Kuna kitu kimemchosha akaamua afukue kaburimbona unafukua makaburi ya zamani?